Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,410
- 176,326
Wanaume wa safari hii wananiangusha sana, wanawake ndio kabisaaaa. Sijui hata yupi ana unafuu. Lydia alinikosha kidogo ila kaniangusha kumshobokea msomali.kwa msomali hata nishikiwe kisu sitaki
Wanaume wa safari hii wananiangusha sana, wanawake ndio kabisaaaa. Sijui hata yupi ana unafuu. Lydia alinikosha kidogo ila kaniangusha kumshobokea msomali.kwa msomali hata nishikiwe kisu sitaki
Huu upepo wa safari hii hausomeki maana marioo kila kona.Unasoma upepo kwanza?
Lidya naye ovyo tu...tusubiri huko mbele mambo yanaweza kubadilika labdaWanaume wa safari hii wananiangusha sana, wanawake ndio kabisaaaa. Sijui hata yupi ana unafuu. Lydia alinikosha kidogo ila kaniangusha kumshobokea msomali.
Huu upepo ni hatariHuu upepo wa safari hii hausomeki maana marioo kila kona.
Nyooo!Mie sina team.



. Huyu mtoto yabidi apate maisha shauri ake ohhho! Hahahaaa!! Hapana kwakweli bado sina team.Nyooo!
We team Sally!
Usijidai kumkimbia kisa kaingia gym amnase msomali.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Unaloooooi
- KANA -
Hapana.Na wewe unamtaka msomali?
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
- KANA -
Ndio wakati wake wa kutoka huo. Akiuchezea ndio basi tena!!Kwa jinsi wanavyom-hunt Alshababu! Mungu atuepushe na hiki kikombe. Huyu mtoto yabidi apate maisha shauri ake ohhho!
Sent using Jamii Forums mobile app
Uh!! Unanipaka mafuta kwa mgongo wa chupa uh!!!Usjali, you are right here with me!
- KANA -
Niko real honey!Uh!! Unanipaka mafuta kwa mgongo wa chupa uh!!!
Mmmmh!! Nitafanyaje sasa!!Niko real honey!
Kua na amani.
![]()
![]()
![]()
![]()
- KANA -
Mi mwenyewe msomali, inabidi ukubali tu!Mmmmh!! Nitafanyaje sasa!!
Picha tafadhaliJmn msomali mwingine Niko hapa ndo kusema hanioni au?![]()
Kama msomali basi sikutaki. Nakuacha.Mi mwenyewe msomali, inabidi ukubali tu!
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
- KANA -