Chiblak
JF-Expert Member
- Jul 3, 2014
- 693
- 945
Si wanasemaga zinaongeza ashki??? Utani
Wengi walimchukulia poa the ghost kuwa anatafuta pesa kwa njia za khatari waqt hana mpini wala watotoHapo mwandishi kanikosha sana aisee
Very smart aisee
Ipo siku atafanya collabo na the ghost sababu anamchukulia poaMlete Bi. Tina.
Umekosea kusema shosti atapindisha stori.....Kyle amepata mimba ya Ghost.
Mamaa Uchebe saa ngapi sasa unakuja kutula viboga...ebu fanya kumleta bibi Tina maana huyu nina wasiwasi na ujana wake.Mngejua kiboga nachokuja kuwala mngeshukuru Jana sijaweka story! Weekend ingetumbukia nyongo! Endeleeni kutabiri na kunitukana fanani! Giant za angeni Kama kawaida
😀😀😀😀😀 hufai wewe.Kweli hatuna fanani hapa!!!Mngejua kiboga nachokuja kuwala mngeshukuru Jana sijaweka story! Weekend ingetumbukia nyongo! Endeleeni kutabiri na kunitukana fanani! Gia za angani Kama kawaida! Msishangae ndege ikapigwa reverse!
Duh....Mngejua kiboga nachokuja kuwala mngeshukuru Jana sijaweka story! Weekend ingetumbukia nyongo! Endeleeni kutabiri na kunitukana fanani! Gia za angani Kama kawaida! Msishangae ndege ikapigwa reverse!
Vibonge tuna shida
Kikulacho kinguoni mwako ushoga wa mjini huo hayo mambo yapo sana tu shoga ako anakuzunguka mfyuuuuu








Kumbe nawe ni mdau huku?She is good.
Namsubiria Bi Tina nione mtazamo wake kwa Ghost.Namuimagine atakua mtata mtata hivi ...
Acha tuanze kujiandaa kisaikolojiaMngejua kiboga nachokuja kuwala mngeshukuru Jana sijaweka story! Weekend ingetumbukia nyongo! Endeleeni kutabiri na kunitukana fanani! Gia za angani Kama kawaida! Msishangae ndege ikapigwa reverse!
Hii story nimeisoma ile ya episode ya kwanza ikanidaka nikazisoma zote.Kumbe nawe ni mdau huku?