Weekend story! BEN 10

Weekend story! BEN 10

Nyie mnajitia bahili wa Amarula! Sasa cha moto mtakiona! Mkisubiria Mkinga au lawyer wanunue Amarula hamna bahati! Yaani Hamnaa! Mkitaka story kwa wakati ni Amarula moja tu! Tena anatuma mmoja wenu 32,000 tu! Kwenda namba


BACK TO TOPIC!

Mnajua toka nimepata taarifa Linda kanywa sumu, roho yangu ilikataaa, katu katu! Mnaweza kukubali nyinyi ndugu wasomaji ila sio mimi ndugu msomaji! Linda namjuaaa sanaa! Tena mno mno! If she had anything was her will to live! Sio mtu wa kunywa sumu! Narudia sio mtu wa kunywa sumu tena sumu cheap! She had style in everything! Even if she wanted to kill herself she would have gone for the gun perharps! She loved guns! Aliwahi kuniambia siku nikitaka kujiua nitajipiga ya kichwa! Na hata kama kabadili mawazo kaamua sumu she would have purchased the most elegant expensive poison inayopatikana duniani! Kama bongo hamna angeagiza nje ya nchi!


She taking her life like that sikukubali! Mi namjua huyu ana roho ngumu mnoo mnoo! Naweza sema mi namjua kuliko watu wote! And her death smelled on thing FOUL PLAY! Nina uhakika Linda haja comitt suicide ila kauwawa! Linda hata angeshindwa maisha vipi willingness yake ya kuja kunikomoa isingemruhusu kurejesha jezi kireja reja vile kwa kocha! Mnaweza kudhani Linda kufanya hivo ningefurahi na kushukuru Mungu ila sio hata kidogo! Ndo kwanza woga umenizidi! Kama kampoteza Linda ki MAFIA hivo mtu wa caliber ile tena bila kuacha hata chembe ya ushahidi! And some how i had a feeling this mudder had a connection to me!

Baada tu ya lile tukio tu nikaajiri mpelelezi wa kujitegemea! Anipelelezee ilikiwaje na aunganishe dots! Ikaonekana ushahidi mkubwa upo kwa Kyle maana ndo alikuwa anaishi nae mpaka umauti kumkuta! na Kyle toka nimzingue siku ile na maswali ya Hans sikutegemea support yake! Ila nilimpigia!

Nilipiga namba yake mda sana ikawa haipatikani! Siku tu kama bahati nikaikuta hewani, Nikamwa!bia tu kwamba kuna possibility ya mudder hapa sio suicide! Akasema Sam ushaanza kuwa panaroid! Mudder ipi? Nani amchukie Linda? Hakuwa hata na shilingi 10 tulikiwa tunadanga wote 4040! Wewe guilty concious inakutafuna! Nikamwamvia hapana naangalia tu oddsnaona hazijakaa sawa! Akasema hamna Sam! Linda is gone! She is not comming back! Try to accept those facts. Ni maisha tu Sam mwenyewe niko few millimeters na kunywa sumu! Unaweza sikia na mie bye bye!

Sikuwa convised! Huku na huku mpelezi akaja kugundua Linda alikiwa anamuona psychatrist aka Shrink kwa siri sana! Alikuwa regency huyu bwana! Kumpata haikiwa rahisina kumfanya a devulge information za patient wake haikuwa rahisi kabisa! Ikabidi mimi nijisajili clinic yake kama mgonjwa wa akili! Nikampanga sanaa kwamba nauona mzimu wa Linda ambe ni x girlfriend wangu! Huku na huku akajikuta anachanganya madesa akaniambia hata yeye hafikirii Linda kajiua! Mpaka misho Linda was convised she was could get a new identity! She was certain about this! Aka ana hisi Linda faked her pwn deathto geta new identity and return to her old life!

Ndo nikazidikuamini ku a kitu kikubwa hapa kimejificha! Nikamwamvia shrink, Linda died bankrupt! Hana hata 100alikuwa ana danga 4040! Akasema siokweli! Kudanga ni uchizi wake huo wa kuamini anaweza kuacha maisha yakeya zamani na kupata mapya! Linda amefariki ameacha mali nyingi sanaa! Kama siamini nimuulize mwanasheria wake aliemtoa jela! Ndo mwanasheria wakempaka mwisho! Niloshangaaa sanaaa! Shrink alikuwa ananiambia haya ili kuniokoa nisjiue! Alishampenda Linda afu mambo yakawa ndio sio!

Bikamtafuta lawyer wake! Alithibitisha Li da kaacha mali nyingi sana! Na nyingi katiya hizokamuachoa baba yake mzazi na chachekamuachia mtu anaitwa Kyle! na mwanae Linda! Anawatafuta sanaa! Amemtafuta mnoo bila mafanikio! Nikamwambia namba yake ninayo! Sahivi in a patikana! Nikamuuliza mpaka mwishokama Linda alikuwa na mpango wa kujiua? Akasema hapana! Kama angepanga kujiuaangekuja kubadilisha wosia! Ila mara ya mwisho kubadilisha wosia ni alipokuwa jela kabla ya huku yake!

Nilimtafuta Kyle nikamuunganisha na mwanasheria wao, akapatiwa Appartment, shamba la heka 100 na frame kariakoo! Hivi marehemu alimua dikia Linda mtoto wa Kyle mpaka atapofikisha miaka 18! Hakuamini alilia mno mno! Akasema yani Linda ana nitunza hata baada ya kuondoka duniani!

Nikazidi kumuaminisha Kylekama Linda hajafeli maisha basi ile note sio yake! Akasema nimuandiko wake lakini! Naujua hata usingizini! Nikamwambia may e kalazimishwa aandike! Akasema pengine! Pengine tinakuza mambo haya! Mara nibadilikie Sam umemnyanyasa sana Linda akiwa hai, muache apumzike kwa amani!

Nikaja kugundia Linda was also abusing drugs kwa siri mnooo! Na supplier wake mkubwa alikuwa Hans! Nikamface Hans kwa mara ya kwanza toka waniambie na Kyle wanapendana! Hans alikuwa shakomaa sasa sio kitoto tena! Ana roho ngumi balaa! Akawa hataki kutoa ushirokiano kwangu, nikamwa!bia basi kama hivo namwambia Kyle kwamba ulikiwa unamuuzia Linda unga! Akaamua kutoa ushirokiano!

