Weekend yako inaendaje Mdau?

Weekend yako inaendaje Mdau?

Sheffer95

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2020
Posts
274
Reaction score
771
Habari wadau, ndugu, jamaa na marafiki.

Je weekend yako inaendaje, share nasi kidogo

Weekend yangu kiukweli imeanza vizuri na taratibu, nimeanza kwa kwenda kutembelea kidogo miradi yangu, ambayo sikupata nafasi ya kwenda kwa muda kidogo.

Pia baada ya hapo nimepata wasaa wa kupanga mipango ya kifamilia na mke wangu + utani kidogo n.k

Sasa hivi nimesogea mahali Pana utulivu na band kwa mbali ikipiga mziki kwa taratibu (aiseee kuna watu wanaimba vizuri kuliko wenye nyimbo) napata mbuzi kitunguu, kachumbari kidogo na combo ya extravaganza huku nikimsubiri rafiki yangu wa muda mrefu tuendelee kupata mambo taratibu

Niambie wewe uko wapi na weekend yako inakwendaje?, karibu
 
Habari wadau, ndugu, jamaa na marafiki.
Je weekend yako inaendaje, share nasi kidogo
Weekend yangu kiukweli imeanza vizuri na taratibu, nimeanza kwa kwenda kutembelea kidogo miradi yangu, ambayo sikupata nafasi ya kwenda kwa muda kidogo.
Pia baada ya hapo nimepata wasaa wa kupanga mipango ya kifamilia na mke wangu + utani kidogo n.k

Sasa hivi nimesogea mahali Pana utulivu na band kwa mbali ikipiga mziki kwa taratibu (aiseee kuna watu wanaimba vizuri kuliko wenye nyimbo) napata mbuzi kitunguu, kachumbari kidogo na combo ya extravaganza huku nikimsubiri rafiki yangu wa muda mrefu tuendelee kupata mambo taratibu
Niambie wewe uko wapi na weekend yako inakwendaje?, karibu
Nimepoa tu na mawazo yangu ya kodi ya nyumba, nawaza leo nirudi geto saa tisa usiku baba mwenye nyumba asinione
 
Daaah leo nimeitwa na shemeji...
Nimekalibishwa kula nilikua mimi broo.na shem pamoja na mtoto wao..

Aisee chakula cha kula pamoja ni kitamu jaman kitamu sana sana...
Kwa sasa nipo hapa ofisini najikuta nafurah maana nilikua nawaza ratiba ya mchana inaendaje..
 
Nimepoa tu na mawazo yangu ya kodi ya nyumba, nawaza leo nirudi geto saa tisa usiku baba mwenye nyumba asinione
Usiogope hayo ni mapito tu, kuna muda utafika muda Mungu atakubariki mpaka utajishangaa.
Usikate tamaa, kuwa na subra pia Kumbuka nyakati nzuri na mbaya zote Mungu ameziweka kupima imani yetu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom