ormystatus
JF-Expert Member
- Nov 3, 2019
- 261
- 452
- Thread starter
- #21
Unachukulia pale Airpot ya nyerere.9500/kg nachukulia kwako ama bei ya mafia kisha usafiri ni juu yangu?
Unachukulia pale Airpot ya nyerere.9500/kg nachukulia kwako ama bei ya mafia kisha usafiri ni juu yangu?
Namba nimechukua, si nalipia on delivery ama tunalipia kabla mzigo haujatoka mafia?Unachukulia pale Airpot ya nyerere.
Unalipa ukipokea, muhimu mzigo ukifika utokee kufata kweli.Namba nimechukua, si nalipia on delivery ama tunalipia kabla mzigo haujatoka mafia?
Safi sana, nimechukua namba, jiandae na kilo 10 wakati wowoteUnalipa ukipokea, muhimu mzigo ukifika utokee kufata kweli.
Ukihitaji kufikishiwa mlangoni kwako inawezekana pia, unalipia pesa ya delivery.
Naaam naaam, Karibu sana.Safi sana, nimechukua namba, jiandae na kilo 10 wakati wowote
Ya mkapaUnachukulia pale Airpot ya nyerere.
Hapa insbidi awe na mtu wake kila mkoaMkuu sisi wa mikoani huona kama kutakuwa na changamoto kwenye kutuma mzigo? Make logistics inahusisha mabasi na wale hawabebi mzigo bila malipo ya kabla.
Wewe unasema malipo on delivery!
Toa ufafanuzi wa kina. Vinginevyo utaambulia hasara. Siku hizi uaminifu umekuwa mdogo sana ndg...
Wateja wa DAR malipo baada ya mzigo kupokea.Mkuu sisi wa mikoani huona kama kutakuwa na changamoto kwenye kutuma mzigo? Make logistics inahusisha mabasi na wale hawabebi mzigo bila malipo ya kabla.
Wewe unasema malipo on delivery!
Toa ufafanuzi wa kina. Vinginevyo utaambulia hasara. Siku hizi uaminifu umekuwa mdogo sana ndg...
Ni wazo zuri kaka nitajitahidi kulifanyia kazi.Hapa insbidi awe na mtu wake kila mkoa
Umepata Boss. Karibu sana.Nahitaji kg. 10. Nipo Mwananyamala, karibu na hospitali
nipo simanjiro mkuu nahitaji kilo 2 mchana wa leo fanya kutuma mbio mbio me ntalipia kwa 1kg tsh.10k079 531 536 9
Agiza kiasi chochote unachohtaji.
Mnaohitaji mzigo mkubwa kazi kwenu.
Piga au tuma meseji.
079 531 536 9
Simanjiro ni mkoa gani?nipo simanjiro mkuu nahitaji kilo 2 mchana wa leo fanya kutuma mbio mbio me ntalipia kwa 1kg tsh.10k
Kwani Tasi mkuu wanakuwa na size kubwa kama sangara? Tasi mkubwa si anakua kama Changu tu kwenye hizo picha zako?Physical address ya biashara sina, lakini mimi napatikana Ubungo.
Bei ya kilo inategemea na size unayohitaji. Niambie unahitaji size ipi niwasiliane na mwenzangu anaekusanya mzigo anipe bei.
Karibu sana. Malipo baada ya kupokea mzigo.
Physical address ya biashara sina, lakini mimi napatikana Ubungo.
Bei ya kilo inategemea na size unayohitaji. Niambie unahitaji size ipi niwasiliane na mwenzangu anaekusanya mzigo anipe bei.
Karibu sana. Malipo baada ya kupokea mzigo.
Vipo vidogo vidogo pia, size hiyo 9,500/= kamaKwani Tasi mkuu wanakuwa na size kubwa kama sangara? Tasi mkubwa si anakua kama Changu tu kwenye hizo picha zako?
Weka picha.Vipo vidogo vidogo pia, size hiyo 9,500/= kama
Naam kama upo Dar na unahitaji, weka oda nitaituma hii picha Chimbo wanipe bei ya hii size nikujulishe Boss.