Weekend Story! The Grass is always greener on the other side

Weekend Story! The Grass is always greener on the other side

Leilat!

Kwa umri huu niliofikia, na level ya maisha niliopo nadiriki kusema kuwa wanaume hawanipi stress kabisaaa. Zile zama za kujambishwa jambishwa na vidume zimenipita kwa kweli. Nashukuru Mungu kwa kweli. Nina mjengo wangu naupangisha, nina gari zangu 2, wazazi wangu nimewajengea, nina mtaji wa million 50 usioyumba, nina mashamba, million 5 za matumizi kila mwezi hazinipigi chengaaa, aaahhh Alhamdullialah kwa kweli. Kama kwenda nje nishaenda sanaa, naenda kama naenda Ilala. Mzigo ukiisha nafata. Yaani sijui wapi sijaenda. Nishaenda Ulaya karibia yote labda waongeze mipaka, hio Us nishaendaa, south america nayo nimetamba sanaa, tena kwa kujisikia tu. Kama kupanda ndege nishakuwa staff nina niko Gold member huko.

Sahivi sijui nini mimi kitanizuzua. Nashukuru wazazi wangu hawana kitu ila mwenyewe kwa kukomaa tu na dunia mpaka nimetokaaa, ofcourse there is also Gods grace. Kwa hio sahivi wanaume wanavo jamba jamba nawatizama tu, kwa masikitiko. I live my own life on my own rules.

The only 2 regrets i have maybe sikuzaa tu mapema. Not that sikuamua ila maisha yalibanaaa sanaaa. Nikaamua nisizae kwanza nikomae na life. Nina mpango wa kuzaa soon maana sasa ndo wakati muafaka. Na regret ingine nimekuwa mzinzi all my life, so disapointing to my God. Ndo maana dini zinasema oleweni na maskini wenzenu kusudi msizini, kukomaa na maisha unajikuta una over 10 years experience ya kuzini. Hata kama mume FREE P, walau unakuwa on the good side of God, tukiitwa wazinzi hutoki. Hahaaaaaa. And the worst part at my age kila mtu anajua there is no way lazima nazini on daily basis, maana mume sina, naishije kama sio kugongea kwa watu. Hahaaa. Kiukweli mi nishazini sanaa, hainisumbui kinachonisumbua ni kwamba Mungu kanitetea sanaa, why cant i do it for him. Nimlipe fadhila Mola, kwa sababu zamani nilimlilia njaa kali ndo maana nazini, kaniwekea jaba limejaa nyama, sasa nazini kitu gabi tena. Tseee tseeeee tseeeeee tseeeee. Inatia huruma.

Sio kwamba mpaka leo i never wanted to get married at a point in my life, bali ni kwamba zilitokea situations tu, zikasababisha ikashindikiana . Partly i blame me, partly i blame life, partly i blame the delvil. Whatever, it is what it is.

1st i wanted to marry Michael, my collage sweet heart. Tatizo Michael alikuwa mchoyo yule mwanaume sijawahi kuona. Na alikuwa ananiomba pesa tangu tupo chuo. Siku 2 utasikia nitumie vocha narudisha. Namtumia anarudisha. Siku 2 nikope kiasi hiki. Nikashindwana nae chuo hapo. Mambo gani ya kuchunana mchana kweupe. Alijitahidi sanaa sanaa kirudisha uhusiano wetu ila nishaa mua sichunwi ngoooo.

Baada ya chuo he got this really nice job at auditing firm. Tulipotezana like 2 years akaja kunitafuta. Nikajua he was changed. With his new job, gari ya mkopo, na kupanga nyumba nzima nikajua i must have made a mistake kuachana nae. Alivonicheki nikajirahisisha hatari. Akanialika kwake ndugu wasomaji, nikaenda, akala mzigooo. Hakunipiaaaaa. Ndio hakunipigiaaaa.

