Weekend story! BEN 10

lara 1

JF-Expert Member
Jun 10, 2012
15,700
29,111
Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!

Jamani msinichoshe, nisiwachosheee, nilipokuwa hamna mabaya sanaa wala memaa sanaa, na najua hamnijali sanaa kutaka kujua. Tupeane story.

Story iliopita sikuimalizia bila sababu za msingi kiukweli. Na sitoimalizia sababu isha expire.

Kilichonirudisha kuandika story si kingine ni njaa zangu tu, na my one and only sponsor of all times, MAN OF THE PEOPLE (MOTP) nimempiga kizinga sio cha kitoto, alivo firauni ananizungusha zungusha tu. Mpaka nakaribia kususa. Hamna hamna nimejiongeza mjini ya bure salamu tu, nimuandikie bonge moja ya story akiwa in mood nimchune mie.The hustle is real. Jamani wabeba box wote hamnioniii? Mnisambazie ma western union.

I promise hii story nitaimalizia. Kwanza fupi.

BEN 10 NI FIRE!

JAMANI SI KWA MUALIKO HUU! Nimefanya tu sampling ya comments za readers wangu kwenye stpry 3. Kama nimekuruka bahati mbaya. Ila sitopenda mmiss hili vunja jungu
 
Episode 1! MAAMUZI MAGUMU!

Nimtongozeee nisimtongozeee! Atanionajeee ndugu msomajiii? Mambo ya ben 10 haya anayaweza mama Dai. Kwanza mtoto mdogo, akinishushua nafanya vipi unadhani ndugu msomaji. Kwanza anawapenda wasichana wadogo wa umri wake. Bora nijistiri mieee. Kwanza star kila mtu anamtaka. Mambo ya kutongoza wameumbiwa wanaume.

Ila mtoto anaonekana fundi sanaa yule, kwanza mashairi yake ya wimbo wa Iokote anapatia mpaka dhambi sasa. Msumari kwa nyundo nikugonge, ikiwa kwa juu chini naizamia! Balaaa tupu. Kiukweli moyoni kaniingia si masihara.

Huyu mtoto sikuwahi kumuona hata siku moja, nilisikia wimbo wa Iokote nikauliza nani kaimba huo wimbo? Maana sio kwa utamu huo, balaaa! Nikaja kujua ni kitoto i was disapointed a lot. Lakini kila niksikiza wimbo anavoimba kama hataki unanivurugaaa balaaa! Msomaji ushawahi kumpenda mtu hakujuiii?

Nikaamua kuomba ushauri kwanza kwa shoga angu Moza. Moza si mtu mzima sanaa kiumri ila kimajukumu ni mtu mzima, ana watoto wa 3, hajawahi kuolewa ila ashaishia na baba watoto zake wa 2 na wote akashindwana nao. Sahivi anaishi peke yake na wanae. Moza kwao ndo boss kubwa, anasikilizwa balaa, na amelea wadogo zake wote. Na ndo anaendesha familia.

Moza ni mambo mengi sanaa, ila kubwa nalomsifu ni jasiri sanaa, tena sanaa. Kwenye kudream big Moza ndo mamba yao. Kama humjui unaweza dhania hana akili vizuri. But she is the dog when it comes in moving mountains. Napenda ushauri wake cause kama mimi katoka chini sanaa. Na sasa yupo juu sana ila hana dharau kabisaa.

Nilimpigia akaniambia niko Kempisky dogo njoo, nikaenda na kumkuta na Mama lakee, huyu mama lakee kazaa na mtu mkubwa sanaa hafanyagi chochote ni kula bata 24/7 na kuspend baaasi. Nikamueleza da moza nina shida ya ajabu. Akanidaka dogo kama unaazima pesa azima tu usitukate stimu, million 5 au 10? Nikasema sio pesa. Wakanikata jicho mwana knyoko.

Nikajieleza mie mwenzenu kuna msanii nampenda. Wanapendaaaa mambo ya chiniii balaaaa, mambo ya kufukunyuana ndo mpango mzima kwako. Wakanidaka juu juu msanii gani? Nikasitaa kuona aibu. Wakajiwahi au Mond bin Laden,nikawaambia under ground tu. Wakaniambia kaimba wimbo gani? Nikajizoa zoa kuwatajia Iokote.

Mama lake akazama kwenye I phone X, akau ugoogle! Akasema balaaaa! Huyu mtoto Hans stone ni nani? Akagoogle, akasema ndo maana. Huyu mtoto wa marehemu Banza, ila katamuuu. Sema nini nakuachia huyu nishakula kuku siwezi kula mayai yake. Hii kazi fanyaaa. Kazi ya uhakika kabisaa hii. Nikapata moyo kumuuliza nafanyaje?

Mama lake akanikata stimu, nikikutongozea mimi nitakudanganyaa nitamla mwenyewe, shetani langu liko jirani mno. Hamna cha kuku wala mayai, nitafagia tu. We jiongeze. Unatongozwaje geuza upside down. Akaendelea kuperuz peruz, akasema mbona mchafu mchafu bado? Mmmmmh! Sidhani i
A sijui.

Moza akaingilia, sahivi pesa ya kutembea na mwanaume wa ndoto zako unayooo, usijibaneee. Throw him few cash, atajaaa. Wana njaa sanaa hao. Maisha mafupi, umebahatika kuzishika mdogo fanya yakupendezayo moyo wako. Its okay to have adictions. Mambo ya uchafu kwani midosho chi town bei gani? Mpendezeshe mwenyewe, afu uzuri wa mwanaume mdogo una mcontrol kwa remote. Mi point yangu do what makes you happy hasara roho tu.

Nikajiongeza nika m dm nimependsana kazi zako, mimi dada yako shabiki yako sanaa. Ukihitaji chochote niambie. Feel freee. Nikawa nangoja kwa hamuuu. Majibu positiveee. Ikiingia notification roho inanienda mpocompoco, nikifungua nakuta Mange has posted new post. Damn! Nangoja tena.

Ikapita wiki bila bila. Nikakata tamaa kabisaa. Moza akaniuliza kwa whatsup Uturuki lini hio? ulikapata kale katoto? Nikamwambia uturuki bado bado ila kwa dogo mambo oves tu. Akasema ngoja, yule si yupo management ya Hanscan, mama lake anamjua tuchukue namba yake umuendee whatsup. Dakika 10 nyingi whatsup hio hapo namba. Ila nakushauri usirembe wewe nenda tu direct, andaa fungu kama laki 5, au maliza M kabisaa mwambie mpige show pesa yako isiende bure mazee.Nikamwambia sawa dada.

Nilikaa na namba wiki nawaza pa kuanzia sipatiii. Nikaamua kumfata mtabe wa hizi kazi shoga angu Linda, yeye anatongoza wanaume sana tu, ila matajiri. Kina Mo hivi ndo kazi yake mjini. Mzuriiii. Hatumii nguvu sanaaa. Muonekano unambeba. Nikamfata kwake ananimbia ana mpango wa kumtongoza mtoto wa Bakhresa. Ndo mipango yake siku zote na atampata. Ukiacha uzuri analoga sanaa.Tena sana.

Hakufurahishwa na swala langu, akaniambia mbona so cheap? Fine you wanna date a star awe basi na hadhi, about that life.Kama mimi nikiwa bored napiga sana show na calissah and he is worth every dime i pay him.sasa hiki kitoto kiko oves sanaa. Kina njaa sanaa. Tena sanaa. I dont know, kipendacho roho hula nyama ilio oza.

Nikamuuliza sasa unanisaidia au vepe? Akasema namba yake si unayo? Money Talks! Tuna humo 30,000 kila wiki, usijitambulishe wewe nani wala unataka nini. Nikimpa mwezi nampendelea atajileta mwenyewe utachinja kiulaini.

Nikamwambia Linda mi nataka anipende, iwe relation sio kama biashara ya kuuza na kununua binadamu! Akanikata jicho. Akasema anza kutambaa ndo utembeee. Usitake kupaa kabla hujakaa. Hio stage one akujue wewe nani na una lipi jipya. Mengine tutaendelea ukifaulu bigginer course.

Nikarudi nyumbani, kabla sijalala nikatuma 100,000 kwa line yangu ya magumashi. Hakuna cha asante wala nini. Ijumaa tena nikatuma 100,000. Mwendo huo huo kama ijumaa 5 hivi. Ikaja text nani mwenzangu? Falasi kweli, mpaka imefika 600,000 ndo anauliza nani mwenzangu?Sikujibu.

Akaja whatsup, samahani wewe nani? Unatuma pesa kila ijumaaa. Au unakosea? Nikajibu wala sikosei! Mimi shabiki wako, dada yako. Kuwa na amani, vikubwa vya balabuu, ila nikipata kidogo nakuwezesha mdogo wangu au nakosea. Akawaka hapana dada hukosei, nashukuru kwa support yako. Tuko pamoja.

