Wema avishwa pete

Hatimaye wema nyota avishwa tena pete kuonyesha bado nyota yake inang'aa japo anapitia misukosuko mingi katika mapenzi na kudhihirisha usemi ukisema chanini wenzio wanasema watakipata lini.
Jamaa anaitwa mwinyi kutoka machozi band na hafla hiyo imefanyika usiku huu pale new maisha club na kusindikizwa na mastar wenzake wengi kama sharomillionea,jb,gadna g habash,mateja na wengine kibao.
Kila la heri dada

huyo jamaa mwinyi hana uwezo wa kuwa na wema, anatunzwa na dem mmoja yupo pale sinza kila siku wanagombana wanatukanana usiku wa manane kisa hajapewa hela....dem mwenyewe anatembelea ki-raum kimechoka mara kibao huyo mwinyi hua anatembea nacho....msione mtu anavaa vizuri njaa tupu....juzi juzi tu kapasua vitu vyote vya dem katupa nguo nje sasa huo uswahili atamletea wema?? hamna kitu hapo...
 
dah hivi pete kiasi gani....mtajii toshaaaa,ilaa dogo hana jeuri ya kumliki hilo gume gumee au analipizaa kisasii kwa daimondoo kisaa kamwagaa na jokote kazii ipii
 
No i think this is not true. . and it must be! wema tulia kwanza jamani! real iwe movie. . whts your destiny girl? unafikiria kesho kweli. .
 
Nawashauri ndugu wa Wema wamchunguze akili za huyu binti.
Nina mashaka na afya ya ubongo wake.
 
Ooh pliz. . this is not true! ningeshangaa sana. . ni movie walikuwa wanaigiza. . baadhi ya media kazi kupotosha watu tu! milard ayo kareport vizuri tu! so punguzeni makali bandugu!
 
duh hiyo nanihii yake utakuwa umetepeshwa sana....mmh haoni hata kinyaaa kila siku dume jingine yupo kama mbwa mmmh

mkuu hata mbwa ana jiheshimu sana maana akiwa apigwa miti huchagua dume mmoja tu la kupanda na mengine hukaa pembeni kusubiri na maamuzi ya jike huheshimiwa hata dume linalopanda likiwa halina afya huheshimiwa
 
Mhhhhh...... Jamani alikuwa anaigiza Movie yake atakayoitoa mwezi June, ambayo inahusu maisha yake kwa ujumla.
Na huyu Mwinyi ndo kacheza kama Diamond....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom