angelita
JF-Expert Member
- Jun 13, 2013
- 3,017
- 2,445
saa 5 ulete kweli tena mwendelezo wa ulipoishia mtu mzima silali.Daku muhimuu sanaaa saa 5 kamili kama kawaida
saa 5 ulete kweli tena mwendelezo wa ulipoishia mtu mzima silali.Daku muhimuu sanaaa saa 5 kamili kama kawaida
Collin atazuga me nshamuona na kwa story ile alopata kwa carina iqra atakuwa na walterWallah hapa collins akishindwa hapati tenaaaa sio kwa kuku kuingia bandani bila ya mchele looh cant wait jamanii mweh

Tena asituchafulie hali ya hewa hajui kuwa hainaga makombo kwaniCollin atazuga me nshamuona na kwa story ile alopata kwa carina iqra atakuwa na walter![]()
Punguza kiherehereUna haraka ya nini?
Jamani leo saa 7. Internent ya Voda inakatika katikaaa sanaa. Nishaandika imefika nusu imefutikaaa. Kiukweli hapa navoona saa 7 usikuuu. Am la mni PM bundle la tigo TULE ASALIIIIII. Sina gharama bundle la 2000 tu linanitosha la Tigo
Hahahaaaaaaaa! NAONA MNAJIACHIA TU NA STORY LEADING! YANI MNANIELEKEZA KABISAA JINSI YA KUMALIZIA HIO STORY, INSHORT KILA MTU ANAJIAMULIA MWISHO UWEJE. MATOKEO YAKE MWISHO WOWOTE NITAOUWEKA NITAONEKANA STORY LEADING ZIMECHANGIA. HAHAHAAAA!
NAWAKUMBUSHA TU MPITIE TENA TITTLE YA UZI HUU "YOU CANT HANDLE THE TRUTH"
Duh asee huo utabiri wako ni kwikwiC
Collins atamuoa Inspecter. Walter ataoa grace wa muddy na mudy ndio mume wa iqra!
We're muddy na grace awaachani kabisa japo Walter alimbaka grace ila awakuachana tabiri upya mkuuC
Collins atamuoa Inspecter. Walter ataoa grace wa muddy na mudy ndio mume wa iqra!