Nikawa nikimpigia hapokei, mara apokeee na kudengua denguaaaa kama shoga wallah! Amachotaka niende anilee afu basi. Hakusema ila inaonesha alikuwa na mtu mwingine he wanted a sexual relationship. Ila anakupiga miti afu baas. Nika mblock kwenye simu yangu.

Nikaja kukutana nae tena mbele mbele huko akanila tena afu basi. Yaani huyu motoni atakuwa kuni. Baada ya kunila akaja kuniambia naoa mwezi ujao. Nilikuwa na dhiki hatariiii. Sina kazi, nina nyumba ya kulipa, nimedataaa. Nikamuomba msaada wa kodi 150,000 hayo ya yeye kuoa sikuyajaliiiii, njaa mbaya sanaa. Akaniambia sina. Mtu yuko Auditing firm kabipa Free pumbu si chini ya mara 10. Kweli wa kuniambia mimi hivo.

Akaja kunitafuta akiwa marekani, alitaka kunidolishia, alijua bado nimechoka kumbe Mungu si lara 1, wala Von Mo nikawa na kikazi cha kuzugia. Nikawa namjibu dry tu. Nika muuliza umeoa? Bado ila this June ndo naoa sijui nini. Nikamwambia niletee kadi ya mchango. Mpaka kesho hajaleta kimyaaa.

Nikaja kupata bwana White, Hb hatariii. Tulipendana vibaya mnooo. Nae akaanza tabia ile ile ya kukopa pesa. Sasa sijui mwenzenu na pesa nyingi au wanaume wakiniona wanaona mi safe la hela sijui. Nikawq namkopesha namdai. Namkopesha namdai. Ila nikachokaa. Akaniazima camera, akaja kudai imepotea najua aliibana kabisaa. Ndo tabia gani za kiswahilii swahiliik

Nilikuwa nampenda hatariii hasa uzuri wake nikajua nikizaa toto litakuwa zuriii hatari. Namvumilia. Ila akawa haeleweki heleweki, mara simu asipokeee, mara aende safari isio eleweka. Namvumilia tu. Mara aseme demu wake wa zamani anamtaka. Namchoraaa tu. Mara msichana wa kiarabu kamtongoza. Yaaaani mradi aninyime raha tu.

Huku na huku siku kuna namba alinipaga kitambo, akaja kusema niufute haitumii tena, tuko kitandani tayari kwa mechi kabisaa, akasema nimtumie picha ya viatu kwenye hio namba, nakuta kakiweka kitoto cha chuo profile. Mxiuuuuuu. Nikamuuliza huyu nani? Oooh usifatilie sanaa utaumia, mambo mengine potezea. Nikamwambia sawa baba. Usiku ulipita bila bila. Asubuhi kaondoka nikawa nampotezea. Ile mapenzi yamekufa zamani.

Sasa alipata kazi mkoa mwingine, ambapo kuna wazazi wangu. Nikamuombe apangishwe nyumba ya servant quarter. Mzee akampangisha. Mpaka sakata linaendelea la profile picture akawa anaishi pale. Ingekuwa mtu mzima anajiongeza angehama. Hakuhama. Mimi nikawa nashindwa kwenda nyumbani kwa amani. Nikakaza roho.

Akijua nipo analeta mademu hatari kama kunikomoa tu. Roho ikaniumaa sanaa. Nikamwambia Mzee mfukuze. Akakomaa kwanini? Ikabidi nimwambie uwongo anakusema kwa wtau sijui nini. Mzee sababu mimi bintiye akaniamini japo analalamika mpangaji wangu mzuri sanaa, hanikawizii kodi hata kidogo. Moyoni nasema nyooo. Akampa notice. Akagoma kuhamaaa kabisaa. Akamwambia naongeza kodi, mshaona mpangaji anajipandishia kodi??? Mzee akanicheki kweli nimfukuze, nikamwambia shauri yako, usomfukuza mtaa mzima watakuwa wanakishangaaa.