Kikubwa alochodai ni kwamba Linda mwishoni alidataa! Maana alikiwa anaagiza dozi nene na alikuwa anaivuta fasta fasta! Kama kuna kitu kilikiwa kinamsumbua sanaaa! Sikuweza kupata issue yoyote ya maana toka owa Hans!

Mpelezi wangu nae alifeli maana ile nyumba wa washa hama anakaa mtu mwingine, na kwenye file lake police washaandika suicide! Kyle nae hakiwa msaada wowote! Nikajua tu noshwekwa wanted! Mjini hapa! Nilikata tamaa kabisaa! Maana kweli kauwawa ila ushahidi hamna kabisaa!

Nili imarisha ulinzi kabisaaa! Nikaongeza ulinzi kwangu balaa! Mpaka bar niliongeza ulinzi! Ulipitamwezi wa utulivu na amani kabisaa! Mpaka nikanza kuamini nimekuwa panaroid kweli! Huku na huku siku hio narudi nakuta mbwa wote wamekufa! Nikajua tayari! Kuwapima wamepewa simu!

Sikutaka kungoja nikampigia mjeda! Kikibwa ni woga tu ulinikumba ndugu msomaji! Nilichanganyikiwa! Nikajua yule na ma combact skills yake ataniokoa! Nikamwambia tu I miss you! Hapo mda sanaa hatujawasiliana tangu kipindi cha kesi! Akasea mi nipo! Nikamwambia uje basi bar! Akasema poa!

Alivokuja kikubwa nilimwa!bia tu ukweli Linda kauwawa and my life is at risk! Akaniambia Sam unakuwa panaroid sababu ya guilty! Linda wanted to mudder you! Hutakiwi kuwa guilty! Hizp ni illusions, you are seeing things cause you made those things up! Mi niko kozi, ill protect you!

Nikamshukuru kwa wema wake! Ila i was still panaroid naota usiku! Mara namuona annitokea! Maisha yakawa magumu sanaaa! Mjeda akasema inabidi tutafute mtaalamu Sangoma afanye dawa asikutokee tena! Mimi sio mtu wa shirki ila ikabidi nikubali tu! Nifanyaje sasa ndugu msomaji!

Haikusaidia kitu kabisaa! Ikabidi nikimbilie kanisani! Sio kwamba naamini sana mambo ya kanisani ila i was desparate! Na kufika tu mchungaji wakati wa kutoa unabiii! Akaniita! Akaniambia naona roho ya umauti kubwa sanaaa inakuzunguka! Kama alijuaaa! Kidogo nimwambie tawireee baba tawireeee! Akanifanyia maombi mazito pale! Kidogo nikaanza kupata amani!

At this point i re evaluated my life, nikaona maisha nayp ishi sioo sioo! Nilihitajika kuoa, kutulia na kuwa na familia! Huku kuruka ruka nitakufa kweli ndugu msomaji! Nikawaza nitafanya nini nikakosa jibu! Maanake maosha yangu kidogo yalikuwa mtihani!

Ndugu msomaji pamoja na kukaa na Kyle miaka 10, hio miaka kumi nilizaa na wanawake wawilo tofauti! So nina watoto wa 2 tayari! Na kuzaa kwenyewe ni kama bahati mbaya ila kitanda hakizai haramu! Na wanawake wote nilikuwa nawapenda balaaa, mpaka kujiiba kwa Kyle kuzaa nao, the love was deep! Ila kama ilivokuwa wa kwanza hata wa pili wakisha zaa tu baaaaas! Siwataki tena! Kama pepo ndp limemtoka mtu! Najilaumuuu na sioni kwanini kuwa na mtu kama yule! Kama nimebugi step!

Ukute Kyle nilodumu nae cause hakunizalia! Or maybe ndo lifetime woman wangu! Cause pamoja na yote i always came back to her! Huu uha isi niliomfanyia Linda ni kawaida yangu! Kuchepuka ni asili yangu! Niko na Kyle nachuka na Linda! Ilimradi!

Kylenae sasa hivi file lake lilikuwa chafu sanaa! Afu mimi umalaya nifanye mimi akifanya mwanamke nashikwa na kinyaa kibaya sana! Hapo ashazaa na Hans, lile toto lipo na kama nikikuoa inabidi nililee mimi! Wanangu wanateseka huko kwa mama zao afu nikae nalea toto la mtu! Thubutuiuuuui! Pia ashakaa unyumba na Ghost kabla Linda hajamuachia urithi! Pia Lawyer wao yule nae siwaelewi elewi Afu kuna mwarabu wa shelli nishamuona nae mara kama 3 anadai wanafanya wote viashara ila uso wake sio wa kibiashara kabisaaa! Amekaa kimaluuni maluuni! Kiukweli huyu sio mke! Kabisaaa! Ni pressure na kisukari!

Pia nikawaza huenda mimi ndo bimesababisha awe hivo! Labda tungekuwa qote haya yote yasingetokea! Ila hapana yeye ndo aliniacha mimi, sasa hapo mi nakuwaje wa kulaumiwa ndu msomaji? Nikawaza labda nichague kati ya baby mamas wangu wa zamani, hamna hata mmoja biliekuwa na stimu nae kabisaa kabisaaa!

Nikawaza au mjeda, ila hapana! Ile nayo ni pressure na sukari part 2! Kwanza ni mbabe, pili simpendi tu bila sababu! Tatu sijamsamehe kutoa ushahidi upande wa Linda not that nilitaka Linda anyongwe ila nikajua ni mtu asie aminika kabisaa!

Nikakata shauri nitafute tu mwanamke mwingine mpya nimuoe! Kutafuta wanawake wa kuwafanya sio kazi kabisaa ila kutafuta mke ni kazi kweli kweli! Ndo maana mda mwingine mtu anawapa hii kazi wazazi wake tu ajue moja, watakaemleta ndo huyo huyo baaaas! Ila niliendelea kutafuta!

