Weekend Story! (Diaspora Vs Struggling Model)

Weekend Story! (Diaspora Vs Struggling Model)

Lara1 looks like ya typing buddy..

Isn't it??


If it is the case then..
I will leave the page unattended, that way I won't need to browse many pages later and or other titles on the forum!
 
Daaah...part 2 lara1,maana jicho limenitoka km fundi saa naisubiri
 
Refreshhhhhh!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
"Get busy living, or get busy dying."
Sasa kumshughulikia K, kwangu ilikuwa ishu ndogo sanaa, ukizingatia pamoja na yooote, K likuwa wakuja katoka kanda ya ziwa huko, hata chuo kasomea mkoani. Siku hio nikatoka kwangu saa 10 usiku. Saa kumi na moja na roboniko mle ndani. Nikmpita mlinzi akaguna tu. nikaenda chooni, nikaanza kuandika sasa kwenye mlango wa choo cha wanawake. Kuna mlango mkubwa afu kuna milango midogo. Mmoja wa ile midogo.

"Enyi wanawake wenzangu K flani, lani majina yote matatu, ana cheo flani, kampuni flani, ni malaya mbwa, ana UKIMWI, demu wake wa UDOM yuko hoi kitandani mda huu. Ashatembea na wengi wenu mnajijua. Sasa anausambaza UKIMWI wake, na humu tuna tabia ya kupokezana mabwana.Ataetembea na K list itatoka chooni kila wiki nae muathirika vile vile. Kazi njema." Nikaondoka kabisaaa maeneo ya ofisi. Nikaja kurudi saa 3.

Baadae hali ikawa si shwari, watu wanaongozana chooni. Hakuna anaesema kitu, si mnajua watu ofisini wanavopenda drama? Watu wananongonezana tuuuuuu. Mpaka nikaj kuambiwa umesikia ya chooni shoga? Nikasema sijasikia. Naambiwaaaa. Kila mtu akawa very cold kwa K. Akaja Lara , mimi namchekea tu, niambie model wangu. Nimezushiwa nina UKIMWI, can you imagine, nasika nimeandikwa chooni, anatukanaaaa. Nikamwambia usidate kazini. Ndo tatizo la kudate kazini. Mkigombana mengine kazi haziendi kabisaaaa. Wewe unaamini nina UKIMWI. Nikamwambia coz sijakupima huenda unao kweli, but all in all we friends buddy, hata ukiwa nao we still friends.

Sasa kutokana na kutengwa na wengi ikawa sasa kawa rafiki yangu kichiziiii. Mpaka boss anamind flani mbona unashinda sanaa idara flani kuna nini hukooooo? Sasa afanyaje kila mtu anaogopa kuwekwa kwenye list ya chooni. Hahahahaaa! Ndo kunipasha kwamba Le Boss yuko mjini na mdada kapatikanaaaa. Nikaonyeshwa picha. Anasoma SEKONDARIIII! Holly cow!

Nikamuuliza kampataje? Akasema Le Big Boss ndo alimpa namba mapigia ampangeee, kapewa hio namba na MKUU WA MKOA flani, rafiki yake wa karibu, anadai ashapiga nae mande huyo mdada yuko vizuri mnooo but a bit expensive na ana masharti sanaaa. Mmmmmmmmhhh! Nikasema Dar kubwaaaa hii kumbe. Nikamuuliza tu how much does she charge akasema 2 million/night! Mmmmmhhhh! Haayayaaaaaa!