Akamkazia huo uamuzi wa familia kijana, hamaaaa. Akaja kuhama siku Mzee yupo ndani, afu fungua akamtupia uwanjani. Ila kwa dharauuuu. Mzee akasema kweli kijana mjeuriii nimejioneaaa. Hahahaaaa. Hatujaonana tenaa akaja tu kuni follow Instagram. Nikasema njoo mwana hizaya wewe nikukomesheee na maishaaa.

Ofcourse wote walikuwa na mazuri yao mengi tu walionifanyia, ila sio ya kujadiliwa leo. Yana siku yake niatawapa kwa undani.

Katikati hapo kuna Mnyalukolo aka mla mbwa tulikuwa tunakutana chuo sema hakuwa hata na 100, alikuwa katoka kijijini Iringa huko mshamba hatariii. Nilimzoea juu juu tu. Nikakutana nae posta kabla sijakutana na white ila nishatibuana na Michael. Tukapeana namba tukawa tunawasiliana. Alikuwa hana hela kabisaaa. Kachokaaa. Sema alinifundisha biashara ya kutafuta tenda, yeye kasome mambo ya electrical engineering, na security. Mi natafuta kazi wananilipa 10%. We made a lot of money together. Ila aliletewa msichana kijini mnyalu mwenzie amsomeshe nursing, akawa kamla wakazaaa. Ila hampendi hampendiii hata kumuonaaa. Sijui alilogwa sijui vipi.

Akataka kunioa mimi serious kabisaaa, tatizo maisha yake nilikuwa nayaona magumuuu, afu sijampendaaa, yaani balaaa juu ya balaa. He treated me very well. Ila sasa akanza kufosi tuwe woteeee. Namna gani tena , mnyaluuuu. Nikaachaga kufanya nao business. Akawa ananitafuta from time to time napotezea tu.

Hata nilivokuwa na white ananitafuta, namzingua siku zinaenda. Akaja kupata kazi pension funds. Alipewa kazi na ndugu yake waziri. Akawa boss mkubwa tu, kitengo cha tenda. Na kampuni yake ile tuliokuwa wote ikawa imekuaaa, anafanya miradi ya billions. Na hivi nyalukolo kama mkinga. Akainvest kwenye fuso, akawa nazo kama 6, mashamba anafuga na kulima mbao huko Iringa, matrekta yuko poa vibaya mnoooo. Still offer yake iko wazi all this time me kujiongezaaa.

Baada ya kumtimua white akaja tena na offer yake ile ile. Sasa mda huo nishachoka kudanga, sijanufaika chochote, nikaamua kukomaaa kufanya biashara mimi kama mimi. Huku na huku nikatoboa bisiness, bado marafiki wazuri sanaa. Mpaka kesho. Akanitafutia mashamba, of which sina intrest amenilimia mbao, nangoja kwenda kuvuna, maana alinunu heka 110, akasema ngoja nikupe hizi 10 zinavuruga hesabu. Mgagaa na upwa sili wali mkavu. Chakula sinunu mjini hapa, mchele, unga mbuzi, kuku, naletewa tu. Sms tu inaingia kachukua mzigo kwa J4 anakuja na fuso T ngapi ngapi. Gunia la mhele, viazi, mahindi, tenga la kuku. Aaaah sina stress.

Mpaka tunavoongea his offer still stands, mda m2ingine nawaza huyu kaka kanifanyia yote haya sijui nimzalie mtoto mmoja, si ndo atanifanyia 1000000 ila roho nzito, sikio la kufa halisikiagi dawa.

Kuna fupi pia, mwalimu wangu wa tution. Aliniomba sana sana anioe, tatizo ndo ufupi na kushikwa akili na mama ake. Fupi mfupi msijue fupi kishkaji. Kanibembelezaaa, akachokaaaa. Sikumpendaga tu. Nimegawa uchi bureee Ta mpaka dubai, mpaka china, mpaka Paris Free P tu napigwa huyo huyo Leila, ila fupi hamuwezi amini nilimnyima uchi mwenzenu. Ule ufupi wake nilihisi kibamia sijui. Sijui.