Sikushoboka mpaka Ijumaa nikamjaza 100,000 kama kawaida. Akaanza kunitumia za sahivi dada? Dada unaendeleaje? Ama kweli Linda kiboko. I am not cheap. Sikujitokezaa.wala story nae sina. Kabisaaa. Siku hio akaniambia dada nina stress naweza kukupigia nikamwambia HAPANA. Sipendagi ujinga mimi.

Akaja kuniambia, dada unanisupport sana niambie chochote kuhusu mziki wangu. Sababu ya support yako nimeanza kuwa uncommfortable. Ni mwema sanaa kwangu. Niakmjibu hio video uliofanya na Mau sana mbaya is so cheap kingese, ukitoa wimbo wako usifanye video under budget kama hio. Akajieleza vyuma vimekaza hata Mond haendi South kwa Godfather tena.

Nikiwa uturuki nikamuuliza unavaa viatu size gani? Akasema 43. Nikapasuka jordans OG kama pair 5.Nikamnunulia na jeans na tshirt za hatari.Nikampa bodaboda apeleke studio. Jioni akaniuliza sister umeniletea zawadi? Nikamwambia umezipendaaa? Katoto kamejaaa. Uzuri wa vitoto unaona innocense yao kabisaaa. Sio mikonki master.

Akaniambia wimbo wangu upo tayari nataka tukutane nikusikilizishe wewe unipe maoni yako kabla sijautoa. Nikawaza sanaaa. Nikarudi kwa Mama lake, ananiambia we ushafeliii na huo ndo ukweliii. Huyo ahsakufanya dada tenaaa. Kuja kupeana tena sahau. Muite kwako mfiriganeee mambo yaisheee. Moza akasema hapana keep it going like a game tuone mwisho mtaishiaje, nimependa hili muvi lenu. Usiende kusikiliza. Ili asikujue wewe nani wala unataka nini.

Mama kubwa anachombeza, mchezo wa kuhonga huu sio mzuri kabisaa. Ni kama kula nyama ya mtu, ukianza huachiii ngooo. Kuanza ni mgumu ila ukikukolea basi unaanza kuufuja u aweza jishtukia unamhonga mpaka kaka yako kmjaribu tu. Heheheheeeeee!

Akaja kuniambia dada nina shida ya 200,000 samahani lakini. Nikatuma 500,000 nikamuuliza zitakutosha au niongeze? Akasema zinatosha dada asante. Mmmmmmmh! Na badoooo! Akakumbushia mambo ya kunisikilizisha wimbo. Nikawa njia panda.

ITAENDELEA KESHO.
 
Dada Mkubwa!

Mimi Kama Moza all I want is for Kyle to be happy. Kama dada WA hiari nakapenda Sana. Ni mtu Safiii Sana'a. Hana makuu KABISAA.

Historia yangu haini qualify kutoa ushauri kwa Kyle WALA mtu YOYOTE kuhusu mahusiano. MAANA Nilifeli na huo NDO ukweli. Mara ya KWANZA nikasema bahati mbaya na ya pili je nitasingizia nini.?

Nimeishi na wanaume WA 2, nimezaa watoto wa 2, mmoja kaachwa na marehemu mdogo WANGU na kote nimeambulia nyuzi za Leba TU.

Kikubwa nilikosea mahesabu. KWANZA niloshobokea Ndoa baada TU ya kummaliza chuo. Ile kwenda na wakati ule. Nikamkokota mwanafunzi mwenzangu tukazaa fastaaaa na Kuanza kuishi wote kazi Hakuna. Kupendana TU tulipendana Sana.

Baadae mwenzangu kupata kazi, ananiona mzigo. Anarudi saa 5, mtu na mtoto wa mwaka anaacha matumizi elfu 3. Nikamfuma ANA mtongoza mdada ofisini anamwambia Sijao. Anataka kumpelekea MA shopping malls. Nilienda mpaka mall kuuliza nguo BEI GANI? Nilivunjika moyo nikaapa lazima niwe na Duka Mall.

Mwanaume akazidi kuhama kiakili nyumbani, hata mtoto hamashiki tena, Mimi NDO hanigusi hanigusiii kabisaaa. Hali, anaanza wiki harudiii. Nikaamua binafsi TU hapa DEAL DONE. Wala sikumuaga nikachukua VITU nilirudi nyumbani.

