King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,672
- 68,641
Huyu dada nahisi atakua btn 25-27.
Hatimaye wema nyota avishwa tena pete kuonyesha bado nyota yake inang'aa japo anapitia misukosuko mingi katika mapenzi na kudhihirisha usemi ukisema chanini wenzio wanasema watakipata lini.
Jamaa anaitwa mwinyi kutoka machozi band na hafla hiyo imefanyika usiku huu pale new maisha club na kusindikizwa na mastar wenzake wengi kama sharomillionea,jb,gadna g habash,mateja na wengine kibao.
Kila la heri dada
duh hiyo nanihii yake utakuwa umetepeshwa sana....mmh haoni hata kinyaaa kila siku dume jingine yupo kama mbwa mmmh
Ni walikuwa wana act movie ambayo itaitwa super star so....jamaa huyo mwinyi kwenye hiyo movie ana act kama diamond....kwa hiyo ni movie tu