Akaja kukata tamaa, akaoa demu mkaliiii, bongeeee moja ya demu, naingia kwake mara laki moja labda. Mpaka nikajiona mpuuzi kumkataa fupi wakati mwenzangu mzuri kuliko hata mimi kamkubalia na wanajiachiaaa kwa raha zao. Ila sijui ilikuwaje ndo haikudumu hata mwaka.

Sijui details, ila mama fupi akiongelea swala la ndoa ya mwanae kuvunjika lazima anitaje mimi na kunitupia lawama zote. Maza kama mwanga. Ingekuwa nishawahi kumvulia chupi fupi ningestukaa na yanayosemwa ila sababu na umalaya wangu wote sikuwahi, that is the only case i am clean 100% sistukii. Fupi ana insist tukutane, tukutaneee, tuongee, nafanya kumkimbiaa. Maana watu si ndo watasema lisemwalo lipo.

Nikitaja list yamabwana zangu wote nitajaza hili jamvi, hao ni wale parmanent au waliojitokeza katika muongo mzima. Amabao siwezi kuwa ignore. Kuna hawa wa mpito tuachane nao kwanza, maana walipotea kama walivoibukaaa.

ITAENDELEA KESHO
 
Mnyalukolo!

Mimi ndo muhehe, mla mbwa! Wahehe tunakuwa under estimated sanaa, tunakuwa tunachukuliwa waplle, watu wa kujinyonga sanaaa. Wanasahau hakuna mtu mwenye kiburiiii, na dharauuu vikiambatana na jeuri kama Muhehe. Yaaaani! Wahehe sisi ni mwisho kabisaaa. Hata mimi ukiniona hulka yangu ya upole, ukimya you may take me for stupid, ila unakosea sanaaa.

Of recent nina matatizo mengi sanaa, financially i am a free man, ila binadamu tumeumbiwa matatizo. Ulijikomboa huku, huku kunaanza kuangamia. First and foremost i dont love my wife, at all. Sijui yaani sijui ilikuwaje nikazaa nae. Sijui. Mimi msomi, Engineer mzima by then, kwenda kuzaa na mtu wa kijijini sijui ilikuwaje.

The sad part is wife mwenyewe anajua simpendiiii, na ameridhika kabisaa, maadamu natoka na kurudi hapa nyumbani hana tatizo, hata akipiga mwanamke anapokea na kumwambia anaoga huyu. Iiiiiii. Nikimwambia naenda kwenye sherehe ofisini anasema sawa, hata kutaka kunisindikiza sijui nini walaaaaaa, anajua kabisaa sipendwagiiii mimi hapa.

Apart from her village looks ambazo ni turnoff kubwa kwangu, mke wangu mwenzenu mchafuuu. Nimejitahidi namnunulia manguo ya botic, 200,000 na upuuzi, charity begins at home, nikipelekwa na mchepuko nikalipe kesho naibuka kufata za wife, mpe siku 2,utakuta gauni ya 250,000 anika nayo jikoni. Anauliza sasa Baba Janet naendaga wapi useme nitavaa, mimi si wa umu umu, navaaga umu umu tu, we mume wangu ukiniona inatoshaaa. Siku 3 haina tofauti na mtumba.

Watu pengineo wanasema yule boss hamjali mkewe, boss ana roho ngumj, anakula Italian suits, afu mkewe kafubaaa, hawajui tu. Na kumfubaza mwanangu sasa. Imebidi kila mwezi nanunua uniform mpya, za zamani zimefubaaa mweee. Naona mwanangu atanyanyasika. Anafua zinachujiana humo humo. Nimenunua washing mashine wapi. Ni janga. Suit zangu za ofisini hagusiiii, nimempiga marufuku, napeleka Dry cleaner mie, zikafuliwe.

