Fixed Point
JF-Expert Member
- Sep 30, 2009
- 11,304
- 12,744
- Thread starter
- #21
Nashukuru sana rafiki yangu kwa haya maombi yako, naamini Mungu atatujalia yote uliyotuombea.... Asante sanaHongera sana FP kwa kutimiza miaka 13 ya ndoa. Kwa kweli unastahili sifa na pongezi maana si wote ambao wamebahatika kupata wenzi bora wa maisha na wakadumu nao kwa mda mrefu huku wakiishi kwa amani, afya na furaha...Lakini pamoja na hayo yote, sifa na shukrani ziende kwa Mungu muweza wa yote aliyekujalia hekima na akili ya kuweza kuchagua mwenzi bora wa maisha.
Sina mengi ya kusema zaidi ya kukutakia mema na baraka tele katika safari yako ya maisha ya ndoa...Mungu awaongoze katika safari hii ya maisha yenu, kila mfanyalo mlifanye pamoja naye...awajalie muweze kujenga familia bora na yenye kumpendeza Mungu...Hongereni sana katika kusherehekea siku hii ya leo...na ninawatakia kila heri na baraka tele katika safari hii ya maisha yenu ya duniani...Mungu awabariki sana.