Huku na huku nikampata mwanamke kama Linda! Mpaka nikaanza kumuogopa kujua labda Linda karudi tena kuwa mzimu! Ka ma nisongekuwa nimempata kupitia rafiki yangu na hamjui toka kitambo ningejua ni mzimu wake!

Nae mzuriiii hivo hivo! Ana akili nyingi hivo hivo! Ana biashara zake kubwa kubwa! Kiukweli nilimpenda sanaaa! Nikamwambia mjeda nimepona sasa rudi kwako! Alisikitika sanaaa ila akaniambia Sam nakupenda ila wewe hunipendi! Sawa lakini!

Kikubwa huyu mwanamke nimewaambia ni smart, anataka kupajua kwangu, anataka kuwekwa DP, anakuja bar pale kuchunga mzigo! Akanitambulisha kwao na mimi nikamta!bulisha kwetu! Rukawa official! I was moving fast ndugu msomaji!

Ndugu msomaji amini usiamini nilishanunua hii sehemu ya bar, maana mwenye nyumba alifariki akaacha mtoto mmoja marekani! Akaniamvia hana mpango wa kurudi bongo so nimlipe hii nyumba kidogo kidogo! Na deni nikawa nimemaliza, mwezi huo huo!

Nikawa nimekaa na mtarajiwa wangu sasa ambae ni Mary akanishauri tujenge kwanza mnara! Huu mnara utakuwa kama stoo pia kuwekea brand yetu! Huo mnara ni kama ghorofa 3! Ila ukubwa wake ni kama upana wa chumba! Na ni ngazi kupandisha juu tu!

Nikatafuta contractor! Kampuni akaja mdada nyoko sanaaa kusimamia hio project! Mtoto mdogo tu nadhani fresh from school! Daaah! Nikajua ugonjwa wangu siponiiii! Nikaanza kumnyapia nyapia kama masihara! Ugumu Mary ana banaaa! Mda wote yuko hapo bar ila mzee baba sikushindwa!

Huyu Engineer Lona toto la kimbulu lilikuwa limekolea kwangu lenyewe tu! Ikawa kama kumsukuma mlevi! Tukaanza kimya kimya ghafla mara tume kiss site! Hivo yaani! Mechi za kimya kimya!

Mnara ulipo ni mbali kidogo na bar na hakuna umeme bado so usiku ni giza totoro! Siku hio Lona hakuondoka, na mimi kila nikpinga mipango ya shetani ya kumla nafeliii! Roho inanitoka! Nikiwaza namlaje Mary asistukee, nikaona ni mnara tu hamna namna nyingine! Nikampanga kabisaaa tukafanyane kwenye mnara akajaaa!

Style yangu ile ile mtu anainama fast fasta tunamaliza mchezooo! Ama nene! Toto la kimbulu zuri jamaniii! Jeupeee! Mpaka gizani naliona! Nipo kwenye round ya pili Mary huyu hapa! Daaaaah! Hasira zake akakimbilia juu! Ni kamwambia Lona kimbia hapa usigeuke nyuma yashakuwa makubwa! Akasahau mpaka chupi yake! Babahati nikaiweka mfukoni!

Nikamfata Mary juu! Nikakuta kasimama juu kabisaa anataka kujitupa chini! Ofcourse nilijua anatishia maana mda wote mpaka nimepanda ngazi baada ya kumtoa Lona bado tu hajajitupa anangoja nini sasa? Sipendagi ujinga! Ila nikamwomba msamaha! Anafoka Sam unataka kunidhalilisha! Vikao vimeanza kwetu! Unataka kunivua nguo? Namwambia hapa mi nimedokoa tu, uroho nothing serious! Sasa akawa kasimama pembezoni kabisaa mwa ukuta! Nikawaza huyu tukitoka hapa lazima nimchape makofiii!

Nikaendelea kumbembeleza yaisheee! Wapiii! Anakomaa bora tu nife nitaweka wapi sura yangu! Namuuliza mama yako umemuaga lakini! Bora kama kuruka mpigie simu kwanza! Analia kapaniki! Mara Paaaap kikatokea kishindo kikubwa sana kwa nyuma yetu! Kabla sijageuka kuangalia ni nini Mary kateguka baada ya mshtuko wa kile kishindo chini chaliii!Toka ghorofa ya tatu!

Nilijua nimekwishaaaa! NiIikaa pale lisaa lizima najishauri au niende Hongkong fastaa maana ni visa free wakiukuta huu msala nipo long gone! Ila nikasema kwani nimeua? Hapana! Ni ajali! Nikawapigia wafanyakazi wangu wakaja! Ilikuwa msiba mzitooo!

Wakaja polisi wakanibeba! Na kuondoka na mwili! Nilijua itakuwa issue kubwa ila sio sana! Weeeeeee! Kumbe wakwe zangu wana pesa ndefuuu! Wakakomaa nimemuua mtoto wao kwa pesa! Waka over rule posibility ya suicide na kutaka mudder investigation! Waka hire wapelezi wa kujitegemea! Nilikaa ndani ndugu msomaji! Nikafunguliwa kesi ya mauaji kwamba nilimsukuma!

Na kesi ilikaa vibaya sanaa sababu kumbe Mary ana life insurance kubwa mnoo mno! Akawa kama wiki mbili nyuma tulivoanza vikao akaniweka mimi kama benefactor akipatwa na chochote! Kosa! Hio ndo motive walionipa ya kumuua!

Nikiwa ndani alikuja mjeda kuniona, akasema nimekuja kukuaga! Sitaki tenaaa tujuane! Una gundu! Kila mwanamke wako ana kufa vifo vya kutatanisha ushaingia kwenye makafara ya biashara sitaki kabisaa! Na bar naichukua mimi, Linda alinipa 60% ya shares zake zote! Wewe huku hutoki leo wala kesho! Dunia duara! Niliumia sanaa nikaamini kisicho riziki hakiliki!

Nikiwa segerea alikuja Kyle na wengine wengi! Mpaka Mozah ambae hakunisemesha tangu msiba wa Linda na kunichamba wazi wazi msibani nimekosa haya nimemuua marehemu afu nahudhuria msiba! Akaniambia sasa roho yake imeridhika haki imetendeka! Na Linda atapumzika kwa amani!