Linakuja swala la low IQ. Mke wangu hana analoweza kufanyaaa. Nawazaga nikifa mimi, mwanangu atateseka sanaaaaa. Nimemfungulia saloon imemshindaaa. Anaamka saa 5, saa 9 karudi ampikie mume. Anaibiwa mpaka nikasema sasa stop. Kodi ikiisha natoa, hela za dawa natoa, namuuliza ushajua kusuka mwaka mzima hata butu hasuki, nikasema yatoshaaaa. Nikauza vifaa vyote. Nikamfungulia duka la nguo. Mchepuko wangu Leila unauza nguo. Anauza nguo zikiisha hana hela ya mtaji wala faida,atawagawia mashosti wote, ndugu zake, 0 brain kabisaa wala simsingiziii. Nikasema sababu anapenda kupika nikamfungulia cafe, kila siku natoa hela ya manunuzi, nikaona ujinga huu. Frem mda ulipoisha nikamwambia achia. Leila akasema mpeleke kitumbini vitenge ni mtaji tu ndo unatakiwa, ukishakuwa na mtaji haviitaji akili kuuza. Mmmmmmh! Nilimpa million 15 ikakata yote. Nikasema mama kaa nyumbani uleee. Basi hivi anashinda home, yeye na bafu wamekuwa maadui. Ananuka kikwapa ni balaaa. Nanyamaza tu, maana nikisema niseme nitasema sanaaa.

Kama kuoa nilitaka kumuoa Leila, nilimpenda huyu mtoto sijapata kumpenda mtu kama nilivompenda Leila. Yaaani nilikiwa tayari kwa lolote. Tatizo Leila hajatulia mambo mengi sanaaa. Na nilikuwa tayari kumpa mda atulie, nimvumilie tu, ila ndo hivo tutaongea yoote ila ukweli utabakia pale pale Leila hajanipendaaa. Ndo kitu nachojiuliza miaka yote WHY? Sielewe.

Leila kunikataa kulinivunja sanaa maini mpaka nikaamua kutembea na wife wa kijijini mwenzangu. Kulinipotezea confidence zote. Back then nilikuwa tu a boy trying to make it in life, afu maisha magumu hatariiii. Kazi napata mtaji sina, nakopa kwa riba. Nikajuaga alinikataa sababu ya pesa.

Nikaja kupata pesa, bado hanitakiii. Ka,a kumfanyia wema, hata mke wangu sijamfanyia wema japo nukta ya niliomfanyia Leila. Analiwa na wanaume wengine, maisha yakimkaanga anakuja kwangu kukopa million, million 2, nampa tu bure. Nikitegemea iko siku atanifikiria. Nikichukiaga namblock hata miezi 6, baadae namua unblock na namrushia vipesa kidogo anasahau, tuendelea tulipoishiaa.

Ashataka kunipa uchi mara kadhaaa, nikakataa mwenyewe, cause sio lengo hilooo. Mi nataka mke, mama Jane yule suria tu, mi nataka mke, nataka anipende toka moyoni mwake, anithamini, sitaki anipe papa kugangaa njaa. Sasa utashangaa mgumu kuji commit ila kukupa papa la fasta hana iana, siku nikiamua naenda kula papa nakula. Na nisichotaka ni kionja afu nianze kuona wajinga wale wanamle wale, nitaia mtu, mwanangu ateseke. Ndo tupo hivo mwaka wa 7 namtongozaga tu bado, nae ananikataa kiaina.

Sasa nina pesa, nina investments, na msema kweli mpenzi wa Mungu nimekula sanaa watoto wa kali sanaa, Leila akasome tena chekechea, nimekula wake za watu, nimekula waaraabu, wasomali, wahindi, mijimaaa, vimiss, bongo movies, bongo flevaaa, hawa junior staff wangu nimegonga mpaka basi. Ila my decision who i want marry has always been the same, LEILA.

Baada ya kupata hela bado hanitaki ndo nimevunjika moyo kabisaaa. Alikuwa na shida mbwa yule balaa, nikajua hapo ndo pa kumpatia, waaapi, her obssesion and ambition to get rich was next to none, nikasema nimsupport, maybe akiwa na hela she will get bored, atatamani kuolewa kama wanawake wenzie, atakuwa na kila kitu. Waaaapi. Kupata pesa ndo kawa jeuri hatariii. Naenda nae kininja.

