elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,260
- 9,705
Unaweza kuwekeza kwenye uchenjuaji wa dhahabu na ukapata faida kubwa sana kea muda mfupi kutokana na kiasi ulichowekeza.
Kuna sehemu inaitwa Mwamazengo iko huko Mwanza kuna eneo lina leseni kwa ajili ya uchimbani wa dhahabu.
Pale ukiwa na mtaji wa Tshs 50 milioni ndani ya muda mfupi inaweza double kila mwezi.
Huhitaji leseni kufanya shughuli ya kuchenjua dhahabu maana eneo lenyewe lina leseni.
Usichimbe mwenyewe kwakuwa utatumia ela nyingi na unaweza poteza pesa wewe ni kununua mawe yalikwisha kuchimbwa.
Utahitaji pia uwe na crusher yako kwa ajili ya kusaga hayo mawe. Itabidi ununue mawe yasiyopungua tani walau 300 ambapo tani moja ni between 30000 mpaka 120000 kutoka na kiasi cha dhahabu kilichomo. Crusher itakuwa ikiyasaga, ambapo mchanga utapitishwa kwenye process ambayo ndiyo inaozesha mchanga dhahabu inapanda jui then inakuwa tapped.
Kwa mawe kiasi hicho hukosi dhahabu kiasi cha 1kg plus ambapo ukiuza ni zaidi ya mills 100 na process nzima inaweza kuchukua miezi 3. Inabidi ununue mawe mengi upate dhahabu nyingi kwasababu kuya process ikiwemo chemicals, kukodi visima, na other costs ambazo ziko fixed ni kama 20 mls, so lazima ziwe covered. Yani kina fixed costs haijalishi ni mawe kiasi gani unaprocess.
Ikishapata dhahabu pale watu wa madini watakuandikia karatasi ya kiasi cha kodi cha kulipa serikali ambapo ikienda kuuza mwanza mjini watakata kodi na kukupa risiti. Pia, utalipa kiasi cha tshs30,000 kwa halmashauri kila mwezi. Watu wako huku wanapiga ela mjini wanarudi tu kula bata. Ila inahitaji uoate mtu sahihi na mzoefu katika hizi kazi.
Hii dhahabu iliuzwa 120 milioni kodi ililipiwa 8 milioni. Gharama za mawe na kila kitu ilikuwa approximately 55 milioni
Process nzima ilichukua miezi 3 na week moja.
Kuna sehemu inaitwa Mwamazengo iko huko Mwanza kuna eneo lina leseni kwa ajili ya uchimbani wa dhahabu.
Pale ukiwa na mtaji wa Tshs 50 milioni ndani ya muda mfupi inaweza double kila mwezi.
Huhitaji leseni kufanya shughuli ya kuchenjua dhahabu maana eneo lenyewe lina leseni.
Usichimbe mwenyewe kwakuwa utatumia ela nyingi na unaweza poteza pesa wewe ni kununua mawe yalikwisha kuchimbwa.
Utahitaji pia uwe na crusher yako kwa ajili ya kusaga hayo mawe. Itabidi ununue mawe yasiyopungua tani walau 300 ambapo tani moja ni between 30000 mpaka 120000 kutoka na kiasi cha dhahabu kilichomo. Crusher itakuwa ikiyasaga, ambapo mchanga utapitishwa kwenye process ambayo ndiyo inaozesha mchanga dhahabu inapanda jui then inakuwa tapped.
Kwa mawe kiasi hicho hukosi dhahabu kiasi cha 1kg plus ambapo ukiuza ni zaidi ya mills 100 na process nzima inaweza kuchukua miezi 3. Inabidi ununue mawe mengi upate dhahabu nyingi kwasababu kuya process ikiwemo chemicals, kukodi visima, na other costs ambazo ziko fixed ni kama 20 mls, so lazima ziwe covered. Yani kina fixed costs haijalishi ni mawe kiasi gani unaprocess.
Ikishapata dhahabu pale watu wa madini watakuandikia karatasi ya kiasi cha kodi cha kulipa serikali ambapo ikienda kuuza mwanza mjini watakata kodi na kukupa risiti. Pia, utalipa kiasi cha tshs30,000 kwa halmashauri kila mwezi. Watu wako huku wanapiga ela mjini wanarudi tu kula bata. Ila inahitaji uoate mtu sahihi na mzoefu katika hizi kazi.
Hii dhahabu iliuzwa 120 milioni kodi ililipiwa 8 milioni. Gharama za mawe na kila kitu ilikuwa approximately 55 milioni
Process nzima ilichukua miezi 3 na week moja.