Maisha yangu yapo hatarini ndugu msomaji! Nabambikwa kesi ya mauaji! Sioni pa kutokea! Bar nimezulumiwa! Ila Mungu wa ajabu sana! Huku jela nilikuwa napata treatment za VIP bila sababu! Mkuu wa magereza anasalimu mara kwa mara! Askari wenyewe wana niheshimu kama mfungwa wa kisiasa kumbe hamnaaa! Nimeokoka na kuwa mtu wa ibada sana! Nipo huku naoza tu, na kesi yangu ilipangwa ianze kusikilizwa mwezi ujao!



ITAENDELA USINGIZ IUMENIZIDI
 
Pole. Ila fupi kweli ya leo.
Nyie mnajitia bahili wa Amarula! Sasa cha moto mtakiona! Mkisubiria Mkinga au lawyer wanunue Amarula hamna bahati! Yaani Hamnaa! Mkitaka story kwa wakati ni Amarula moja tu! Tena anatuma mmoja wenu 32,000 tu! Kwenda namba


BACK TO TOPIC!

Mnajua toka nimepata taarifa Linda kanywa sumu, roho yangu ilikataaa, katu katu! Mnaweza kukubali nyinyi ndugu wasomaji ila sio mimi ndugu msomaji! Linda namjuaaa sanaa! Tena mno mno! If she had anything was her will to live! Sio mtu wa kunywa sumu! Narudia sio mtu wa kunywa sumu tena sumu cheap! She had style in everything! Even if she wanted to kill herself she would have gone for the gun perharps! She loved guns! Aliwahi kuniambia siku nikitaka kujiua nitajipiga ya kichwa! Na hata kama kabadili mawazo kaamua sumu she would have purchased the most elegant expensive poison inayopatikana duniani! Kama bongo hamna angeagiza nje ya nchi!


She taking her life like that sikukubali! Mi namjua huyu ana roho ngumu mnoo mnoo! Naweza sema mi namjua kuliko watu wote! And her death smelled on thing FOUL PLAY! Nina uhakika Linda haja comitt suicide ila kauwawa! Linda hata angeshindwa maisha vipi willingness yake ya kuja kunikomoa isingemruhusu kurejesha jezi kireja reja vile kwa kocha! Mnaweza kudhani Linda kufanya hivo ningefurahi na kushukuru Mungu ila sio hata kidogo! Ndo kwanza woga umenizidi! Kama kampoteza Linda ki MAFIA hivo mtu wa caliber ile tena bila kuacha hata chembe ya ushahidi! And some how i had a feeling this mudder had a connection to me!

Baada tu ya lile tukio tu nikaajiri mpelelezi wa kujitegemea! Anipelelezee ilikiwaje na aunganishe dots! Ikaonekana ushahidi mkubwa upo kwa Kyle maana ndo alikuwa anaishi nae mpaka umauti kumkuta! na Kyle toka nimzingue siku ile na maswali ya Hans sikutegemea support yake! Ila nilimpigia!

Nilipiga namba yake mda sana ikawa haipatikani! Siku tu kama bahati nikaikuta hewani, Nikamwa!bia tu kwamba kuna possibility ya mudder hapa sio suicide! Akasema Sam ushaanza kuwa panaroid! Mudder ipi? Nani amchukie Linda? Hakuwa hata na shilingi 10 tulikiwa tunadanga wote 4040! Wewe guilty concious inakutafuna! Nikamwamvia hapana naangalia tu oddsnaona hazijakaa sawa! Akasema hamna Sam! Linda is gone! She is not comming back! Try to accept those facts. Ni maisha tu Sam mwenyewe niko few millimeters na kunywa sumu! Unaweza sikia na mie bye bye!

Sikuwa convised! Huku na huku mpelezi akaja kugundua Linda alikiwa anamuona psychatrist aka Shrink kwa siri sana! Alikuwa regency huyu bwana! Kumpata haikiwa rahisina kumfanya a devulge information za patient wake haikuwa rahisi kabisa! Ikabidi mimi nijisajili clinic yake kama mgonjwa wa akili! Nikampanga sanaa kwamba nauona mzimu wa Linda ambe ni x girlfriend wangu! Huku na huku akajikuta anachanganya madesa akaniambia hata yeye hafikirii Linda kajiua! Mpaka misho Linda was convised she was could get a new identity! She was certain about this! Aka ana hisi Linda faked her pwn deathto geta new identity and return to her old life!

Ndo nikazidikuamini ku a kitu kikubwa hapa kimejificha! Nikamwamvia shrink, Linda died bankrupt! Hana hata 100alikuwa ana danga 4040! Akasema siokweli! Kudanga ni uchizi wake huo wa kuamini anaweza kuacha maisha yakeya zamani na kupata mapya! Linda amefariki ameacha mali nyingi sanaa! Kama siamini nimuulize mwanasheria wake aliemtoa jela! Ndo mwanasheria wakempaka mwisho! Niloshangaaa sanaaa! Shrink alikuwa ananiambia haya ili kuniokoa nisjiue! Alishampenda Linda afu mambo yakawa ndio sio!

Bikamtafuta lawyer wake! Alithibitisha Li da kaacha mali nyingi sana! Na nyingi katiya hizokamuachoa baba yake mzazi na chachekamuachia mtu anaitwa Kyle! na mwanae Linda! Anawatafuta sanaa! Amemtafuta mnoo bila mafanikio! Nikamwambia namba yake ninayo! Sahivi in a patikana! Nikamuuliza mpaka mwishokama Linda alikuwa na mpango wa kujiua? Akasema hapana! Kama angepanga kujiuaangekuja kubadilisha wosia! Ila mara ya mwisho kubadilisha wosia ni alipokuwa jela kabla ya huku yake!

Nilimtafuta Kyle nikamuunganisha na mwanasheria wao, akapatiwa Appartment, shamba la heka 100 na frame kariakoo! Hivi marehemu alimua dikia Linda mtoto wa Kyle mpaka atapofikisha miaka 18! Hakuamini alilia mno mno! Akasema yani Linda ana nitunza hata baada ya kuondoka duniani!

