Weekend Story! The Era of Dogs

Weekend Story! The Era of Dogs

Sikuamini sababu kama huna roho mbaya mbona nakuita chumbani PM uje nikupe ya moyoni lakini hutaki.
Tatizo unawaita wengi KARANJA ndo mana wadada wanakuogopa,hebu toa mchango kwanza story ishushwe ndo uwaite
 
Tatizo unawaita wengi KARANJA ndo mana wadada wanakuogopa,hebu toa mchango kwanza story ishushwe ndo uwaite
Yaani umesema kweli kabisaaaa,yaani una machale makali coz nimewaita wengi sana tena saana na ndio wananiona chakubanga,lakini hawajui ni bonge la PEDESHEE handsome boy alietembea dunia na sasa anataka kutulia na kula MAKUKUZ bila kuchanganya madawa.
 
maisha yangu sitokaa nimsaidie mtu...
nishatesekaga sana nikakosa hata sh mia hakuna alienionea huruma yaani
Mungu atamsaidia tu kama alivonisaidia
Sawa ila hukuwa na sababu ya kuandika huo uamuzi wako hapa kwakuwa unawavunja moyo wale wenye mioyo ya kuchangia.
 
Yaani umesema kweli kabisaaaa,yaani una machale makali coz nimewaita wengi sana tena saana na ndio wananiona chakubanga,lakini hawajui ni bonge la PEDESHEE handsome boy alietembea dunia na sasa anataka kutulia na kula MAKUKUZ bila kuchanganya madawa.
Hahahahhaaaaaaaa,..umeua mkuu,hebu niwaite nyie Skyeclat,natafuta,rubii,na wengineo hebu nendeni PM mkashinikize huyu PEDESHEE atoe hiyo 1mil. Story ishushwe
 
Hahahahhaaaaaaaa,..umeua mkuu,hebu niwaite nyie Skyeclat,natafuta,rubii,na wengineo hebu nendeni PM mkashinikize huyu PEDESHEE atoe hiyo 1mil. Story ishushwe
Mbona watakoleaaaaaa coz nina maukwaju na asali.
 
Back
Top Bottom