Heheheeeeeeee si ya kucheka haya though [emoji23] . Ila Lara Wee nuksiiiiiiiii hufai hata kwa kulumangia aseeMsikate tamaaa nipo na dude nashushaaaa! Kuna story mpyaaaa! Jituuu kama MOTP story zake! Anakwambia kala wadada karibia 50 wa humu jf eti si kwa nia mbayaaa! ALIKUWA ANATAFUTA MKE. Mtaniuaaaaa kwa kusimuliaaaa. Kitu cha THE WIFE HUNTER KINAKUJAAAA. Na bado hajaoaaaa.
kuwa W ndo ile character tunatumia ID za humu. Samaritan ndo TWH! Afu Samaritan ana kesi ya kumu impersonate Man Of The People na kujilia nyuchiii za kutoshaaa. MOTP Kahifanya ghost inavosemakanaa lakini. Mzee mzima Samaritan kuhisiwa hisiwa MOTP akaona fursaaa ndo hio. Akajivisha uhusikaa. Kala kala nyuchi si haba inavosemekana lakini.
Ila wanawake sisi, come on! Hivi MOTP aneweza kuwa Samaritan our pal LIKE SERIOUSLY!!! Hahahaaa! Mda mwingine mnajiingiza kingi wenyeweeee.
Haha lara Mungu anamuonaSipati picha shape yake hahaa
Acha aweke mbwembwe tu kama episode iliyopita one for the road sio mbaya[emoji12][emoji12]
Lara leta kitu cha kulalia chenye stimu kali[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Tehtehteh umenikumbusha kuleeeee eti weekend ni Msomali tyu!!!! Wee mmbbbabyaaaaaa lol [emoji12] [emoji12] [emoji12]Acha aweke mbwembwe tu kama episode iliyopita one for the road sio mbaya[emoji12][emoji12]
Haha lara kakupatia kiki ya MOTP lol!!
Uwape za ibra Msomali marioo tu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Mahondaw wa Smart911
Hahahaah weee wapee tu wakijileta wapee wape tena natena wakikaa vibaya waongezeeee teh [emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23] hawakujuiii!!!
Mahonda wa Smart911
Yooomaaweeeeeeeeee!!! Kweli siku za mwisho Zimefika walahi . Vipi Umekua baba mchungaji nini???Aaaah! Hizi enzi za kumrudia Muumba rafiki. Hizi full na passport picture tutaziacha tu..ukalie ulalie yote ubatili mtupu!