carbamazepine
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 46,569
- 285,616
Watabiri nawaona tu,ngojeni fanani awale chuma mboga ya ubongo








Nilikuwa nasubiri story iishe nianze kukutafutaKLM ondoa shaka. Mambaaaa wameshatulia sasa.
Chini kutamuHahaha Aisee Sam kapatikana " tatizo lake anapenda Sana " chini
Daah!! Chini sio aisee " ukipaendekeza unapoteaChini kutamu
Hapa story tuu!Mpaka Mda huu AMARULA sijapata! So story Hamnaaa! Maple mapema wanangu Eeeh, ama sivo muamala usome niweke plot twist za hatari
Lara shusha mzigo nakuahidi ntakupa iyo amarula samaki samaki chagua siku ijumaa mpaka jpili ila ela situmi
Utamuharibia fanani ratiba ya kudanga 4040 mtumie bwana atushushie vitu
Fanani mjanja mjanja, ratiba zake mpaka pepo liseme andika ndo anaandika. Juzi nilianza kusoma kuna story hakuimalizia, iliishia pazuri sana. Hii kuisha ni majaliwa pia.
Hahahahhaaa.. tumuombee fanani asituache na utamu katikati. Inshallah ataimaliza.
Yeah tushukuru hata kwa hiki kidogo anachotupatia.Ila anajua sana, hata hiki anachotoa tunatakiwa kushukuru hivyohivyo.
BTW: Hiyo avatar nimeielewa kiasi.
Nilojua hizi anga huwezi pitaI was here....