MAKUNENGO
Member
- Oct 25, 2014
- 69
- 6
- Thread starter
- #61
zimamoto alwayz nawaambia zoezi lishaisha ila sema hamtaki elewa tunasubiri majibu tu huko uraiani pamekua pagumu kupata kazi kwa elimu kama yangu ya vyeti viwili . Njooni kwanza jkt mjitolee ndio mpate ajira zisizo na usumbufu . hivi unajua jkt hatutafuti kaz ila twatafutwa na watoa kazi? endeleeni kulala subirini wiki ijayo ntawapa majibu
Tuje jkt mara ngapi? Tumepitia uko tayari na icho cheo ulichonacho kwa sasa ndili nilichonacho... wenyewe walijua kwamb kuna SM ambao wapo kitaa or hata chuo na ndo maana wakaamua kututangazia na uku mkuu