Mkuu we kaa zako home usiende kabisa. Mi yalishanikutaga hayo nikamtoa out huku mfukoni nina 14,000/= tu.
Akala freshi ila baada ya kula akaniambia tukapumzike. Basi nikaaga kwenye chooni, huko nikapiga simu kwa kila nayemjua at last mmoja kanirushia 100,000/=. Tukaenda kupumzika. Huko yalikuwa majanga tu. Nikaamini si kila unayemuona ukamtamani ndani yuko unavyodhani. Yani kesho yake nikarudi home hela sina, kuenjoy sijaenjoy na nina deni la 100,000/=.
Ushauri wangu kaa zako nyumbani....