Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,289
- 92,376
Mimi siwezi kubishana na mtu ambaye anaishi Karagwe lakini anataka kuongelea mambo ya Dar si salama, kama ulikuwa hujui hawa mabinti ni Makahaba kuliko hata wale makahaba rasmi wanaouza uroda pale Jolies club.Unaweza ukasema wamefanya jambo gani wewe unalolifahamu kwa uhakika mpaka ukawaita makahaba?
Funguo za gari au za kabati tatizo ni la kwako wewe kufikiri kwamba hizo funguo walikuwa wameshika ili kukuonesha wewe..
Na kama hujui funguo matumizi yake hapa mjini ni heri ukae kimya tu nadhani huna uelewa wowote kuhusu wazee wa Firmee!!.....