Jumatatu akaniambia Le boss bado yupo mjini, he wouldnt want to share a girl again. Msichana mwenyewe alilewaaaa, hana loloteeeee. Kajibwagaaa tu usiku kuchaaaa. Hizo 2 million just for nothing! Hamnaa kitu kabisaaaa. Nikamuuliza how old is your Friend? Akanijibu tu 40 something. Hapo K is just in mid 20s could be younger. Nikawa namdadisi tu how did you become frinds with this friend of yours. Akaniambia niliumwaga nikalazwa, sikuwa na ndugu so akawa ananiuguza hospitali. Mmmmmmh! Nikawa nataka kujua details za thir odd friendship

Akawa ananiambia huyo baba anafanya kitengo nyeti sanaaa serikalini, kaoa, ana watoto na mkewe anamjua. Mmmmmmmh! Basi nikawa napeleza kidogo kidogo shida yangu nilihis either 1 of them is gay, or something manake huo urafiki wao ulikuwa wa ajabu ajabu. K nilikwa 200% is not gay but huyo mbaba mwingine ndo nikawa sin imani nae sanaaa. Lakini K mtu wa kupanic ikabidi tu nimchunguze taratiiiibuuuuu.

Akawa kaniambia kuna this party this weekend Le Boss atakuwepo, mayor nae atakuwepo, mbunge flani atakuwepo, most of government people walikuwepo wa mjini hawa hawa unaowasikia kwenye taarifa ya habari, njoo ukitaka. Mmmmmmh! Nikawa nataka kumuona huyo Le Boss but huo mkusanyiko haukunipa akili kabisaaa. Nikamwambia I pass, but niletee ubuyu Mayor ataondoka na nini maana najua Demu wake wa mitoko ni Beyonce siku zote, ila nijulishe tu, na Mh flani hakikisha unajua hio party atatoka na nani. Akaniambia unamtaka nini huyo mbunge! Sikusomiii kabisaaa, kwanini umuulizie huyo? Nikamwambia tulia weweeeee.

Akanitumia whats up party imenogaaaa balaaaaaa, mambo ni dhambi ndani dhambi utadhani shetani anaishi humu kwenye hili party, mpaka najifinyaaa kucheki isije kuwa nishakufa niko jehanamu! Hahahaaaaa! Sasa hapa mimi na Le Boss tuna wanawake 2 mmoja Bonge, ana mikalioooo, mwingine petit, washatuelewa kabisaaaa, tuko nao page mojaaaa sasa nimelewa sijui nilale na yupi. Nashindwa kuchagua. Nimelewa nashindwa kufanya maamuzi nimchukue Bonge au Miss? Nisaidie hilo tu.

Tobaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!


ITAENDELEA SAA 5
 
"How do you like them apples?"

Nikawa sijamjibu. Manake nikajua ashapendeza kichwani, chochote nitachomwambia atakifanyaaaaa. Kesho ndo kuja ofisini sanaa kuninyambaaa, nyambaaaaa. Huna maana, ndo nini kunichunia mimi nakuuliza maswala ya maana unaleta pozi. Nikamuuliza Mayor aliondok na nani? Nani zaidi ya Beyonce? Beyonce mwanamke anakaba hatariiii, ndo maana chuo kimemshindaa, mpaka mke wa meyor anamjua.

Sasa jana we si umejifanya Daz mama kuuchunaaa? Huwezi amini kilichotokeaaaaa! Guess what? Mmmmh! Nikamwambia kitachonishangaza labd kama mliwaacha wale watu bila kuwala, simba kususia steki ndo itakuwa mpyaaa. Hahahahaaa! Akasema dhubutuuuuuuuu! Tumewala vizuriiiiii.

Kilichotokea tulishindwa kuamua nani alale na nani? Mimi nilimtaka petit lakini nikawaza yule atamfaidi bonge, nikghairi, na yeye hivo hivo, so mwisho wa siku tukaamua kuchukua Chumba kimoja! Tobaaaaaaaaaaaaa! Roho ikanistukaaa. Nikajua tu kifuatacho ITV ni balaaaaa. Nikawa nimekaa standby kumsikiliza hata mate siwezi. Basi mimi naanza na petit, yeye kaanza na bonge, piga mechiiiii na miss weeee, badae tuka SWAP mimi nikaenda kwa bonge, yeye akaja kwa miss.Nikawaza tu Eeeeeeeeeeeeeeeewwwww! Ndo mwendo huo huo piga Bongeeee, ukichoka unakuja kupumzika kwa Petit. Ni nomaaaa, ni balaaaaa, ni kubwa kulikooooo! Yani kwasababu wewe sio mwanaume lakini hii swapping nakuhakikisha ni kitu moja matata sanaaaaa. Yaani badae unashindwa kuelewa ladha ipi ni ipi maana zimechanganyikaaaaa. Mkubwaaaaa! I should definately do it again.

