Weekend Story: You Can't Handle The Truth

Weekend Story: You Can't Handle The Truth

Collins anaremba sana, keshafika golini chenga nyiiiingi. Walter mtu wa kuthubutu sana. Ila Inspector akijakujua kwamba ile dozi alikua anapumzikiwa ukichanganya na ghadhabu ya Collins kupokwa tonge mdomoni, Walter kibarua kipo mashakani sana. Ogopa kisasi cha mapenzi.
Hawa ndio wanakosaga penalt hawa
 
haaa team walter mwache akamate ako katoto, akakunje kapate raha, people like walter deserve beautful woman coz know how to love , anapoamua , that guy yuko so cool ,act and behave like a man.
Walter atapiga moja nzuri sanaaa. Ila sasa roho inaniuma iqra bado ntoto n'dogo
 
Walter atapiga moja nzuri sanaaa. Ila sasa roho inaniuma iqra bado ntoto n'dogo
yaah true ila , MTU kama Walter ndo anamfaa sasa, coz beautiful woman alwayz like bad boys with Swags.
 
Walter atapiga moja nzuri sanaaa. Ila sasa roho inaniuma iqra bado ntoto n'dogo

Wanakwambia embe mbichi wakati unaisubiria iive wenzio wanakamua kwa chumvi na pilipili. Collins anakarata zote mkononi nashindwa kuelewa kwanini hamalizi gemu?
 
Sasa kamanda ushasema hii ni story, namba ya Iqra aiotoe wapi? Au ndio unaitaka namba ya lara 1 kidiplomasia?

hata mimi nashangaa kwa kweli....

any help please for the contacts kama unayo - vurumisha kwa pm and thanks in advance!
 
lara umetisha sio kwa story hili la nguvu, jamaa yangu mudy vipi na mtoto wa kushua? yaani sie kina mudy kwa kupendwa na watoto wa kishua tunaongoza. unaweza ukute mwisho mwisho wa story huyo iqra akampenda mudy. natamani hiyo scene iwepo.
 
lara umetisha sio kwa story hili la nguvu, jamaa yangu mudy vipi na mtoto wa kushua? yaani sie kina mudy kwa kupendwa na watoto wa kishua tunaongoza. unaweza ukute mwisho mwisho wa story huyo iqra akampenda mudy. natamani hiyo scene iwepo.
du mudi sio kwa kujipendelea uko
 
Walter hafai kumla Iqra,eee Mungu epushia mbali.... Akila tu afu Collins akajua,atamchongea kwa Inspector afu atapigwa chini. Salaweeeee,Iqra aliwe na Collins tu maskin ya Mungu.

Collins na lenyew kama joka kibisa,limezubaa kinyama.
 
Hahahaaaaaaaa! NAONA MNAJIACHIA TU NA STORY LEADING! YANI MNANIELEKEZA KABISAA JINSI YA KUMALIZIA HIO STORY, INSHORT KILA MTU ANAJIAMULIA MWISHO UWEJE. MATOKEO YAKE MWISHO WOWOTE NITAOUWEKA NITAONEKANA STORY LEADING ZIMECHANGIA. HAHAHAAAA!

NAWAKUMBUSHA TU MPITIE TENA TITTLE YA UZI HUU "YOU CANT HANDLE THE TRUTH"
 
Hahahaaaaaaaa! NAONA MNAJIACHIA TU NA STORY LEADING! YANI MNANIELEKEZA KABISAA JINSI YA KUMALIZIA HIO STORY, INSHORT KILA MTU ANAJIAMULIA MWISHO UWEJE. MATOKEO YAKE MWISHO WOWOTE NITAOUWEKA NITAONEKANA STORY LEADING ZIMECHANGIA. HAHAHAAAA!

NAWAKUMBUSHA TU MPITIE TENA TITTLE YA UZI HUU "YOU CANT HANDLE THE TRUTH"

Mambo yako level ingine, hata tukipitia title ya uzi haisaidii, hua unamaliza kivyakovyako sio mambo ya bongo movie ile inaanza tu, umeshajua hadi part 2 itakuaje na mwisho wake.
 
Hahahaaaaaaaa! NAONA MNAJIACHIA TU NA STORY LEADING! YANI MNANIELEKEZA KABISAA JINSI YA KUMALIZIA HIO STORY, INSHORT KILA MTU ANAJIAMULIA MWISHO UWEJE. MATOKEO YAKE MWISHO WOWOTE NITAOUWEKA NITAONEKANA STORY LEADING ZIMECHANGIA. HAHAHAAAA!

NAWAKUMBUSHA TU MPITIE TENA TITTLE YA UZI HUU "YOU CANT HANDLE THE TRUTH"
Kwa maelezo aya Walter anambeba mtoto Wa kitabu ndo maana ya kichwa cha story overrrrr mnao umia muumie myazooe tu ila story ndo ivyo mwisho wake.
 
Hahahaaaaaaaa! NAONA MNAJIACHIA TU NA STORY LEADING! YANI MNANIELEKEZA KABISAA JINSI YA KUMALIZIA HIO STORY, INSHORT KILA MTU ANAJIAMULIA MWISHO UWEJE. MATOKEO YAKE MWISHO WOWOTE NITAOUWEKA NITAONEKANA STORY LEADING ZIMECHANGIA. HAHAHAAAA!

NAWAKUMBUSHA TU MPITIE TENA TITTLE YA UZI HUU "YOU CANT HANDLE THE TRUTH"
Leo tunaomba uwahi mapema aisee...... Jana ulitulaza kimuhemuhe...... Hii story daaah! Itakuja kuishia vibaya Ndo maana unasisistiza kwenye title "YOU CAN'T HANDLE THE TRUTH"
 
Kwa maelezo aya Walter anambeba mtoto Wa kitabu ndo maana ya kichwa cha story overrrrr mnao umia muumie myazooe tu ila story ndo ivyo mwisho wake.

Hahahaaaaa! ANGALIA ISIJE KUWA WEWE NDO YOU CANT HANDLE THE TRUTH
 
Leo tunaomba uwahi mapema aisee...... Jana ulitulaza kimuhemuhe...... Hii story daaah! Itakuja kuishia vibaya Ndo maana unasisistiza kwenye title "YOU CAN'T HANDLE THE TRUTH"

Leo niko FULL! Ikilia tu Azana mje huku mfuturu na story kaliiiii! TENA LEO SASA NDO BALAAA. MAANA TANGU ASUBUHI NAANDIKA.
 
Kwa maelezo aya Walter anambeba mtoto Wa kitabu ndo maana ya kichwa cha story overrrrr mnao umia muumie myazooe tu ila story ndo ivyo mwisho wake.
Haiwezekaniii,. Hii story imekaa kikorea unaemla ndo wako,walter ndo anaemmudu inspector,Iqra ni wa collin atabadili dini japo baba ake atachukia ila badae atakubali maji hufata mkondo and you CANT HANDLE THE TRUTH itakuwa hivyoo,..anaebisha tubet
 
Back
Top Bottom