Ukaanza Midomo Kiko wapi, si huyo karudishwa. Mume mchezooo. Nilitafuta kazi, nalala na maboss HR si CHINI ya Watano bank mpaka nikaajiriwa teller TU. Sasa Hapo na mtoto akili ishanikaa SAWA dirisha lilinikoma. Ni kujiseksisha kwa wateja matajiri mpaka BASI. Wakinielewa Naenda kutumika Ila KWA akili zangu.

Yule Bwana anaanza kunisumbua Anataka mtoto wake. Aaahhh subutuuuu! Nikamwambia vifanyio mnavo zaeni mwingine. Huyu Huna maisha ya kumpa boys wewe.

Nitachukua mkopo na kurenovate KWANZA NYUMBA yako urithi ikawa standard. Mwanangu miaka MI 3, Nitaanza kumsakia shule, nikaipenda DIS Ada Kama M 7. Niagara LAKI 8. Nikaona nishafeli. Kujiuza uza kote nilipata ya term moja, nikamuanzisha KWANZA. Elimu Bora Ilikuwa moja wapo, Ila Kumkomesha mzazi mwenzangu ikawa part 2. Na alikoma sio kitoto. Kila akiuliza Ada ANA RIP.

kuisaka Ada Nikaanza kuuza nguo nyumbani, mapochi Nakopesha, perfume, vikawa SI haba. Na Mshahara Mwanangu ana damshiii Kama kawaida.

Branch manager akajichanganya ANA mkewe KABISAA. Ila nikaipenda nae SAWA sawia akanipandisha Nikaingia kwenye mikopo Mshahara ukapanda, na bonus juu, nilikopeshaa vyote msinitanie. Tukazaa kushindwana Anataka nimzalie.

Nikamwambia baba Ada million 7 Sizai tenaaa. Alinibembelza Sana nikagoma. Anaanza kutoka na mtu mwingine. Nikashukuru sikutaka Kala kwa KWELI.

Kwenye mikopo Huku na Huku nikakutana na mkaka wa makamo. Nikajua ANA mke. Kumbe Hana. Basi tukaelewana Nikamwambia na mtoto mmoja akasema kwako sio tatizo. Tukawa tuna date juu juu. Akaniambia nataka kuja nyumbani kwako nikutane na mwanao.

MI nikamkaribisha nyumbani, so nakuamini he is an average Joe TU. KWANZA home nilipatengeneza kibongo bongo dirisha za kuslide, gypsum, tiles, Vegae nje, msouth Aaahhh msomaji Mbona standard kabisaaa.

Alivokuja akawa anaangalia Sana'a Kama sijui yupo wapi, Moyoni Najipa big up kwamba Alikuwa ananichukulia POA. Basi NYUMBA za urithi ndugu Kama wote. Hakukaa Sana.

Namsindikiza akasema sijapenda unapoishi. Nikamwambia Mwenyewe sijapenda Ila Maisha. Akaniuliza Sasa unaishije na mwanao na watu wote wale.Nikamwambia wanetu SISI maskini wanalindwa na Mungu TU peke yake. We Unasema ndugu zake wale, shule kwenyewe anapelekwa na MZEE Ally Bajaji na kufatwa. Mungu yupooo.

Hatukuongea SANAAA. Kaondoka zake. KESHO kanifata ofisini akanikaribisha kwake. Akaniuliza njiani Mbona wewe hushoboki na Ndoa. Tuna date Mwezi huniulizi Kama nakuoa au vipi? Nikamwambia Bwana weeee Nina mtoto mwenzio NDO baba NDO mama. Nishajifelisha Kimaisha Siwezi kumfelisha Mwanangu.

Tukafika HUKO Masaki kwenye apartments babu kubwa. Ulinzi Kama wote. Wenzenu wanaishi SISI tuna survive. Kama hotelini.Nikasema Leo Moza mwisho WA umalaya nanyonywa damu. Maskini Ella WANGU.

Nikawa nimekaa mood Sina. Ananiita ananielekeza house tour. Nikawaza wanawake wenzangu wanabahati kuolewa na mabwana Kama Hawa, MI naishia kutumika TU. Daah!

Baadae akanikaribisha pombe, nikammiminia na yeye, akasema MI sinywiii. Khaa! Uko kwenye dose au? Akasema MI Muislamu situmii KABISAA. Nikamwambia unajua Muislamu, Abdallah lazima UWE Muislamu Ila vyombo vipi hutumii Unaweka kwako kiaje? Akasema NI. Nimekuwekea wewe. Kama situmii haimaanishi wewe usitumie. Nikitaka kusema situmii Ila nikasema hutaamini sio kwamba Jack Daniels blue label alioificha Mwenyewe MZEE baba Jack awe anajinywea peke yake. Nikajimiminia Nikaanza kunywa.

