Weka sifa ya mke umtakae hapa.!

Wiki iliyo pita niliwahoji wadada kuhusu sifa za mume, wao kwa kuwa imethibitika kuwa ni watu wasio na msimamo japo si wote, niliwataka waweke sifa kuu moja.

Sasa leo zamu yetu vidume.
Sasa kwa kuwa sisi ni vichwa na ndivyo tulivyo hilo halina ubishi hata hawa warembo wetu humu wanalijua hilo japo wengine watabisha wakipigania usawa lakini mioyoni wanakubali. Mfano Dada Yangu EMMYTA.
Hivyo sisi tutaweke sifa tatu muhimu kwasababu wao wapo chini yetu.

Karibuni muweke sifa hapa.
Na kwa wale walio oa tayari basi watuambie ni vigezo vipi walivizingatia hadi kuwapata hao wake bora walio nao.

Tukianza na mimi.
1; Awe mzuri nimpende( haijalishi rangi wala umbo, kikubwa nimpende)

2; asiwe mtu wa tamaa( kumtunza ni jukumu langu kama mwanaume, hivyo nitawajibika katika nafasi yangu)

3; aliyefunzwa maisha na familia( ajue nini maana ya kusimama kama mama wa familia na kuilea kuanzia watoto, ndugu, mumewake na mazingira yate ya familia kwa ujumla.
Japo hawezi kukamilika kwa 100% kwasababu ni binadamu)

Haya kazi kwenu vidume.
Wadada mkuje mjionee hapa.

Nawasilisha.
Hata sisi kabla hatujaoa tulijipangia hivyo hivyo muda ulipotimia tukajikuta tume(z)oa wanawake wengine kabisa!
Mambo ya moyo yaache hivyo hivyo no plan ya yupi mwenza wako !
 
Hata sisi kabla hatujaoa tulijipangia hivyo hivyo muda ulipotimia tukajikuta tume(z)oa wanawake wengine kabisa!
Mambo ya moyo yaache hivyo hivyo no plan ya yupi mwenza wako !
Kama nakuelewa vile mkuu
 
hii topic ingekua interesting,kama zingeunganishwa na ile ya sifa za wanaume wa dada wanazozitaka,afu sisi tunakuwa match maker,kwa kuwaambia Fulani anakufaa :D:)
 
Vigezo vyangu ni hivi vifuatavyo;
Mcha Mungu na mwenye hofu ya Mungu
Mwenye huruma
Avumiliae kwenye shida na raha
Mwenye kujua wajibu wake
Apendae familia yetu
Mnyenyekevu
Mwenye tabia njema
Muelewa
Mkuu kwani bado hujaoa tu!

Halafu hiyo sifa ya kunyenyekewa itoe aisee, wewe si MUNGU hadi unyenyekewe.
 
Kumbe kuna wengine wachawi!!?
Wapo washirikina ogopa kabisa
613e23d5ffd0c6f65a809b9ca934eb75.jpg
 
hii topic ingekua interesting,kama zingeunganishwa na ile ya sifa za wanaume wa dada wanazozitaka,afu sisi tunakuwa match maker,kwa kuwaambia Fulani anakufaa :D:)
Hahaha eti tunamatch wanaofanana kwa sifa.
Ila kuna swali la kichochezi kidogo hapa
Naluhusiwa kuuliza?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom