Weekend Story! Glory Be To God!

Haha team msomali woyooooooooooooooooooo. Ngoja team Dee waje
 

Hahahahhahah ingeishia hivi ingekua afadhari. Fanani katuibia so kidogo.
 
Jamani nawaombeni radhiii ndugu zanguuu! Leo haikiwa siku nzuri, mood kidogo iko off key! Nawaombeni waungwana kesho niwasambazie raha!

Unaona unavyotusokota? Unaelewa kabisa nilivyovurugwa, nimekuja HQ, space imechukua mkondo wake, nikajua dude litaniliwaza. Naona imekua kinyume chake sasa.

Tutasubiria tu!
 
Hata usisherehekee mwaya hukumbuki tulivyomuombea tezi dume MOTP?lakini mwisho wa siku akabaki anatembea kifua mbele?

Sasa ile si mliambiwa ni true story? Kama MOTP kweli hakubahatika maradhi, mlitaka KLM amzulie na kumtwisha bando la mwaka la magonjwa? Punguzeni roho mbaya!
 
Inakera character from nowhere ndo inakuja kupata mzigo, nikama watu wamekimbia Marathon 20 km af 19km anatokea kusikojulikana MTU Tu na kuchukua kombe, ngempa yule alirjitahidi japo.
Halafu nishaona Lara unamalizia story kulingana na teams n comments Ila rectify that kua na plan kabisa ya story itaishaje nomatter what, kuna feeling flani unapata main xter anaposhinda. Beautiful story ila sijaona ilipomtukuza mungu mana ulianza kwa kusema hivyo
Hiyo ni analysis yangu, mtizamo Tu.
Pamoja sana Lara 1

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaaaa!! Mnawish huh!
 

Hata mimi bàdo najiuliza "Glory to God " imetumikaje? Anaesema hivyo ni B, Sally au Mama wawili? Boli naona ilikua bado kabisa hakuna mvua wala nini ila refa kamaliza pambano.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…