Nikasema hapa mtu sinaaa, nina kikopo tu cha binadamu! Looooohhhhhh! Na Le Boss ikawa ndo kaondoka mjini. Akabaki mwenyewe sasa. Ikaanza tabia ya kunikopa kopa kila siku. Nikawa nashangaaa, huyu K aliekuwa anakunywa na ma mayor , wakubwa wa polisi, iweje anikope hela mbuziii kama 50,000 laki, lakini ananilipa. Akaanza hali mchana mda mwengine. Nikawa simsomi.

Nikazidi kumchimba kuhusu Le Boss ni nani, nikawa namjua ni kigogo wa serikali but uhusiano wao nikawa bado sijapa connection. Angekuwa shoga na K ni basha wake kama navohisi si angekuwa ana mlea, anamuhonga na nini. Kwanini K asipokuwepo le boss mjini aishi maisha mabaya kiasi hikoooo? Nikamdadisi tu. K wewe yule baba Le boss imekuwaje muwe mabeste? Afu mtu ana mihela vile? Kimoyo moyo najisemea afu hakupi hata 100 kasoro ikiwa kwa kufanyia umaluuni?

Ndo kunipa mkanda sasa Le Boss ni nani, na nini connection yao. Le boss ni kigogo wa serikalini afu ni mtu wa kanisani vibaya mnoooo. Anajuana mpaka na Askofu, askofu kwenda kwke ni kitu cha kawaida kabisaa. Yaani ni muumini anaeaminika. Na walifahamiana alimpeleka mkewe sehemu K aliokuwa anafanya kabla. Baadae ndo akmwambia vitu avipeleke nymbani. Ndo kukaribisha uwe unakuja weekend, we have a nice pool na nini na mimi hapa mji huu ni mgeni sina company. K hakumpatiliza.

Siku hio ndo kampigia come over, my wife is not arround im throuwing a party with my old boring friends but there is a free liquor. K akamuuliza should i bring entertainment to the party? Akamuuliza entertainment as to music au? Akamwambia No, the girls! Basi yule Le Boss akamjibu tu okay! Ndo kwenda na visichana vya UDOM sasa, maana alikuwa bado chuo.

Wale wazee wengine ndo kumuuliza Le Boss who is this guy? He should join us. Some nice girls he brough here. We could do this more like our dirty little secret and a fraternity. Sasa K kusifiwa, na kupewa mkwanja ndo akawa anapush the limits, kila siku analeta jipya kwenye hio fratenity. Ndo alivoumwa fratenity ikamuuguzaga

K ndo mkurugenzi wa wizara ya starehe kwenye hio fratenity. Sasa katika refrence kigogo anawapa vigogo wenzie refrence ya K. Na hii huduma ya ndugu K in a ceratin class of people and economy is very vital. Tatizo ni huduma ya msimuuuu. Msimu ukiwa juu anapata hela hatari, wakiwa busy na mambo mengine anafulia kama sie tu.

Akawa kaja intern mmoja katoka Malasia, basi tu from day 1, she screamed BAD NEWS! Katoga pua, ana tattoo mguuni, na shingoni, na alivokuja tu akawa so into K. Watu wakamwambia K ana ukimwi, mbishiii kama shipa kila saa yupo idara yetu. Kila mda wa kula anaenda na K. Kuna mtu akasema K anamkaza huyu dada tukawa tunabishaaa. Na mwenyewe anabishaaaa.

K usafiri wake mkubwa ana boda boda yake ya boxer. Ndo mmbea mmoja kututonya jana nimekutana na K na intern Migo wameharibikiwa boda boda. Wanaonesha kabisaaa wametoka kulana! Khahaaaaaaaaaaaaaaaa!

INAENDELEA SAA 6.
 
Back
Top Bottom