Weekend story! Dare the devil and face your own ghosts!

Jamani Story Saa 2 usiku, kuna redandancu huku kazini kwangu wameweka hela ndefu uondoke mwenyewe, au ubaki ucheze kamari. Sasa ndo nahangaika TUICO, kwa Recruitment agent wangu, NSSF, Lawyer. Saa 2 ndo nitapata mda.
Dooh pole mama, sikuona taarifa, unakumbuka haka kamsemo kako ,*life is gamble, win some loose some,
 
Aisee kwakwel ulikuwa na haki ya kushinda gym... teh!
Ila nashukuru alinipa hasira mpaka leo mazoezi ni sehemu maisha yangu hata baada ya kuwa mother of two. Ukimpiga teke chura.....
 
Ila nashukuru alinipa hasira mpaka leo mazoezi ni sehemu maisha yangu hata baada ya kuwa mother of two. Ukimpiga teke chura.....
Oo my chiii....! Cjabahatika bdo kpta mtoto cjui ntanenepa teh!
 
Jamani Story Saa 2 usiku, kuna redandancu huku kazini kwangu wameweka hela ndefu uondoke mwenyewe, au ubaki ucheze kamari. Sasa ndo nahangaika TUICO, kwa Recruitment agent wangu, NSSF, Lawyer. Saa 2 ndo nitapata mda.
Dada lara mbona hata kazin kw mume wangu kimehappen kitu kama chako mhhhh.....
 
Hahaha Tutaolewa tu na ubonge wetu lol. Mtu akikupendea ubonge mbona haina shida, tatizo hawa wanaokupendea ulivyo slim, ukinenepa tu kidogo ni kesi
Hata ukipendwa ukiwa bonge, ukipungua sana maneno 🙂 🙂!!!

Kwenye miogo usikose....
 
Inawezekana akawa mfanyakaz mwenzie
inabid ufanye ku pm
Kiukweli mr.alinipigia simu muda mfup baada ya kutoka kwa dada lara khaaaa nilishtuka sana ....nikamuuliza saiv unafanyaje maelekezo alonipa kiukweli yameniweka njia panda ...nataman hata kumjua huyu lara huenda n mfanyakaz mwenzie na mr.mana huko ofisin.kwa mr.kumenuka mbaya kabisa
 
Op

Oparesheni imeisha fanyika ?pole dada yangu haya maneno ya kila zama na kitabu chake yana ukweli mkubwa.
Hahaaaa! Badooo! Sahivi la mgambo tu, ukiomba mwenyewe kutumbuliwa jipu jifungu Nene hilo ukingoja utumbuliwe kafungu cha mchichaa. MAAMUZI MAGUMU NDO HAYA.
 
Hahaaaa! Badooo! Sahivi la mgambo tu, ukiomba mwenyewe kutumbuliwa jipu jifungu Nene hilo ukingoja utumbuliwe kafungu cha mchichaa. MAAMUZI MAGUMU NDO HAYA.
Ukiwa na akili ya kijasiliamali unaomba kupunguzwa tu.....Kuna watu wanahangaika kupata mitaji wengine mitaji inajileta wanambwela tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…