moneytalk
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 7,701
- 16,418
Hahahaaa ngoja nikatafute dictionary nikae nayo pembeni
Hahahaaa ngoja nikatafute dictionary nikae nayo pembeni
Sojakuona kwa Rasi Simba, au wewe upo tusheni ya mchana?
walah nimecheka sana"The way rose treats me inanionyesha wazi how I'm mistreated in my own hom and abused by my wife" nyokko zako umarioo tu ushamkausha mwanamke wawatu kizazi mitoto miwili yote afu unaleta umakumaku nyie ndo mnakufaga kwa guilty
Cc Smart911
nitakustua wangu usihofuIkiendelea niambie binamu....
Poa sana....nitakustua wangu usihofu
hahaa ile nisawa na kuonjeshwa kitu kitamu halafu ukanyimwa kula chote ..yaani jeuri yote inakwenda kunitoweka ...vacation nitakuwa nakwenda bagamoyo hakuna tena cha Sydney wala Paris ...Nina hio hamu ya kujua what next balaaaa... Nyodo zote zile kwa mkeo khakha Hivi na kazini ulikua unaenda kweli??? Sio kwa micare Ile!!
Cc Smart911
Mbona nilikuita KLM,MOTP mwenyewe,hukupata tag ama??Mnakula ubuyu kimya kimya bila kuwastua wana!
Yani mi nawachekiiiiiii alafu nasema hiiiii
(In kiranja wa malaika's voice)
Nilijua umepewa ban rafikiAhsante KLM, ile sie wa ST Kayumba safari hii unatuburuza sana. Umeamua kwenda intenesheno. Tutajikongoja hivohivo mdogomdogo.
Baada ya kuchezea kipigo cha Singida United naelekea kuwa Poser....