Nikazidi kumuaminisha Kylekama Linda hajafeli maisha basi ile note sio yake! Akasema nimuandiko wake lakini! Naujua hata usingizini! Nikamwambia may e kalazimishwa aandike! Akasema pengine! Pengine tinakuza mambo haya! Mara nibadilikie Sam umemnyanyasa sana Linda akiwa hai, muache apumzike kwa amani!

Nikaja kugundia Linda was also abusing drugs kwa siri mnooo! Na supplier wake mkubwa alikuwa Hans! Nikamface Hans kwa mara ya kwanza toka waniambie na Kyle wanapendana! Hans alikuwa shakomaa sasa sio kitoto tena! Ana roho ngumi balaa! Akawa hataki kutoa ushirokiano kwangu, nikamwa!bia basi kama hivo namwambia Kyle kwamba ulikiwa unamuuzia Linda unga! Akaamua kutoa ushirokiano!

Kikubwa alochodai ni kwamba Linda mwishoni alidataa! Maana alikiwa anaagiza dozi nene na alikuwa anaivuta fasta fasta! Kama kuna kitu kilikiwa kinamsumbua sanaaa! Sikuweza kupata issue yoyote ya maana toka owa Hans!

Mpelezi wangu nae alifeli maana ile nyumba wa washa hama anakaa mtu mwingine, na kwenye file lake police washaandika suicide! Kyle nae hakiwa msaada wowote! Nikajua tu noshwekwa wanted! Mjini hapa! Nilikata tamaa kabisaa! Maana kweli kauwawa ila ushahidi hamna kabisaa!

Nili imarisha ulinzi kabisaaa! Nikaongeza ulinzi kwangu balaa! Mpaka bar niliongeza ulinzi! Ulipitamwezi wa utulivu na amani kabisaa! Mpaka nikanza kuamini nimekuwa panaroid kweli! Huku na huki siku hionarudi nakuta !bwa wote wamekufa! Nikajua tayari! Kuwapima wamepewa simu!

Sikutaka kungoja nikampigoa mjeda! Kikibwa ni kutaka kujua na yeye yumo au hayumo! Akasema hapana! Na yeye style yake sio sumu! Angechukua idadi nayotosha ! Nikaanza kujitambulisha kwa ndugu namarafiki?!

ITAENDELA USINGIZ IUMENIZIDI
 
Doh.. Kwakweli ya leo fupi..pole kwa uchovu mtunzi..
 
Kiukweli kabisaa kabisaa nilienda kwa Ghost sio kwa kutaka! Hapana ni kwa kujua maisha ni mafupi mnoo! Bora kama nakufa nife kishujaa! Kuliko kufa kama Linda! Amelala pale kitandani haijui jumapili wala jumatatu! Hajui jua linakuchwa saa ngapi wala linazama saa ngapi! Hajua lolote! Duniani hayupo akhera anatafutwa!

Mi nilienda kwa Ghost kutafuta maisha, kutafuta kazi! Nilikiwa kwenye angle ya maisha ambayo inabidi kushirikiana na adui kujiokoa! Na ndio siku nilimsamehe Hans toka moyoni kwa kujua sio wauza unga wote ni tamaa! Wengine ni njaa tu! Naahidi nikimtia machoni nita shake hands nae kabisaa! Naweza hata kumpa Hug!

Nilitafakari sanaa, nikidanga nitakufa na UKIMWI, nikibeba Unga nitafunwa! Bora kufungwa kuliko kufa! Ndugu msomaji UKIMWI ni kifo! And i was notjust cut in that way! Kukaa kokea onsultsza mwanaume ndo anipe pesa ya kula! Aaaah thubutuuuu! Nikasema No sweat naingia front!

Kwa Ghost navomjua mimi nilijua hawezi kukubali kirahisi rahisi! Ila na mimi sikupanga kukubali kirahisirahisi! Aligoma kabisaaa kabisaa kunipokea! Nikamwambia sasa mi namwanangu hatuna pa kwenda! Linda kajiua kule, walau alikuwa jasiri to take her own life! Ila mimi sina ujasiri Ghost! Naomba niuekama vipi afu nilele mwanangu, hata ukija kumfanya punda sio kesi kashaonja onja maisha! Do me a favor kill me now, mimi nakuomba kazi hii cause najua kazi ya kifo, kwa hio naomba nafasi ya kufia front! Ukininyima basi we nitwange risasi just one to the head! Mimi binadamu mwenzio nakupigia magoti yamenifika!

Weee msizanie mwepesi yule! Akagoma! Ila akaona watu machozi yanawatoka wananihurumia na mwanangu! Akaona aibu kukataa pale, wati washakuwa emotional ndo akaamua kunipeleka kwake ! Mi sikujali sana anataka kunifanya nini maana at this point it didnt matter! Anile kibogaa, anile kwapa! Anile K! Mi nishajikatia tamaa! Nishajiandaa kisaikolojia Ghost ni MAFIA! Nikawaza asingeshindwa kuniweka kwenye banda la mbwa na mwanangu! Nilikiwa bishakata tamaa kabisaa! Mibishajipanga kujishusha mpaka basi ila nikawaza mtoto asije nifelisha maana hawa malaika hawajuagi nafasi zao wala za mama zao!

Nimefika kwake ikawa tofautiii! Ananiita mezani kwake, nile meza moja chakula anachokula yeye! Anambeba mwanangu! Ananisemesha kama mtu vile! Unajua wenye nyumba wengine hakusemeshi, haagi, ila akitoka ananiaga mama natoka! Akirudi mama nimerudi!

Mda mwingi nilikuwa nakaa na Tina! Nafanya kazi kama yeye! Ananikataza, sasa nishakuwa panaroid, najiona siwezi, namuona kila mtu ana haki kuliko mimi! Akaanza Da Tina chokochoko!

Hivi wewe humtamani Ghost ananiuliza! Nikasema hapana! Akauliza kwanini? Nikasema mimi maisha yashanila kibogaaa! Kupata riziki tu ya kula ni jambo kubwa sanaa! Sipo kwenye Neema hizo za kutamani vikubwa! Akaniambia kibinadamu kuna ndoto, huna ndoto za kuwa nae? Nikasema hapana, nitajiumiza tu moyo! Mi nishazaa na kijakazi wake mchafu! Nishafungwa jela, Nishadanga sanaa! Sina kitu, Ghost hawezi kutaka kuwa na mimi! Ghost mzuriii, ana pesa zake,neema kama zote! Atataka mtu wa caliber yake! Maybe boss mwenzie, au mtoto wa mwanasiasa au mtu mwenye manufaa! Mi hapo kina kirefu! Nitazama!