Akaenda uwani, nikamtilia kwenye soda yake. Sio kwamba simwamini no, KWANZA siogopi kufa, kwangu kufatilia kwenda kupumzika, naujua Sirudi tenaaa. Nilimuwekea twende SAWA, hawezi kunilewesha peke yangu kingese ngese. Anataka kunifanya nini?

Akarudi Akastuka soda imefloat. Kabadilika Unaweka nini humu. Nikachukua nikainywa Mwenyewe. Kuonesha TU sijaweka sumu. Akapoa kidogo.

Akauliza pombe sio? Nikamwambia Ndio Kuumwa kidogo na wewe. Twende SAWA. Akagoma haramu. Mtume kakataza. Nikamuuliza kulala na wanawake sio haramu? Aka smile!

Akanitega kwani we Moza hutaki kulala na Mimi? Be honest. Nikamwambia ningekua Sitaki nisingekuja hapa. Nimemuacha Mwanangu kalala bila Mimi. Lakini Kama hunywi silali na wewe.

Akasogea kwanini? Nikamwambia sababu mechi Itakuwa hafifu. We tunywe tufanyane moto ukatuhusu kikamilifu au sio kafiri mwenzangu. We uwake na Mimi niwake mambo yawe Mpoko Mpoko.

Anajisemesha kimahaba MI Sitaki Kunywa Ila nataka TULALE wote baby pombe sio mambo yangu. Nikakomaa MI mtu aisekunywa silali nae. Ikiisha chupa HII nasepaaa.

Akachukua glass, akamimina shots moja Anajisemesha Moza unanirudisha kwenye ulevi, it's been five years sijanywa ujue. Glass IPO mezani anatoa risala za mgeni RASMIIII. Nikachukua na kumnyweshaaa. Alifumba macho. Akainywa nusu.

Naaaam Nikamwambia Hapo Sasa SAWA baba. Nikatanua Miguu na skirt kimini tight nyeupeee. Ikaonekana. Akasema Kama tukaenda Motoni sio mbaya twende kwa style.
Akauliza Moza umelala na wanaume wangapi mpaka Leo? Nikamwambia ningekua sijazaa ningesema bikra, Ila sababu nimezaa sio mbaya nikasema mmoja.
Akatabasamu Hio inamaanisha WENGI. Nikasema Sijasema WENGI. Unanilisha maneno? Kwani Unaogopa na UKIMWI? akajibu maybe! Nikamwambia Kama uliniandalia via BASI condoms PIA utakuwa umeendaa.
Nimeenda KWELI, Ila sijui pombe, sijui wewe habibty nataka nipite kavu kavu. Sio kawaida yangu Ila nafsi NDO Inatamani hivo.
Nikabana Miguu KWANZA, Dullah, mwenzio na mtoto, baba ake mngese mmoja TU. Inamtosha mazuriii, mkarimu n all Ila njia ya kujipatisha mimba in order to keep a man ishakuwa kwangu. Vaa condom TU. Sina Kijiti, sondano WALA kidonge. Na calendar Sahivi Sina Bwana sifatilii.Ada million 7. Vaa baby nitakuvalisha Mimi Mwenyewe uta enjoy. Akawa ananiangalia machoni mdada. Akaniuliza Mbona huniulizi melala na wanawake wangapi? Nikamjibu ukimchunguza bata hutomla. LA msingi na secondary Leo unalala na Mimi. Akasema I like you girl.

Nikaona Leo nacheza na beki ya Kati aka defense MAANA hashambulii KABISAA anangoja kuletewa Mpira. Kulala na mabwana Mingi kujua mengi.

Itabidi Mimi niwe striker kwenda sambamba na beki WANGU. Nikamfata mzima mzima mpasuo nateseka non stop. Mabeki wako vizuri kwenye kupokea mipira. Akanidaka juu juu.

Nikavua KWANZA jezi za bank nisitie Najisi kitendea kazi changu.Nikataka kivyako tight akasema Kuanzia Hapo navua mwenyeweeee. Mmmmmmh!

Mwanaume anajua kuvua KWA ustadi huyu balaaa. Nilishaona Dullah kina kirefuuu. Kwa uvuaji uleee. Mmmmhhhhh! Ananitekenya Miguu. KWANZA mikono inavopapasa Kama mpiga gitaaa. Vibration zinanikumba TU.

