bombu
JF-Expert Member
- Jun 8, 2011
- 1,127
- 542
Weee si nasikia ni mshabiki wa Lipuli, CDA ya Dodoma na Majimaji ya Songea
Mh.! una masikio weweee! Na umesikia wapi huko?
Weee si nasikia ni mshabiki wa Lipuli, CDA ya Dodoma na Majimaji ya Songea
Katika mzunguko huo umesahau kuwa utapita pub.Ratiba wa Wikiendi ni kama ifuatavyo
Leo Ijumaa naenda kwenye mkesha wa maombi hadi saa moja asubuhi
Kesho Jumamosi naenda kwenye maombi na Jumuiya kwenye Sala na kusoma Biblia
Jumapili kanisani halafu baadae jioni kwenye Fellowship
Follow me ili upate kusikia na kujifunza neno la Bwana
Yaani Elli hata kuonja nisionje?
Katika mzunguko huo umesahau kuwa utapita pub.
Hahhaaha Vivian jamani, ukishaonja si utanogewa, na ukishanogewa si utaonja??? Nakushauri uache kabisa na ukizingatia ndio mwisho wa mwezi bado kuna matone ya mvua mfukoni yamejaaa, hapana usinywe kabisa, chukua juice kwa mrija, nyonya taaratiibu tu huku story zikiendelea, umskia Mpwa eeh
Katika mzunguko huo umesahau kuwa utapita pub.
Assalam alaykum.
Imeonekana kuwa asali ukichanganya na mdalasini inatibu maradhi mengi.Inshallah leo nitaandika kidogo juu ya asali na mdalasini.
Arthritis:
Chukua asali na maji ya dafidafi na uchanganye na mdalasini kidogo (unga wa mdalasini) changanya uzuri na baadae ujipake sehemu inayouma. Pia Mwenye ugonjwa huu kila siku asubuhi na usiku atie maji ya moto (dafidafi) achanganye na vijiko 2 vya meza vya asali na kijiko kimoja cha unga wa mdalasini anywe kila siku.
Hair loss (utokaji wa nywele):
Kwa wale wote wenye matatizo ya kutoka nywele achukue mafuta ya olive na ayapashe kidogo achange na kijiko kimoja cha asali, na kijiko kimoja cha unga wa mdalasini apake katika nywele na awache kwa muda wa dakika 15 na baadae akoshe.
Toothache (kuumwa na jino):
Changanya kijiko kimoja cha unga wa mdalasini na vijiko vitano vidogo vya asali na upake katika jino linalouuma,paka mara 3 kwa siku.
Cholesterol:
Vijiko 2 vya asali na vijiko 3 vya unga wa mdalasini changanya na ounce 16 ya chai (chai kavu), inapunguza mafuta ndani ya mwili kwa 10& kwa muda wa masaa 2 tu. Ukinywa kila siku utapunguza mafuta ndani ya mwili.
Gas:
Changanya asali na mdalasini katika kijiko kikubwa cha meza na unywe.
Ulcers:
Changanya asali na madalasini unywe kila siku.
Heart Disease (Maradhi ya moyo):
Changanya aali na mdalasini na upake katika mkate kuliko kutimia jam au siagi, na ule kila siku wakati wa chakula cha asubuhi, inapunguza mafuta katika mishipa ya moyo na inasaidia mtu kupata heart attack, hata hivo kwa wale waliokuwa washapata heart attack wakitumia hivi siku zote Inshallah heart attack itaondoka.
Immune Sytem(kujikinga):
Kla siku tumia asali ukicanga na mdalasini inasaidia kuongeza nguvu katika mwili na inasaidia kuoingeza White blood cells waweze kupigana na wadudu wa maradhi tofauti.
Pimples:
Vijiko vidogo 3 vya asali na kimoja cha unga wa mdalasini changanya pamoja na ujipake kwenye pimples usiku wakati wa kulala na asubuhi ukoshe uso kwa maji ya dafidafi, fanya hivi kwa muda wa wiki mbil pimples zote huondoka.
Skin Infection(Maradhi ya ngozi):
Cchanganya asali na mdalasini kiwango kimoja na ujipake pia huondoa ringworms eczema na maradhi yote ya ngozi.
Weith loss (kupunguza uzito):
Kila siku asubuhi kabla kula chakula chochote asubuhi kabla saa 1/2kula chakula cha asubuhi na usiku wakati wa kulala, changanya asali, mdalasni katika maji ya moto na unywe kila siku hupunguza mafuta na pia ukiwa unatumia siku zote hata ukila vyakula vya mafuta basi mafuta hayakai katika mwili.
Cancer:
Kunywa kijiko kimoja cha asali na kijiko kimoja cha mdalasini kwa muda wa mwezi kila siku mara 3.
Hearing Loss (uziwi):
Kila siku asubuhi na usiku kunywa asali na mdalasini kwa kiwango kimoja.
Bad breath(Harufu mbaya ya kinywa):
Kila siku asubuhi changanya asali na mdalasini aktika maji ya moto na usukutie.
Inshallah kwa leo nakomea hapa,kama kuna suali lolote Inshallah nitalijibu kama nina elmu nalo.
WABILLAHI TAWFEEQ
Afu we mshiki,Asante Msasha kwa hii zawadi nzuri ya weekend.
Utapita Zero pub Kesho?
Ngoja niiweke hii kwenye my favourite foulder
Maungamo ni usikuMaungamo ni lini? halafu hapa naona kuna utata katika swala la kujua wewe ni RC au Mlokole.
Aiseee......Afu we mshiki,
Kila siku unasema tuuuuu lakini unaingia mitini.
Hebu twende PM kule tukafanye mikakati ya kunywa biya wikiendi hii........
Hivyo2 binamu na nina hakika.Hahhahahaa Mpwa mchokozi wewe jamani, oooh kumbe ni kwasababu Pub nyingi siku hizi zinapiga sana nyimbo za Gospel nadhani ndio ulichomaanisha....
Afu we mshiki,
Kila siku unasema tuuuuu lakini unaingia mitini.
Hebu twende PM kule tukafanye mikakati ya kunywa biya wikiendi hii........
wewe utakua wapi Blaki womani?
Shsssss!! Taratibu watu wasishtukie...lola
ha ha ha ha haaa. nimekuelewa sasa.