Weka neno la kiingereza linalokusumbua kutamka usaidiwe hapa

Teibo
Keibo
Kuna herufi kwenye kiingereza licha ya kuandikwa, kwenye kutamkwa huwa zinafichwa.
Ni Teibl
Caibl na hapo ndio nilipokuwa nashindwa kuwaelewa watu neno tebo na kebo yalipotokea.

Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
 
Kuna herufi kwenye kiingereza licha ya kuandikwa, kwenye kutamkwa huwa zinafichwa.
Ni Teibl
Caibl na hapo ndio nilipokuwa nashindwa kuwaelewa watu neno tebo na kebo yalipotokea.

Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
Unajua huu Uzi tunafanya kama kuelezea utamkaji wa neno la kingereza kwa mfumo wa kiswahili...
Kiswahili sarufi yake hairuhusu neno liishie na konsonati...lazima liishie na irabu
So ndiyo maana tunaandika tebo na kebo lakini in reality ingekuwa keibol na teibol...
Lakini mkuu hiyo 'o' ni ya muhimu

Kuelezea matamshi kwa lugha tofauti kuna ugumu kwasababu ya utofauti wa sarufi
Fikiria mimi ni mmarekani sijui kiswahili unawezaje kunielewesha kwa maandishi jinsi ya kutamka Ng'ombe??
 
Hapo Kwenye determine kuna herufi gani inafichwa Kwenye kutamkwa?
Hakuna neno detamine.
Kwenye kiingereza kuna herufi licha kuandikwa kwake kwenye matamshi huwa zinafichwa.

Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
 
Hapo Kwenye determine kuna herufi gani inafichwa Kwenye kutamkwa?
Maini kwa maana herufi e ya mwisho huwa haisikiki ndio maana inasikika min, ukisababisha herufi e ya mwisho isikike basi ndipo neno maini litasikika
Kwenye table.... e ya mwisho inafichwa na kuishia kwenye bl pekee ndipo neno teibl husikika.

Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
 
Unajua huu Uzi tunafanya kama kuelezea utamkaji wa neno la kingereza kwa mfumo wa kiswahili...
Kiswahili sarufi yake hairuhusu neno liishie na konsonati...lazima liishie na irabu
So ndiyo maana tunaandika tebo na kebo lakini in reality ingekuwa keibol na teibol...
Lakini mkuu hiyo 'o' ni ya muhimu

Kuelezea matamshi kwa lugha tofauti kuna ugumu kwasababu ya utofauti wa sarufi
Fikiria mimi ni mmarekani sijui kiswahili unawezaje kunielewesha kwa maandishi jinsi ya kutamka Ng'ombe??
Neno la kizungu ukitaka kulipeleka kwenye kiswahili lipeleke kwa tafsiri tu sio neno lenyewe na hapo ndipo tunapowaharibu watoto wetu badala ya kuwafundisha kiingereza fasaha tunajikuta tunawafundisha kiingereza kichafu, kitu ambacho ni ngumu sana baadae kuja kuwabadilisha na hapa ndio negundua ndipo tunapowaharibu. Leo hii mtoto ukimwambia atamke,
Bad na bird anashindwa kutofautisha
Where na were anashindwa kutofautisha
Bed na bad anashindwa kutofautisha
What na watt anashindwa kutofautisha.
Wazazi tubadilike.

Cᵃʳᵉᵉᵐ ₜₕₑ ᴸᵉᵍᵉⁿD
 
Back
Top Bottom