Rais Wa Malofa
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 694
- 809
Week ya pili sasa sports 24 imejifunga, kuna namna yoyote naweza fanya?
Nipe namba yake ya simu pm!Ndiyo yupo RUANGWA
Hongera mkuu kwa ufafanuzi, mimi nilitaka kuuza dishi langu la futi 8 mafundi wa mitaani wakataka kunipa 70,000/ eti! Nikakutana na fundi wangu wa siku nyingi akaniambia hakuna haja ya kuliuza twende nyumbani kwangu ukaone, si nchezo yeye ameweka LNB 2 tu na anapata Free Chanel zaidi ya 370 zikiwepo zinazoonyesha EPL live, n.k. Mpaka sasa sijaliuza nipo najipanga na mimi nikanunue hiyo Receiver ya Full HD (MPG4) Ili nikaweze kuenjoy kama yeye! Hivyo watu wasidharau hii issue ni ya kweli kabisa!Fatilia post hapa chini utapata gharama kamili ila dishi la futi 6 ni sh135000 dishi futi 8 ni sh 370000 ila unaweza ukapata used toka kwa watu,kuna baadhi ya Watu wamezitelekeza juu ya paa kwa sababu hawajajua matumizi yako.Napatikana mwanza ila kama unahitaji Huduma hyo mkoani kote mafundi wenzangu wanapatikana naweza kuwaunganisha na kazi ikaenda vizuri
Ni kweli mimi nimeweka mwelekeo wa 7 w Natumia KU burudan kibao tu ila mpira sipati kama kuna uwezo wa kuona epl niambieKabisaaa wala siyo ndoto
S 24 kwa sasa unapatikana kwenye receiver ya alphabox X6+,gsky V5,V6,V7.STRONG 4950,4955,4962i.freesat v8 golden.Hometech.hizo receiver nilizokutajia ndiyo wameshatoa software ya s 24.Wengine bado tunasubiria kama freesatWeek ya pili sasa sports 24 imejifunga, kuna namna yoyote naweza fanya?
Ni la bati/wavu? Hiyo ni Mali mkuu hata kama vyuma vimekaza itunze tu mpaka siku vyuma vilainike utakuja kununua receiver ya MpG4 yenye powervu software.Hongera mkuu kwa ufafanuzi, mimi nilitaka kuuza dishi langu la futi 8 mafundi wa mitaani wakataka kunipa 70,000/ eti! Nikakutana na fundi wangu wa siku nyingi akaniambia hakuna haja ya kuliuza twende nyumbani kwangu ukaone, si nchezo yeye ameweka LNB 2 tu na anapata Free Chanel zaidi ya 370 zikiwepo zinazoonyesha EPL live, n.k. Mpaka sasa sijaliuza nipo najipanga na mimi nikanunue hiyo Receiver ya Full HD (MPG4) Ili nikaweze kuenjoy kama yeye! Hivyo watu wasidharau hii issue ni ya kweli kabisa!
Ni kweli soccer bado ni mtihani ndiyo maana wanatutesa na upgrading kila siku lkn kama utakuwa na madishi mengi angalau 3ukategesha east na west huwezi kupitwa na soca.mfano juzi nakuna kampuni yoyoye ya king'anuzi iliyorusha mechi lkn ilipatikana mcot HD na mcot family hapo 78e pamoja na kwamba sport 24 alikuwa ameshatupa mkonoHayo madish yapo mengi tu bei ni kati ya 75000 na 80000 bila LNB unapata chanel kulingana na mwelekeo wake au Satelite. Movie kibao ila soccer bado mtihani. Mimi natumia hadi leo hii.
Najua unaburudika na akina MBC package, ungetafuta dishi lingine ufunge 68.5e & 78e cband hapo 68.5 kuna muda sony six na sony espn wanarusha pia hapo 78 kuna mcot HD na mcot familyNi kweli mimi nimeweka mwelekeo wa 7 w Natumia KU burudan kibao tu ila mpira sipati kama kuna uwezo wa kuona epl niambie
Asante mkuuNajua unaburudika na akina MBC package, ungetafuta dishi lingine ufunge 68.5e & 78e cband hapo 68.5 kuna muda sony six na sony espn wanarusha pia hapo 78 kuna mcot HD na mcot family
Asante mkuuNajua unaburudika na akina MBC package, ungetafuta dishi lingine ufunge 68.5e & 78e cband hapo 68.5 kuna muda sony six na sony espn wanarusha pia hapo 78 kuna mcot HD na mcot family