lara 1
JF-Expert Member
- Jun 10, 2012
- 15,700
- 29,161
Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!
Wakuu hii story niliipata nikiwa wodini baada ya kupata ajali mbaya sanaa nusra nusra almanusra nife, back in 2013. Nilikaa saa wodini, almanusra nikatwe mguu, nilihangaika sanaa, nikaenda India na kwingineko hamna sehemu sikuhangaika.
Sasa sababu ya mazingira, moods na mambo yaliyonikuta wakati huo niliandika kwa hisia sanaaa, uchungu sanaa, could have been my last story. Nilikuwa naiweka nije niitungie kitabu au niiandikie script na kuiuza. Nimewapa watu kama wa 3 hivi waisome tangia 2014 haijawatoka kichwani tunavoongea, wanaiulizia like wanatamani wajue wale characters wanaendeleaje.
Mostly ilikiwa inspired na story za wodini, historia za wagonjwa wenzangu. Sasa basi kwa ubora wa story hii siwezi kuwapeni bure.
Kinachotakiwa naifanyia FUNDRAISING kumekuwa na huyu mtanzania mwenzetu Ahmed Albety insta anatumia id ya @ ahmed_albety amepooza mda sanaa, ni mtanzania wa Tanga ana asili ya kiarabu. Sasa wamejikisanya kapelekwa China ila anatakiwa akae sanaa huko. Ni kijana mwenzetu na ni HB.
Mi nishatoa mchango wangu kitambo ila haujatosha. Sasa tuungane wana JF MWENYE 10,000 LAKI, LAKI 5 ETC ATUME HUMO 0715681380 HII NI NAMBA YAKE ILIOPO INSTA, WALA MSINIPE MIE PESA SHETANI, TUMENI KWAKWE MOJA KWA MOJA. IKIFIKA 1 MILLION NAANDIKA HIO STORY HAPA. ISIPOFIKA WALE WATAONIONESHA WAMETUMA PESA NAWATUMIA STORY PM WANAISOMA BASI.
Hospitals are so empty, so lonely so scary, kwa sisi tuliovuka salama tunajua how it feels to live with death in one room, mtu mnaongea hapo mara kaka kimya unaona pazia zinazungushwa just like that. Sasa basi fanyeni huo uungwana na utu wa kumtumia huyo mwenzetu maana mtu mzima kuomba hadharani sio rahisi, believe me, sababu nishapitia hio hali ya kutakiwa kuomba watu msaada. Ni kujivua utu sanaaa. Anyway Mungu kwangu alikuwa mkubwa leo nimesahau acheni tu.
Hio story ni nzuri sanaaa, wenyewe mnanijua sibahatishiii hii level za Art of staying married, Dare Devil, Valentine Story, yaani dude la uhakika. Usipojiongeza utasoma epilouge itakufaa sanaa. Hahahahaaa!
TUOMBE MUNGU HELA IKIFIKA 1 MILLION IJUMAA IJAYO NDO LENGO HASWAA LA KUANZA KUISHUSHA AND I WILL BE COMMITTED MAANA ITAKUWA SIO BURE VITU VINAWEKWA ON TIME. MI NAAMINI HATUSHINDWI 1 MILLION NI 20 PEOPLE WAKITOA 50,000 COME ON PEOPLE. ISIPOFIKA IT WILL BE A PITY MAANA ITABIDI NIWAPE WALIOTOA NA KUPROCEED KUKIFANYA KITABU.
THANK YOU IN ADVANCE AND LETS MAKE IT HAPPEN. NAWATEGEMEA MSINIANGUSHE
Wakuu hii story niliipata nikiwa wodini baada ya kupata ajali mbaya sanaa nusra nusra almanusra nife, back in 2013. Nilikaa saa wodini, almanusra nikatwe mguu, nilihangaika sanaa, nikaenda India na kwingineko hamna sehemu sikuhangaika.
Sasa sababu ya mazingira, moods na mambo yaliyonikuta wakati huo niliandika kwa hisia sanaaa, uchungu sanaa, could have been my last story. Nilikuwa naiweka nije niitungie kitabu au niiandikie script na kuiuza. Nimewapa watu kama wa 3 hivi waisome tangia 2014 haijawatoka kichwani tunavoongea, wanaiulizia like wanatamani wajue wale characters wanaendeleaje.
Mostly ilikiwa inspired na story za wodini, historia za wagonjwa wenzangu. Sasa basi kwa ubora wa story hii siwezi kuwapeni bure.
Kinachotakiwa naifanyia FUNDRAISING kumekuwa na huyu mtanzania mwenzetu Ahmed Albety insta anatumia id ya @ ahmed_albety amepooza mda sanaa, ni mtanzania wa Tanga ana asili ya kiarabu. Sasa wamejikisanya kapelekwa China ila anatakiwa akae sanaa huko. Ni kijana mwenzetu na ni HB.
Mi nishatoa mchango wangu kitambo ila haujatosha. Sasa tuungane wana JF MWENYE 10,000 LAKI, LAKI 5 ETC ATUME HUMO 0715681380 HII NI NAMBA YAKE ILIOPO INSTA, WALA MSINIPE MIE PESA SHETANI, TUMENI KWAKWE MOJA KWA MOJA. IKIFIKA 1 MILLION NAANDIKA HIO STORY HAPA. ISIPOFIKA WALE WATAONIONESHA WAMETUMA PESA NAWATUMIA STORY PM WANAISOMA BASI.
Hospitals are so empty, so lonely so scary, kwa sisi tuliovuka salama tunajua how it feels to live with death in one room, mtu mnaongea hapo mara kaka kimya unaona pazia zinazungushwa just like that. Sasa basi fanyeni huo uungwana na utu wa kumtumia huyo mwenzetu maana mtu mzima kuomba hadharani sio rahisi, believe me, sababu nishapitia hio hali ya kutakiwa kuomba watu msaada. Ni kujivua utu sanaaa. Anyway Mungu kwangu alikuwa mkubwa leo nimesahau acheni tu.
Hio story ni nzuri sanaaa, wenyewe mnanijua sibahatishiii hii level za Art of staying married, Dare Devil, Valentine Story, yaani dude la uhakika. Usipojiongeza utasoma epilouge itakufaa sanaa. Hahahahaaa!
TUOMBE MUNGU HELA IKIFIKA 1 MILLION IJUMAA IJAYO NDO LENGO HASWAA LA KUANZA KUISHUSHA AND I WILL BE COMMITTED MAANA ITAKUWA SIO BURE VITU VINAWEKWA ON TIME. MI NAAMINI HATUSHINDWI 1 MILLION NI 20 PEOPLE WAKITOA 50,000 COME ON PEOPLE. ISIPOFIKA IT WILL BE A PITY MAANA ITABIDI NIWAPE WALIOTOA NA KUPROCEED KUKIFANYA KITABU.
THANK YOU IN ADVANCE AND LETS MAKE IT HAPPEN. NAWATEGEMEA MSINIANGUSHE