jakomala
JF-Expert Member
- Jun 10, 2016
- 514
- 367
kutokana na mchezo mchafu unaofanywa na makampuni ya ving'amuzi namaanisha kukatika kwa channel zote pia malipo kuwa ya juu sana vile vile hili swala la kusaidia wananchi TCRA wameshindwa kabisa kuingia kwenye mazungumzo na wamiliki wa TV.Sasa achana na hao mm Nina uwezo wa kukufungia channel zinazonyesha mpira, movie(action, Nigeria, Ghanian, kihindi,kiarabu,Thailand),music,cartoon kwa ajili ya watoto nyumbani,entertainment kama channel za wanyama.Kuwa wa kwanza kuona goli lililofungwa kabla ya wenye ving,amuzi
HII[emoji121] NIMEFUNGA NYUMBANI KWAKO
[emoji121]Kuweka kichwa(LNB)zaidi ya moja kwenye dishi moja ili kupunguza gharama ya kutafuta dishi lingine
[emoji121] Kiunganishi cha kuunganishia vichwa(LNB) ili kwenye receiver iliokondani iende waya moja
[emoji121] waya moja ulioenda ndani kama unavyoona kwa hyo kazi ni kubadilisha tu channel kwa remote syo kwenda nje kubadilisha kichwa
KWA MAELEZO ZAIDI ULIZIA NITAKUJIBU.
HII[emoji121] NIMEFUNGA NYUMBANI KWAKO
[emoji121]Kuweka kichwa(LNB)zaidi ya moja kwenye dishi moja ili kupunguza gharama ya kutafuta dishi lingine
[emoji121] Kiunganishi cha kuunganishia vichwa(LNB) ili kwenye receiver iliokondani iende waya moja
[emoji121] waya moja ulioenda ndani kama unavyoona kwa hyo kazi ni kubadilisha tu channel kwa remote syo kwenda nje kubadilisha kichwa
KWA MAELEZO ZAIDI ULIZIA NITAKUJIBU.