Nilishindwa kuvumilia nikamuuliza Dullah we kabila GANI? Akaniuliza kwanini? Ushaona mechi utapoteza Eeeh? Mie mtu WA Tanga, WAJA Leo waondoka Leo Leo. Nikavuta Pumzi, Tanga kiboko.

Haifaiii KABISAA Namna HII unaweza kuwa inekuha kudanga ukajikuta unapitisha msamaha WA PESA JUMLA. Nikailaumu pombeee asilimia zote. Hapa napoteza mzimaaa.

Nikawaza how about I cheat. Itabidi niingie formation ya konki KONKI mastaaa. Nikaanza kumsifia Ili kumlegezaaa. Akaniwahi na kiss akanifanyia shsssshhh napenda ku concentrate Nikiwaacha KATIKA HII Tasnia.

Ndugu msomaji you should understand my frustrations I had nothing and absolutely nothing to offer kwenye HII relation apart from my body and expertise. Sasa na hivo PIA nipotezwe SI NDO nishafeli BASI.

Kwa Hali ilivokuwa nikakubali matokeo nishafeli. Nikaamua sio mbaya nikijienjoy. Kama nikionekana goi goi under standard potelea pote.

Nikaanza kumpa USHIRIKIANO anaotaka yeye Maestro. Yeye NDO naodha na Mie chombo anipeleke anvotaka.

Dullah NI hatariii, anafanya Yale Yale Ila KWA ustadi mkubwa. Roho YOTE IPO pale. Kiukweli sehemu zingine Naenda kapiga kazi Kama kazi zingine Ila pale MI NDO nikageuzwa kazi sio mfanya kazi.

Miananume mingine inakutumia KWELI kweliii. Nikune hapa, Shika huku, Shika kule, ninyonye Huku hata mfanyakazi wa nyumbani afadhali.shubhamitiiii! Unaweza hata kulinasa makofiii.

Sio Dullah! Yeye NDO Akaniuliza baby nikushike wapi, mine ugonjwa WANGU kiuno. Akanitomasaaa kiuno, anakiminya minya na kukimassgae kazingua zetu za bank hizi viuno tunaacha kwenye KITi. Mwanaume vidole virefuu, vigumu vya Kiume Kiukweliii na anajua kuvitumia. Mpaka unaweza vidole hivi vikienda sehemu zingine nitaviweza KWELI.

Sikujua Miguuu ugonjwa WANGU mpaka SIKU Hio. Yaani nililegea hoii kabisaaa. Nguvu ya kujigeuza sina. Ataenda kuzifata Sasa condom, Akaniambia nivalishe Sasa. Nguvu sina nawaambia wasomaji.

Hapo ashawaka, jicho jekunduuu, yaaani yaani angesema suuu aniulize nipite kavu ningemwambia pita TU baba kwani Kuna mlango?
Tukajitahidi tukavalishana analamika SIKU ingine nijiandae kavu kavu hatosikiliza lolote. Million 7 KITU GANI Bwana.

Mwanaume mstaarabu anakwambia baby niingize, sikujibu sio kusudi nguvu Sina, akiuliza tena kwa kubembeleza zaidi. Nikamwambia Mmmmhhhhh!

Hapo NDO nilipofeliiii nikajua na ndani atakua mkarimu hivo hivo. Weeee! Alinifirigisaaaa kisawa SAWA ile mpoko mpoko. Bandika bandua kanikunja kisses SAWA. Nilikojoa Mara kibaooo. Mpaka network ikakatika kwa Mda. Kuja karudishwa Huyu hapa nae NDO anamaliziaa. Nilijinyanyua kunogaaaa KWA TABU SANAAAAA. Yeye kulala fofooo.

Saa 10 nikamuaga Naenda, anangangania Naondoka vipi bilateral CHA asubuhi. Nikamwambia mtoto nawahi kumuandaa wengine watampeleka rough shule. Nikaapa. HATA 100 hakunipa mechi YOTE ile. Hata kuuliza gari INA mafuta. Nikasepa zangu, anyway nimefaidi hata alitaka tena nakuja na mafuta yangu Mwenyewe. Sio kwamba mechi ile.

Nimejiandaa, nikamuandaa dogo anapelekwa na babu yake WA Bajaji. Nikaenda bank, moja haikai mbili haisimami. Dullah ananiumiza kichwa.

ITAENDELEA JIONI
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom