Weka hapa maswali ya msingi ili waadishi wa habari kwenye Press ya leo wakamuulize IGP

dmkali

JF-Expert Member
Nov 17, 2014
11,284
21,397
Kutokana na lawama nyingi ambazo watu huzisema kwa waandishi Wa habari wetu kwamba: Baadhi yao huwa wanauliza maswali yasiyo na tija Pindi wanaPokutana na Viongozi mbalimbali;

Kwenye Press ya Leo ya IGP na waandishi hawa, Pamoja na kwamba maswali mengine WATAYAPATA Pale, lakini kwakuwa yote ni kuhusu Ulinzi na Usalama wa raia na Amani ya nchi yetu!
Naomba Tuweke HAPA maswali ya msingi ili wayachukue wakaulize kwa namna watakavyoyaboresha wao!.

maswali yangu;
  1. Kutokana matukio ya utekaji kuchukua mda mrefu yakiwa yanajirudia rudia bila wahusika KUPATIKANA Je; Selikali inaweza kutuambia kupitia kauli yako IGP nini faida na hasara za kukataa kuita wachunguzi kutoka nje?
  2. kuPitia msemaji Wa Polisi alinukuliwa akisema kwamba wewe IGP ulisikitishwa na kitendo cha yule afisa Wa jeshi kutumia kauli ya "KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI; Je: kwanini ulisikitika na hatua gani zimechukuliwa hadi sasa?

Mengine ongezeeni wenyewe
 
1:Ningeuliza ivi kuwa wamefikia wapi kwa upelelezi wa matukio yaliopita kama ya lissu ben saanane na mengineyo ya mengi,, ili watuaminishe kuwa hili la mo linaendelea kufatiliwa vyema?

2: Nikiwa kama raiya wa tanzania mwenye kupenda kujuwa kuwa IGP hivi kwa uimara wa jeshi letu hawezi kuwa ngumu sana kwa watekaji kwa mfano wa mo kutoka nje ya mipaka.inakuwaje hawa wazungu hadi leo hawajapatikana?

3:utaratibu wa kamera kuharibika kipindi cha matukio hili limekaaje ?

Ni hayo tu mimi mtanzania mwenye mapenzi mema na nchi yangu pamoja na serikali ya awamu yangu.
 
Unategemea wale waandishi vichwa maji Wa Millard ayo , Shigongo na clouds waulize maswali fikirishi???


Hao maswali wanayoyajua ni kuhusu mobeto,wema na diamondi
wawekee yako fikirishi sasa wakaulize
 
Kutokana na lawama nyingi ambazo watu huzisema kwa waandishi Wa habari wetu kwamba: Baadhi yao huwa wanauliza maswali yasiyo na tija Pindi wanaPokutana na Viongozi mbalimbali;

Kwenye Press ya Leo ya IGP na waandishi hawa, Pamoja na kwamba maswali mengine WATAYAPATA Pale, lakini kwakuwa yote ni kuhusu Ulinzi na Usalama wa raia na Amani ya nchi yetu!
Naomba Tuweke HAPA maswali ya msingi ili wayachukue wakaulize kwa namna watakavyoyaboresha wao!.

maswali yangu;
  1. Kutokana matukio ya utekaji kuchukua mda mrefu yakiwa yanajirudia rudia bila wahusika KUPATIKANA Je; Selikali inaweza kutuambia kupitia kauli yako IGP nini faida na hasara za kukataa kuita wachunguzi kutoka nje?
  2. kuPitia msemaji Wa Polisi alinukuliwa akisema kwamba wewe IGP ulisikitishwa na kitendo cha yule afisa Wa jeshi kutumia kauli ya "KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI; Je: kwanini ulisikitika na hatua gani zimechukuliwa hadi sasa?

Mengine ongezeeni wenyewe
IGP/Serikali wanataka mpaka ifikie situation gani ndio wachunguzi toka nje waitwe?
Maana kwa sasa matukio yanayotokea wanadai yapo ndani ya uwezo wao polisi lakini tumewasikiliza ni zaidi ya mwaka mmoja kwa sasa hakuna majibu ya kueleweka kuhusu matukio yalio wakuta watanzania wenzetu wakina Ben Saanane,Azory Tundu Lissu na wengine..
 
La kwanza, kwanini RPC Muroto anadhalilisha watuhumiwa hadharani hata kuwapiga vibao? Je, Yeye ndio amekua mahakama?
La pili, kwa kauli ya yule RPC wa Kidumu CCM, atatuaminishaje kuwa kwenye chaguzi ameskua akisimamia haki na ataendelea kusimamia haki? Je hali hii si inadhihirisha madai ya Wapinzani kuwa Jeshi la Polisi ni Tawi la CCM!!!
 
Kutokana na lawama nyingi ambazo watu huzisema kwa waandishi Wa habari wetu kwamba: Baadhi yao huwa wanauliza maswali yasiyo na tija Pindi wanaPokutana na Viongozi mbalimbali;

Kwenye Press ya Leo ya IGP na waandishi hawa, Pamoja na kwamba maswali mengine WATAYAPATA Pale, lakini kwakuwa yote ni kuhusu Ulinzi na Usalama wa raia na Amani ya nchi yetu!
Naomba Tuweke HAPA maswali ya msingi ili wayachukue wakaulize kwa namna watakavyoyaboresha wao!.

maswali yangu;
  1. Kutokana matukio ya utekaji kuchukua mda mrefu yakiwa yanajirudia rudia bila wahusika KUPATIKANA Je; Selikali inaweza kutuambia kupitia kauli yako IGP nini faida na hasara za kukataa kuita wachunguzi kutoka nje?
  2. kuPitia msemaji Wa Polisi alinukuliwa akisema kwamba wewe IGP ulisikitishwa na kitendo cha yule afisa Wa jeshi kutumia kauli ya "KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI; Je: kwanini ulisikitika na hatua gani zimechukuliwa hadi sasa?

Mengine ongezeeni wenyewe
Mnapoteza muda wenu bure, muandishi mwenye uwezo wa kuuliza maswali nchi ni Paskali Mayalla na Abdalla Majura tu.

Hao wengine waambie wakafanye rehasal ya kuuliza maswali kwa Musiba kwanza maana yeye ndio anawaitaga waandishi uchwara na kuitisha press hata nyumbani kwake kwenye nyumba ya kupanga.
 
Wamewezaje kujua waliomteka mo ni wazungu wakati kamera hazioneshi tukio hilo vizuri??

Kwa nini hadi sasa hivi hajajiuzulu ili kupisha mwingine ambae atalifanya jeshi la polisi liwe imara??

Jeshi letu ni dhaifu sababu limeshindwa kujua aliyemua Mawazo ni nani.

Ni dhaifu sababu limeshindwa kuwajua waliompiga Lisu risasi mchana kweupe tena kwenye eneo la makazi ya wabunge.
Ni dhaifu sababu limeshindwa kumpata Azory Gwanda, ben saanane na mwenyekiti wa bara la madiwani Kigoma.
 
Wamewezaje kujua waliomteka mo ni wazungu wakati kamera hazioneshi tukio hilo vizuri??

Kwa nini hadi sasa hivi hajajiuzulu ili kupisha mwingine ambae atalifanya jeshi la polisi liwe imara??

Jeshi letu ni dhaifu sababu limeshindwa kujua aliyemua Mawazo ni nani.

Ni dhaifu sababu limeshindwa kuwajua waliompiga Lisu risasi mchana kweupe tena kwenye eneo la makazi ya wabunge.
Ni dhaifu sababu limeshindwa kumpata Azory Gwanda, ben saanane na mwenyekiti wa bara la madiwani Kigoma.
ni swali au maoni Mkuu?
 
Kwa kuwa jeshi letu la polisi limechelewa kuwakamata wahusika wa Beni saanane na waliomshambulia mh Tundu lissu je hawaoni sasa ni wakati wa kuomba msaada kwa vyombo vya kimataifa ili kuokoa maisha ya Mo dewj?
 
Kuna uvumi unaenea kuwa serikali chini ya kitengo maalumu ndio inayofanya haya matendo ya utekaji, je jeshi letu halioni kwamba sasa niwakati wa kujisafisha kwa kuleta wachunguzi kutoka nje
 
Back
Top Bottom