Najiulizaga kanilisha nyama ya tako nini, kupenda gani huku, mtu kanizalia mtoto simpendi, yeye hajanipa chochote nakufa naoza juu yake si ndo kula nyama ya matako huko? Maana ile ukilishwa huponi mpaka utapishwe. Hahahaaaaa! Msitoe macho ndugu wasomaji, mimi mtu wa kusiniiii, kuwanga nakujua na ni sunaaa. Nyama ya tako sio Tigo naomba twende sawa, nyie watu wa pwani, mna mambo ya ajabu ajabu. Ni nyama ya ngombe kabisaaa, hii hii ya buchani. Anaikata kipande anaiweka kwenye Tigo, masaa 8 sijui 10, wengine kukomoa 24, anaitoa imagine inavonukaa! Hahaaaaaa! Mxiuuuuu! Anaipika na nyama zingine, anaiunga roast madiko diko, anakupakulia. Ukila ile yenyewe OG iliotoka kunduchi umekwishaaaaa mzee baba. Maana wanasema anipende kama tako linavopendwaa na waarabu, ukionja huachiii, anipende hivo hivo. Hahaaaaaa. Na haina dawa wala kinga, ukilishwa umelishwaaa. Mpaka umpate mtaalamu akutishe hiko kipande sio leo.

Kuna mwenzangu alitapishwa Sumbawanga, maana aliniambia anataka kubadili hati ya heka 100 zake za miti Makambako aweke jina la mtoto wa mkewe wa nje, mxiuuuuu, nikajua ashalishwaaa nayama ya tako huyu, mkewe mkinga yule. Nikamzoa zoa mpaka sumbawanga. Mtaalamu kafanya yake, akapika kile kipande kizimaaa. Degestion na bilogically impossible ila kilikuwa kizima vile vile. Na alimtimua mkewe. Nikamuuliza mtaalamu kuna binti anaitwa Leila hajanilisha kweli hiki kitu. Akasema hamnaa.

Ila nimekuja kujua i just love her simple nature and mind. Siku hio COET sina hata 100. Boom nalimia miti Makambako, akanisalimu mambo kaka. Kwa watu wa faculty za ngwini, commerce huko walikuwa mademu wajeuri. Tangu hapo ananisalimu tu. Hajui kumdharau mtu. Hajui kujikwezaa. And she is always HAPPY despite ni hali gani anapitia, au ni wakati gani. Na ni mtu wa kushukuru mda wote. Plus her passion to make money is only next to mine. Tukioana tutakuwa bonny and clyde. Ndo akubali sasa nimuoe. Inakera sana watu wanajaribu kunirogaa niwaoe hawajui tu mwenyewe mwanga na mshirikina cubic afu naemtaka mimi hataki.

ITAENDELEA KESHO
 
Hii kitu cjui niliikosaje?hapa nishasoma kazi zinaenda sasa...lara1 karibu tena nilimiss hizi mambo atleast napunguza machungu ya DAB na baba ake
 
aiseee!na uroho wangu wa kula vitamu hiv sijalishwaga ya trako kweli!???dah!
 
Mama Mnyalukolo!

Mama Leilaaa! Nikastukaaa. Yani hili jina la Leila kila likitajwa nastuka, afu naumiaaaa, tumbo linanikataaa si kidogo. Siku hizi fadhali, zamani nilikuwa naingia period kwa uchungu naosikia. Katika maisha yangu kuna mambo ma 2 tu yameniumaaa na kuniumizaaa sanaaa, mpaka sidhani kama nitarevover from these situations. La kwanza ni kuzaa mtoto akafariki baada ya siku 3. Mpaka kesho kutwa namiwazaga yule mtoto. La pili ni kugundua Mnyalukolo kampa mtoto niliemzaa mimi, kwa kushonwa nyuzi 12, kuchanika nyotaa, maana atleast wengine wanachanika veritical au horizontal, mimi nimechanika nyota vertical na horizontal zote kumletea mtoto afu akampa jina la malaya wake Leila. Jina silipendi hili kama pedi iliotumika. Afu the fact mwanangu, damu yangu, ndo amepewa hilo jina, mxiuuuuuuu. Ndoa matesooo, matesooo yanakimbizana na Calvary.