Akaniambia hapana! Nyie hamumjui Ghost! Ghost is a very simple man! Mtu wa kawaida na anavovipenda vya kawaida! Kama ukimpenda kwa mali kama wanawake wengine atajua tu! Ila ukimpenda genuine toka moyoni utampata! Niamini mimi! Nikamwambia Da Tina mimi kwa sasa moyo wangu ushakuwa jiwe tena jabali! Simpendi mtu yoyote, hata nafsi yangu sijipendihata mwanangu simpendi juzi nilikuwa namkabidhisha kwa Ghost! Nitakuwa muongo!

Akaniulizakuwa punda wa ghost au mwanamke wa Ghost kipi kwako kirahisi? Fikiria kwa makini, Ghost anakutia tu madole,in return atakutunza vizuri na mwanao, na Ghost wanawake zake hawapelekagi front hata aiku moja! Mi nakupa mbinu kama unamjali mwanao kupalikupigwa madole, uishi kwa raha na umlee mwanao! Ukikaa vizuri Ghost ana mu adopt dogo huyu! Kosa ai kujosea! Kosa ni kushindwa kirekebisha makosa! Tafakari!

Nikawaza sanaaa! Nikaona kama Da Tina ana mantiki hivi! Kama picha inakujaa kuja! Nikasema najaribu kwani nikoshindwa so basi! Kwanza simpendi so sio kwamba akinishushua nitakuwa naumia roho au vipi! Itakuwa tu game of lies! Na kweli madole yanavumilika! Nijiongeze sieti ndugu msomaji! Kwanza shoga, sidhani hata kwenye list ya wanaume wako shoga unatakiwa kumhesabu! Ile kama goal kick tu!

Huku na huku nimepiga nae mechi,mechi hafifu tu! Sikuwa na stimu nayo kabisaa! Kiukweliii! Nilishangaa tu kwamba ni rijali mngese huyu! Mechi kwa kiasi kikubwa nilikuwa kwenye mstukoo! Bado Hans kiboko yao woteee nakumegea tu ndugu msomaji! Siri yako lakini!

Alikaa wiki mbili haji! Nikawa najitanua pale! Akaja kurudi! Akawa busybusy afu ananipotezea kama hatujawahi ku do! Na mimi nika mute! Mi mtu mzimaa! Afu simfeel kabisaa! Maybe because he killed my cousin! Maybe! Ndio mzuri ana peaa ana kila kitu ila mimi walaaa! Hanas alikuwa hana hata kumi ila nikimuona nalowa chupi! Maybe na mimi sip mpenda wanaume wwnye kitu!

Karudi akabiambia inabidi twende hospital! Nikauliza kuna nini? Nilisikia panga limekata tumboni paaah! Akasema kumuona mgonjwa! Nikamwamvia Ghost kamamkafa niambie? Akaniambia hajafa! Nikawa naenda komshaka mashaka! Mtoto alimuacha! Maybe alidhani nitatoroka! Angejua siku nikitaka kutoroka namuachia mtoto vizuri! Mchawi mpe mtoto akulele!

Tumefika, nikawakuta ndugu zake Linda! Nikaanza kutetemeka! Ghost akaniambia yupo twende ukamuone! Naenda kwa kusita sita! Linda was alive but still helpless! Bado yupo kwenye mashine! Haja imrove hata nukta! Nikashusha pumzi!

Akaja baba yake akaniambia Kyle muage mwenzio vya mwisho, leo tunachomoa plug! Na wanavosema ma Dr, tukichomoa basi! Nikaka kwanza chini! Nikasema No! Akasema ndo uamuzi wa familia! Atakaa hivi mpaka lini! Sisi tumeumia ila tumekubali bora tumruhusu akapumzike! Hivi anateseka sana! Nikasema Noooooo! Siwezi kukubali! Baba akatoka nje!

Namwamvia Ghost please do something! Please! Akasema siwezi! Familia imeamua, na istoshe i think ni bora umruhusu aende kama kunamaisha upande wa pili,yatakuwa bora kuliko hiki kitanda na hizo machine kila siku! Hata akirudi atakiwa ka paralalyse atateseka zaidi!

Nililia sanaa! Nikajiuliza why? Hata hakunigusia! Maana wanaojiua wanasemaga hata kidogo! But why? Kwanini? Sipata jibu la moja kwa moja! Ila kutolewa plug sikukubaliana napo! Wakasema saa 10 ndugu wote watakuwepo kushuhudia ikichomolewa! Na mimi nikatuna pale!

Walikuja watu wengi sana! Mpaka Sam! Mpaka Hans! Tulisalimiana vizuri kabisaa, akanipa mkono wa pole! Akamsalimia mpaka Ghost! Wakazungumza mda sanaa! Akaja kuniuliza mtoto anaendelejae? Nikamjibu poa! Akauliza mko wapi? Nokamwambia kwa Ghost! Akasema nataka kuja kuwa namuona mtoto wangu! Nikamwamvia karibu! Akashangaa mbona umenisamehe kirahisi kuna nini?

Nikamwambia life is too short kufanya mabeef! Si unamuona Linda pale? Akasema kweli aiseee! Alikua Mozah! Mpaka wale wa law firm walikuja! Saa 10 akaja mchungaji kumuombea! Kila neno liliniingia mwilini! Saa 10 na dakika 48 wakachomoa plug! Nilikufa ganzi! Saa kumi na moja kamili vikaanza vilio rasmi! Nilizirai!

Nastuka saa 4 usiku, niko kwenye gari la Ghost! Niliishiwa pumzi,nguvu, kila kitu! Msiba ukawa kwa baba yake Mikocheni! Ila ana mke mwingine sio mama yake! Mi ndo nililia sanaaa! Sanaa! Ghost nimemshika mkono! Chooni anaipeleka na mlango sifungi! Kiukweli katika maisha yangu sitakaa nisahau uwepo wa Ghost pamoja nami kwenye huh msiba!

