Uwiiiiiii yaan nmesoma hapa nmwpiga kelele kwa furaha hadi wateja wakanishangaa Hahahaha ngoja ni log out kwanza nifanye kaziNitakundikia baby wangu! Usijaliiii! ONE FOR THE ROAD.
SAA NNE USIKU JUUYA ALAMA.
AFU KWELI STORY ILIKUWA HANGING SANAA! Kwanza team Dee hawajapata habari yao! Hakuna mlichoshinda chochote! Mngejuaaaa mngekaa tu kimya.
Sijapokea rushwa yoyote kutoka popote. JIONI SASA NDO GRAND FINALEEEEE!
Dokezo : STERLING HAUAWI.
Bora baby sema team Dee mwanzo mwisho hata kama B ndio sterling nae mhuni wahuni hawatengani.Nitakundikia baby wangu! Usijaliiii! ONE FOR THE ROAD.
SAA NNE USIKU JUUYA ALAMA.
AFU KWELI STORY ILIKUWA HANGING SANAA! Kwanza team Dee hawajapata habari yao! Hakuna mlichoshinda chochote! Mngejuaaaa mngekaa tu kimya.
Sijapokea rushwa yoyote kutoka popote. JIONI SASA NDO GRAND FINALEEEEE!
Dokezo : STERLING HAUAWI.
yani B kaingiajeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee INTERPOL!Hahha Days of our lives, nakuona muhenga mwenzangu.
Ila kwani timu Dee huo ushindi kawapa nani? Mbona mnashangilia sana! Kwanza story haijaisha kwasababu Alshababu hafungwi ovyo ovyo hivyo [emoji1] ila big up kwa mwanakamati wa roho mbaya Lara1 maana hii story was unpredictable kabisa! How in the name of hell did B connected to interpol!
Nina wasiwasi na Samaritan huyu ndo mshukiwa namba 1Ndugu wasomaji wenzangu, kuna mtu kamnunua fanani ili abadili matokeo kama JECHA!
hatuhami team D!
- KANA -
Ndugu wasomaji wenzangu, kuna mtu kamnunua fanani ili abadili matokeo kama JECHA!
hatuhami team D!
- KANA -
Umemnunua fanani!B keshaonja mambo na amempenda Sally ile kiukweliukweli na ana mapenzi ya sayari ya Juniper kama sio Zebaki kwa Huddah. Anajua fika kumuweka Shabab mikononi mwa polisi aende kwa Trump Gwantanamo ni kuhatarisha penzi lake changa kwa Sally na Huddah! Atakua mtiifu kwa interpol au kutii sauti ya Ngoswe?
Am back
Yaani umemnunua fanani kabisaaa maana hii u-turn ni kibokoUzuri hizo ni tuhuma tu, zinaweza kuwa kweli au uongo ila bado haibadilishi mimi ni team msomali mtiifu.
Sasa Lara sterling wa story ni nani? Sally,Msomali au Dee?
Kwa kweli ef 10 haijatoka kirahisi.Ila ungemuelezea baunsa kidogo mwanzo na historia yake na sally atleast tungeweza kumfikiria ila hukumwelezea.Please ukumbuke na kutuelezea ilikuaje kuaje akawa detective J Rolings
Kwanza ndugu wasomaji ntaendelea kubaki team Msomali hadi hapo kombora la Korea Kaskazini litakapotusambaratisha. Hii sasa naona imeshakua vita kamili, inahitaji mundu, sime, mishale, bisbis, viwembe, vifaru, nyuklia na aina zote za marungu.
Title inasema Glory to God, ubuyu unaishaje kizembezembeeeeeee. Who on earth is B? Akimpeleka Msomali kwenye vyombo husika ajue kabisaa anafungaisha virago aende zake. Na mtandao wa shabab watamuua tu hatabaki salama.
[emoji78] [emoji78] [emoji78]Tunajua kuna figisu figisu znapigwa chini ya carpet ili msomali apewe kombe!
Ila hatuhami team Dee Pablo Escobar!
[emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41]
- KANA -
Naona hapa unataka kuwabadilishia gia angani team Dee uwape ushindi wasomali. Mimi ni team B na team baba watatu. M
By the way hakuna movie inayoisha wabaya wakashinda, Alshababu wakishinda basi script lazima ifungiwe na BASATA [emoji2]
Yaani umemnunua fanani kabisaaa maana hii u-turn ni kiboko