We jitu limempa mtoto wako jina la malaya wake, na unatakiwa usamehe na kuwa happy. Kmanina tenaaa. Namtizama tu mnyalu. Sitokaa kuja kumsaehe juu hilo. Achia maswalo, nyie wote wakristo, mbona mtoto ana jina la kiislamu? Anaanza kutunga uwongo na kweli. Mnyalu kanikatalia mimi kumpa mwanangu jina la Marehemu Mama yangu, kipenzi changu. Ila vina mwisho. Nwaambia wasomaji vina mwishooo.

Mtoto mwenyewe nimempata kwa taabu sanaa, Mnyalu katiliiiiik, yani ibilisiii mtu, nina mimba ndogo tu miezi mi 3 naambiwa nenda kijijini. Jamaniiii! Nimekuja mjini kutafuta maisha, nikapata bwana msomi, narudishwaga kijijini. Nikaka kijijini na mimba yangu, nabeba maji kichwani, napasua kuni, nimejifanya tu mjinga. Hatumia hata 10.

Bibi yake akaja kuniona ndo kufosi nikaishi nae, maana Mnyalu alilelewa na bibi, kwa hio mimi mwali wa bibi. Bibi kidogo ana roho nzuri. Akawa ananitunza vizuri sasa. Tatizo zahanati na kwa bibi mbali sanaa. Siku ya kujifungua bibi kachokaa yule ila alijikokota mguu kwa mguu mpaka tukafika. Mtoto mkubwa, uzazi wa shida shida, ila nashukuru nikafanikisha.

Nikarudishwa mjini kuendelea na maisha mengine. Akampa hilo jina, haskii la muhadhini wala mnadi swala. Nilipojua undani wa hilo jina nimeumiaaa sanaaa. Sijawahi kuumia hivo maishani mwangu. Sijawahiiii. Nikamuitika beeeeeeeee!

Yule Leila bado anakusumbuaaa? Maisha yana maajabu, mchepuko wa mumeo umefanana jina na mwanao. Mtihani kweli kweli. Nikamjibu Bado ananisumbua shoga angu. Akaniuliza "Kwanini usimpotezeee, you know, fanya kitu permanent kama kumpiga uchizi au kumuua, mume anaumaaa jamaniii, mi ningeshamla nyama siku nyingi. Kiruuuuuuuuu!"

Nikaona kweli huyu binti hajakua. Nikampa somo. "Ujue nikimtoa Leila, wataibuka wengine 200, bora Leila tunajuana, tunaheshimianaaa, binti yule hata iweje nifanye sherehe, msiba, chochote, hakanyagi kwangu, sherehe niliopo mimi haji, na nikija anapotea ghafla, hata hapa saloon nilipoanza kuja mimi yeye si kakata mguuu. Ndo hivo, anajua mimi ndo mwenye mali, na yeye ni mwizi tu. Sasa mimi Leila nammudu hata kesho nikitaka kumpoteza nampoteza ila tunasahau chanzo cha problem sio Leila, ni mume nilie nae ni malayaaa, maluuni mbwa.

Utamtoa Leila ambae ana mregulate na kumfanya awe focused, atalala mpaka na hausgirl, ndugu zangu, majirani, atapoteza dira. Bora yeye awe focused kumpata Leila, na leila mtoto wa mjini kufua fua mavi anataka, thubutuuuu, hamkubaliii katu, mi niko pembeni nawacheki tu.

