Blaki Womani
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 11,229
- 13,431
Tanzania zaidi ya uijuavyo......ukishangaa ya Musa utastaajabu ya firauni
Jamani what is a big deal with Ubunge?
We have Komba, Rostam, Mr II, why not Wema?
Please, please, please, do not make it a big deal. I agree with you that we have bright wabunge, Tindu Lissu, Mnyiak, Zitto kwabwe, but still we have others who are .....useless materials....
Please, give her a break, mwacheni!
Hhahah...Mvua ya kiangazi aka manyunyu!!Hizo lugha zenu sielewi au ni ujumbe wa Wema?!Duh,koment zako tu kimwana mimi hoi.............yaani nshaku feel kama vile tumeshaonana siunajua....Acta exteriora indicant interiora secreta??????
Wema ni easy taker sana. Hawezi kujadili mambo ya msingi katika Bunge la sasa. Tunataka watu wanaoweza kufanya maamzi yenye tija sio kuendekeza starehe na matanuzi...
teh teh teh..........acta exteriora idicant interiora secreta=external actions show internal secrets,ndio nilimaanisha hivyo tu,pole kwa usumbufu....................Hhahah...Mvua ya kiangazi aka manyunyu!!Hizo lugha zenu sielewi au ni ujumbe wa Wema?!
Uhakika ni bora kuliko hisia...sasa nimekusoma!!Enhe hiyo secreta ndo ipi embu nijulishe...,teh teh teh..........acta exteriora idicant interiora secreta=external actions show internal secrets,ndio nilimaanisha hivyo tu,pole kwa usumbufu....................
Labda ubunge wa umalaya ndiyo utapata ukawawakilishe bunge lao lakinia siyo hili la watu makini.
Si kweli Jay Z naye amesema anampango wa kugombea urais marekani katika miaka sita ijayo, jayz ni mchafu kuliko wema, ameuza madawa ya kulevya nyimbo zake zinatetea vitendo vya kimalaya na haamini mungu.Only in bongo kila mzushi anaeza kuwa mwanasiasa.
[h=2]Saturday, June 18, 2011[/h][h=3]WEMA SEPETU ATAKA KUGOMBEA UBUNGE[/h]
Posted by Abby Hass on 11:44 PM
Wema akiwa na Cate
HE! Mhusika rasmi katika industry ya filamu za Kibongo, Wema Abraham Sepetu (pichani) ametoa kauli iliyojaa mshtuko kuwa, anajipanga kugombea ubunge katika uchaguzi mkuu ujao wa mwaka 2015.
Akizungumzia na The Five Star Paper, Risasi Jumamosi ndani ya Hoteli ya The Atriums iliyopo Sinza-Afrikasana, Dar es Salaam juzikati, Wema ambaye ni Miss Tanzania 2006/07 alisema kuwa, katika mipango na ndoto zake za miaka minne ijayo, ni pamoja na kugombea nafasi ya ubunge.
Wema alifunguka kwamba, nyuma ya mpango huo kuna baba yake ambaye aliwahi kutumikia siasa kwa ngazi ya kidiplomasia ikiwa ni pamoja na kuwa balozi ambaye amekuwa akimshauri mara kwa mara kujikita kwenye kilinge cha siasa.
Mwazo nilikuwa silifikirii sana jambo hilo, lakini baba amekuwa akini-inspire mno.
Nimeshaanza maandalizi kuelekea 2015, naomba Watanzania wanipe sapoti, alisema Wema.
Alipoulizwa chama na jimbo atakalogombea, Wema alisema:
Kuhusu chama nitaangalia kitakachokuwa na nguvu hadi kufikia 2014. Jimbo nitakalogombea bado nalitafiti hivyo nitaliweka hadharani leita.
Wema ambaye kwa sasa anatoka kimapenzi na msanii wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul Diamond amekuwa akikumbwa na skendo za hapa na pale lakini sasa ameahidi kubadilika ili kujijenga kisiasa