nice story nimeianza leo mpaka nimekufikia #teamfreddy#....usiache kunitag new story si unajua huku tunachungulia kwa msimuJamani ndo naanza kuandika hapa, kesho mapinduzi, sasa kama vipi mkae mkao wa kudhubutu kukutwa na Freddy!
Haha nilijua tu utanipa kibomu. Basi mama, nisije sema umebadili gia angani bure
Mmh me nawish waoane tu na Freddy, yani treatment zote alizopewa na papito afu ambwage, itaumaaa. Kweli wanaume sio ndugu zetu hahaHamna bana lara akibadilisha abadilishe tu mungu anamuona Z was so desperate 5 years holaaa mpaka akahaha at the end of the day mungu kamshika mwili mzima si mkono tu sasa ka Anna nako tukatilie imani tu
Mmh me nawish waoane tu na Freddy, yani treatment zote alizopewa na papito afu ambwage, itaumaaa. Kweli wanaume sio ndugu zetu haha
nipo macho naisubiri lolKuna episode inakuja sa 7 usiku nipo in mood ya kuandika
hahah, bad boys will always win ndio imeumbwa hivyo tufanyaje sasaMiiii bwana nampenda uncle Freddy ivo ivo...... Ata kama ni kitombi
Hahahaaaa..... Nimeshikwa pabaya huku nakumisi kweli. Ila huyu mwanamke sina hamu naye. Kuna siku nililala saa 9. Kesho sikukuu nitakuja.Teh naanza kutabiri. Freddy hana mke wala nini, kuna surprise anamuandalia Anna haha
NANDERA ukiwa free my dear, upite pande hizi kukesha lol
kubwa la maadui..saa saba na dakika tatu sasaKuna episode inakuja sa 7 usiku nipo in mood ya kuandika
kubwa la maadui..saa saba na dakika tatu sasa
Ishafika na dakika 10 sasa ndonini kutufanya hivi watu wazima wengine hatuna kampani hapa tumelala pekeetu lara nae anatupiga doro duh mi namsusia bana ntasoma kesho kasusiwa frede iwe lara!! khakhaakhaa!!!!
Mie naendelea kupata maujuzi ya Freddy ingawa inaonekana mkwanja kanizidiii
Haa mbona tunaenda sambamba saivi chezea mwendokasi wewe nishawakamataa sema mi nilisoma mwisho jumapili ilikua sijui page ya 4 vile sasa hapa kati mambo mengi siunajua tena haa Leo nalog in kitu page ya 33 huko ishanoga hatareeeeeeeee walaa sikuwa na presha nikaendelea nilipoishia taratiiiibu kama uncle fredy vile saivi tunaenda sambamba
Hahahaaaa!! Fredy alisusiwa mwili, we umemsusia nini?Ishafika na dakika 10 sasa ndonini kutufanya hivi watu wazima wengine hatuna kampani hapa tumelala pekeetu lara nae anatupiga doro duh mi namsusia bana ntasoma kesho kasusiwa frede iwe lara!! khakhaakhaa!!!!
Ni kweli mwanaume akikosa pesa unamgundua tu anavyokuwa mpole, yaani sisi baba alikuwa akiwa hana pesa tunamjua tu, basi tutajipendekeza kumfurahisha na mastory mengiii.Ndio uzuri wa hizi story, sio tu unapata maujuzi, inabidi zikupe hasira za kusaka noti pia. Mwanaume kukosa pesa fedheha sana, wife ananielewa, nikiwa sina nakua mnyonge kweli hata nikijitahidi kujichangamsha kumbe anajua tu hapa Leo jamaa hana kitu