Hasara atapata Leila, anazeeka hajazaaa, wala bwana wa kudumu hatafuti, anahisi mnyalu ataishi milele, siku akifanya paaah, ndo baas tena, mali zote tu achukua mi na mwanangu, malaya ana rithi? Malaya anakuwepo kwenye mirathi, shauri yake, ujana anauchezea hivooo. Uzee waja hivooo.

Mimi sina shidaaaa, atembeze dudu jiji zima, jioni aridishe kende zake nyumbani. Ada analipa, vitega uchumi tunavo, nakula nachotaka, navaa nachotaka, naenda nakotaka, nitake nini tena gunia la maviii jamani au.

Heshima basic ndani ya nyumba ipo. Hawezi kunitajia leila, au aseme nalala kwa leila, haiwezekani hata siku moja. Akiulizwa mkeo nani, anajibu Maria. Kazini kaandika familia Maria na Leila mwanangu. Facebook niko mimi mama la mama, insta niko mimi mama la mama. Hata mbwa na paka nao wanahitaji kula, kama wameamua kula makombo sio kesi sanaaa.

Naweza kuacha haya makubwa kisa kukomaa na kidogo anachopata Leila. Na nikimpa Leila attention kumpiga vita, ndo atapata sympathy ya mnyalukolo vizuri. Mi nawapotezeaaa tu, ndo maana , mnyalu mimi anani heshimuuuu. Isitoshe Leila ndo sugu ila kwenye ,safara wa mamba nakenge pia wamo. Avumae baharini papa ila wengi wamo, nitapambana na wangapi?

Nina njia zangu za kuchanne hasira zangu na ghadhabuuu. Kama kutembea na boda boda, nawagaia uchi hatariiii. Nawasusia kabisaaaaa.Na hela juu nawagea. Mume hanitaki, hanigusiii basi akisusa wenzie wanakulaaaa. Mda mwingine namkomoa tu sinyoi hata mwaka mzima, mradi tu kutibua mazingiraa. Siogiiii naoga ni sasa wakati sitakiwi. Nakula kila kituuu, nazidi tu kupasukaaa. Tumbo la uzazi nilijibinyaaa likasinyaaa sahivi nakula viporo na biaaa, wacha nijipasukie mimi.

Niashazoea tunakaa hata miezi 10 hamna kupeana mechi wala nini na mimi hata simdai. Nikitamani natafuta bwana namfugaaa. Sema nafanya haya frustrations tu, ila moyoni nampenda sanaa sanaa sanaa mume wangu. Natamani tuwe kama zamani mpaka tukapata huyu mtoto. Hata biashara naziua makusudiiii tu, yanini mimi nihangaike wakati bwana hanitaki? Nahangaikia nini sasa? Akinipa mtaji nauaaa, nilishamstukiaaaa alitaka nikisimama kibiashara aniambie ananiachaaa, thubutuuuuu. Ndo biashara haisimami sasa. Ananiona mimi mjinha wakati mi namuona yeye mjinga

Usifikiri sijafikiria kumloga au kumlisha nyama ya tako. Nishafikiria hilo sanaaa,atizo namjua mume wangu, mshirikina mwanga mbayaaa, vibaya vibayaaa kuliko mnavodhani. Nasiku hata akihisi tu nataka kumloga ndo mwisho wetu. Ashaniambia wewe mwanamke usidhubutu kunifanyia mambo ya kipuuzi, mimi mwanga kuliko wewe unavodhani. Siku nikukamamta unanifanyia ulozi sitakusameheee. Yaaani usije kujaribuuuu.

Siku hizi na kijana wangu wa boda boda, nampenda ni hatariiii. Kijana ananijuliaaaa, anajua nachopenda moyoni mwangu. Anajua kunipiga deki nikasuuzika. Nilichukua hela vikoba million 3 nikamkabidhiii zote anunue boxer boda boda yake. Alifurahiii huyo si kitoto. Siki mnyalu akinifuma atafurahiii sanaa maana ndo atapata pa kuniachiaaa. Hahaaaa. Na hanifumi ngoooo.

ITAENDELEA KESHO.
 
Back
Top Bottom