Kesho yake wakawa wanazika! Mda wa kuaga nilizimia tena! She still looked so beautiful! Linda was gone forever! Basi namkumbuka jela, namkumbuka 40/40 namkumbuka Sinza! Aiseeeee!

Baada ya mazishi, akaja Hans kuniomba namba, nikamwambia sina simu naishi kwa Ghost, ukipiga kwa Ghost utanipata! Akaniambia chukua namba zangu ukipata simu nipigie! Nikazishika kichwani! Nazijua ndo zile zile za miaka yote! Jioni tukarudi kwa ghost!

Sikai peke yangu, siendi hata chooni peke yangu! Msiba uka ifanya niwaze kujiongeza kwa Ghost mara 10 zaidi maana niligundua sipo tayari kufa hata kidogo! Inabidi tu kupambana na kufosi kingi ikibidi!

Mda wa kulala nikajiwagisha chumbani kwa Ghost! Nimemlaza mwanangu nikajilaza! Akaja akasema nisingekukuta huku ningeshangaaa! Unajitia mbabebee unaogopa giza! Unaogopa misiba! Kyle you so soft! Nikasema ndio baba!

Akalala zake! Mimi usingizi haujiii! Namuamsha Ghost? Anauliza nini? Namwambia kama kuna mtu humu ndani! Ananiambia huo woga! Na woga kweli! Nikamwambia basi naomba tupige mechi! Ya kirafiki tu! Usiihesa u kama mechi ila kama panadol! Navojisikia labda mechi ndo inaqeza kunirelax!

Anasema hio itakuwa kutake advantage of you! Namwambia i am okay to be taken advantage of! Please! Naomba unifanye! Please! Akase!a hio ni turn off moja wapo! Na yeye hawezi kulala na mtu katika pressure namna hio! Nikavua nguo zote! Bado hastukiii! Linaringa hiliii!

Nikamwambia ngoja basi mi nikatafute nje mwanaume yoyote anaesimamisha anilale tu! Nashikwa uchiziii! We si hutaki kunisaidia! Sio kesi! Akasema nenda! Nikachukua taulo nikajifunga! Nikatoka nje! Nikamkuta kijana mmoja anaitwa Halfani nikamuita Alfaniii! Akaja bee dada! Nawaza namwambiaje sasa nikasikia akendelee na lindo! Ghost katoka mwenyewe! Nikarudi chumbani!

Akauliza ndo nini? Nikamwambia Ghost nakumbuka mambo mengi kwa wakati mmoja ya kutishaaa! Nitazirai tena! Nimechoka kupoteza fahamu ile ninusu ya kufa! Naogopa nikipoteza fahamu nitapitilizaa! Akase!a na mimi sina stimu Kyle! Kukulala sio kwamba nina switch najiwasha tu! Maybe lets talk first!

Who are you Kyle, what do you like in men? Nini mtazamo wako wa maisha? What do you want to do! Nikamwambia mimi i am an inocent lady, niliepoteza muelekeo, now i am stuck with a man who doesnt want me, nimeza na mtu ambae also he doesnt want me! So niko kwenye mvurugiko! Maybe i am not a good person! I am not a good person Linda was always there for me, but i was not there for her! I just hope siku Ghost ukinihitaji i will be there for you! I just hope so!

Akaniuliza do you want me Kyle? Why? Nikamwa!bia maybe i am stupid! I have always been stupid! My choice of men has always been questionable! We hata mtu nilizaa nae wa kuzaa nae mwanamke mwenye akili zake timamu? Akanikumbatia!

Nikamchomekea Who are you Ghost? Na usiniambie mambo ya kikazi! I know who are you kazini, but who is little Ghost? How did you grow up? Nikaona mtu kawa stiff! Akasema tulale! Nikamwamvbia kama hunifanyi tupige hata story! Zishaanza kuni relax! Kama hutaki hio mada, okay nihadithie basi wakati una balehe ulivokuwa unawabutua! Ghost mi sio mwanamke wako, mwenye malengo nae, useme uwe makini! Mimi ni mpuuzi mmoja, i am just wasting my life away! Siku yoyote unaweza kuja ukakuta mashetani yameniZidi nimejinywea zangu sumu! So its not that serious! Leta story hizo! Akaniambia usiseme hivo! Nikamwambia leta story! Huwezi jua story zako zinaweza kuni inspire! Leta story ya kufurahisha!

Akaanza hio story! Siku ya kwanza nalala na mwanamke haikuwa kwa hiari! Alikuwa kiranja hapo nyumbani, i grew up in an orphanage by the way! Akawa ananipa wali mwingi, wali ulikuwa deal! Ananiwekea nyama nyingi! Kila mtu akawa anasema Jane anakupenda sanaa! Siku hio ilikuwa sikukuuu! Jane akaniambia Ghost nataka kukupa zawadi jioni njoo vichakani! Nikajua hapo kama sio fuko la pipi, basi biscuit! Niliwaza vitamu tamu vingi! Jioni nimeenda namkuta peke yake! Namuuliza zawadi yangu! Anasema nataka nikufundishe mambo ya kikubwa! Nikasema hapanaaa! Mchungaji kakataza kufanya matusi dhambi! Akaanza kulia! Nikamuonea huruma! Nikamuuliza tunafanyaje! Akasema panda juu yangu! Nishike huku! Nikawa natetemeka! Hahahaahaaa! Tulicheka wote! Nikamuuliza ulishika nini? Akanifinyaaa! Namwambia badala ufinye ulichoshika, unafinya bega! Akasema ilikua mtiti! Mpaka takafanikisha! Nikajisikia vibayaaa baada ya hapo! Kurudia rudia nikawa naulizia napewa saa ngapi? Heheheeeeee!

Nikamuuliza Jane yupo wapi siku hizi? Akanyamaza na kuwa stiff upya! Akasema tu Dont die be there for your daughter! Liliniingia mpaka kwenye kucha! Nikamwambia Ghost nispokuwepo please please please naomba nilele mwanangu! Nimekukabidhi wewe! Natamaka hapa na kesho naandika kwenye karatasi na kusign! Akasema ana baba yake! Namwambia najua ana baba yake ila ni mngese mmoja tu! Ndo maana nakuomba wewe! Please please najua sina thamani kwako ila muhurumie yule malaika! Usimpe baba yake hata iweje! Hakujibu akajifanya kalala!

