Weekend mbaya, outing imenishinda

Weekend mbaya, outing imenishinda

Idhae

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2014
Posts
609
Reaction score
277
Kuna binti jiran mrembo nimem-aproach takribani mwezi wa tatu sasa lakini majibu yake yalikuwa negative.
Ghafla leo kani-text akihitaji nimtoe out kwani leo ananafasi hadi saa 4-usiku.

Sasa hapa nilipo hata nauli ya daladala sina nimemtonya jamaa yangu naye hali mbaya, yaani ndege anapeperuka hivi hivi jamani? Weekend mbaya sana kwangu.

 
aisee pole sana maana nahisi umetumia akili nyingi sana kutunga hili

HIVI HELA YA BANDO UMETOA WAP+YA KUWAPIGIA MAJAMAA
 
aisee pole sana maana nahisi umetumia akili nyingi sana kutunga hili

HIVI HELA YA BANDO UMETOA WAP+YA KUWAPIGIA MAJAMAA

Bando nimejiunga kifurushi cha mwezi. Nafanya hivyo kila mwisho wa mwezi
 
aisee pole sana maana nahisi umetumia akili nyingi sana kutunga hili

HIVI HELA YA BANDO UMETOA WAP YA KUWAPIGIA MAJAMAA
Hela ya bando haitoshi bana.
wine pekee 20,000.
kukunusu 7000.
plain chips 3000.
accomodation 20000.
 
Mungu anakupenda acha kutamani uasherati. Hata ukiepushiwa unaoba bahati mbaya
 
Hii inatokeaga sana wakati mwingine ni mipango ya Mungu, behind the scene!!! Let it go kk
 
Hela ya bando haitoshi bana.
wine pekee 20,000.
kukunusu 7000.
plain chips 3000.
accomodation 20000.
nauli=800 ×2(na ya demu
chips kavu=1000×2
maji ya kunywa=400×2
chumba=3000
kutokana na jamaa hana hata nauli nadhani ifuatayo ndo aliokua anaizania
 
Kama nakuona unavyoweweseka ukivuta picha ndo unadondosha gauni lake chini ya kitanda cha lodge.smh
 
Kuna binti jiran mrembo
nimem-aproach takribani mwezi wa tatu sasa lakini majibu yake yalikuwa
negative.
Ghafla leo kani-text akihitaji nimtoe out kwani leo ananafasi hadi saa
4-usiku.
Sasa hapa nilipo hata nauli ya daladala sina nimemtonya jamaa yangu naye
hali mbaya, yaani ndege anapeperuka hivi hivi jamani? Weekend mbaya
sana kwangu

mkuu pole utapataje aibu bora usiende. ila usiwe ulindanganya una abc wakati huna? we mwambie unaumwa ahaaaaaa
 
Kama huna hela unahangaika na wanawake wa kazi gan asa?
 
nauli=800 ×2(na ya demu
chips kavu=1000×2
maji ya kunywa=400×2
chumba=3000
kutokana na jamaa hana hata nauli nadhani ifuatayo ndo aliokua anaizania

800x2= daladala? 3000=gest/lodge? siwezi lala hata kwa dawa
 
Back
Top Bottom