Nikamnongoneza Kwani Jane alikuwa mtamu kama mimi? Be honest! Akasonyaaa tu! Kyle huna akili wewe! Wewe ni mwehuuu! Nampamba Ghost kamamulifundishwa mapenzi na mdada mkubwa utakuwa fundi sanaa! Nifundishe na mimi kutiana! Nampapasa papasa! Nikataka kupeleka mkono ikulu aka u block!

Namwambia mbona unanizuia? Kufanyana hutaki hata kushikwa? Basi njoo nikunyonye usikie wewe raha peke yako? Nilikiwa namtegaa pande zote! Namkazia mimi nameza zoote na situmii meno! Pleaseeee! Anatikisa tu kichwa kusikitika! Namwambia Ghost ukiwa na mimi be free acha protoko! Nitafanya nini nishakukabidhi mwanangu! Mimi mateka wako hapo ila kujiburudiaha maater na slave zimo sanaa hizo!

Nampapasa kifua eeh kituoni nani mwingine alibahatika kuishika hii machine niliokatazwa! Nikamwambia basi kama za maloveee hutaki nisimulie ya kutishaaa na huu uoga nijikojoleee hapa hapa nyege zote ziniishe! Akauliza kweli? Namwambia ndo maanake!

Akaniaimulia hapo kituoni kuna mwalimu mtu mzima alikuwa anamtaka dada ake she wa 12! Kumstress amkubali akawa anamnyanyasa! Akamtuma dukani saa 3 usiku kununua sigara na anajua kuna mbwa wakali ile njia! Ghost ikabidi aende badala ya dada yake! Wakati anarudi akakutana na kundi la mbwa! Likamkimbizaaa mpaka kituoni! Mmoja akamrukia na kumrarua mgongo! Akafika kituoni shati limelowa damu!

Kiukweli hio story ilinihuzunisha na kunitishaa! Nikajikuta namkumbatia tu! Mda mrefuuu! Nikamwambia it is okay! Just forgive! Hata mimi niliwahi kubakwa na kaka yake Sam! Sijawahi kumwambia Sam mpaka leo! He is cool with his brother! Nimesamehe! Nimekuwa huru! Nimekaa na Sam 10 years! Nimesamehe Hans na alinipeleka gerezani! Kwa kusamehe siwasamehi wao, najisamehe mimi! Baby na wewe jisamehe! Even for this one night! Achana na mizigo yote ya roho njoo tufanyane kama wangese 2 waliokutana kimakosa tukikomoe kitandaaa!

Nikaanza kumpa mateee! Akajaaa taratibu! Nikajaribu kupeleka mkono tena ikulu aka u block! Nikamnongoneza its me! Msenge mwenzio tuliokutana kimakosa! Niaminiii! Akawa anasita sita akaniruhusu nimshike! Hana maajabu yoyote! Mikwara tu! Akaanza ku relax! Na kupandisha moriii sana n stimu zikamjia za game!

Kweli tulikikomoa kitandaaa kisawa sawa! Mpaka mtoto nusura astukeee! Ghost kukifanikiwa kumtuliza mashetani yake kama mimi nilivopenya leo kwenye saiklojia yake, ni fundi sanaa! Na he is man! Unlike Hans he is boy! Ghost anajua kummiliki mwanamke mpaka unase!a hapaa kweli nipo na mwanaumeee! Show ana control yeye! Anakuuliza baby hapo vipi! Ila ukifeli akakupanda na mashetani umekwiahaa kama nilivokwisha juzi. Ila leonime enjoy show sanaaa tu! Na yeye na uhakika ka enjoy!

Tukalala tumekumbatiana! Nikajua Ghost nishamteka kwenye himaya yangu hachomoiii hachomoiii! Hana ujanja! Asubuhi nimemuandalia chai, anatoka namsindikiza nampa na mate kabisaa! Weeeee nikingangania kupe haoni ndani, luba akasome! Muuliza Sam miaka 10!

Jioni nimempikia mwenyewe! Nikamgonja mpakaa saa 7 hajajaaa! Da Tina akaniaga anaenda kulala! Tangia mchana nampigia simu hapokei! Saa 8 akaja, kaja na mdada! Kwa muonekano tu ni baby wake! Niliumia roho sijui kwanini! Basi tu! Nikamkumbuka mpaka Linda! Nikajikaza kuwawekea Chakula! Wakiwa wanakula nikawahi kumtoa mwanangu chumbani kwa Ghost! Nilijiapiz Ghost akija kuuona uchi wangu labda anibake! Wamemaliza kula nikatoa vyombo! Nikaaga! Na niliaga kusudi nimuangalie tu Ghost usoni uso wake utavokosa haya! Na umekosa haya kweli! Ananishukuru thanks Kyle! Nikamuuliza nimuandalie mgeni chumba gani? Akase!a No atalala na mimi! Yaani siku hii ndo nilimuona Ghost zaidi ya shoga na hanithi kweli kweli! Nikamwambia sawa! Usiku mwema! Dada ashaanza kukaa kaa uchi!

Nikaneda kulala usingizi haujiii! Nikaenda kuchukua simu ya Da Tina kwa kuivizia nikaanza kumtext Hans! Mi Kyle nipigie! Akapiga! Tukasalimiana akaniambia nitumie picha ya mtoto! Nikatumamna mimi manyonyo yametokea! Akaniuliza unanitega? Nikamwambia ndo maanake!

Tuliongea mengi nikamwa!bia nipo kwa Ghost! Nilikuja mwenyewe but he is treating me nice! Hatakiii kuamini! Anasema narudi hapo kukuchukua! Namwambia usirudi! Nitatafuta namna ya kutoka na mtoto mimi ndo nije huko! Huku na huku tukaanza kukumbushia enzi zetu! Chupi yote ililowa! Nikajua namna gani nimemmiss Hans!

ITAENDELEA!
Ghost huyu jamani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom