Website ya Jeshi la Zimamoto Tanzania

Website ya Jeshi la Zimamoto Tanzania

Kigezo cha kwanza ilikuwa ni lazima uwe umepitia Jkt na umemaliza form six 2014. Naona unahangaika sana ebu km unaifaham iyo website au una alternative basi naomba unisaidie... hayo mengne bado sijakuelewa tangu uko juu.
Nawasilisha mkuu
vancheu mdogo wangu. Mtu akijibu JF anajibu kwa manufaa ya muulizaji na wasomaji wengine.

Nafahamu watu wengi walioomba hizo nafasi huku wakijua fika hawakupitia JKT wakidhani hawakuwa serious.

Ila kwa swali lako sifahamu website ya zimamoto ila naamini njia waliyotumia kutangazia ajira ndiyo njia watakayotumia kutangazia majina ya watakaoitwa kwenye usaili.

Hapo vipi?
 
Last edited by a moderator:
vancheu mdogo wangu. Mtu akijibu JF anajibu kwa manufaa ya muulizaji na wasomaji wengine.

Nafahamu watu wengi walioomba hizo nafasi huku wakijua fika hawakupitia JKT wakidhani hawakuwa serious.

Ila kwa swali lako sifahamu website ya zimamoto ila naamini njia waliyotumia kutangazia ajira ndiyo njia watakayotumia kutangazia majina ya watakaoitwa kwenye usaili.

Hapo vipi?

Haaaaa hapo sawa nimefurahi mnoooo
 
Last edited by a moderator:
wewe utakua MCHAWI, kama hukuomba unafuatilia nini?

Bila shaka umesoma English medium na pia enzi za utoto wako uliishi Amsterdam siyo kama sisi tuliyokulia mazense kwa tumboo kiswahili kwako imekuwa shida kidogo. Hivi ukisema "Siyo kwamba ndio nataka nianze kuomba" ni sawa na kusema ? " nilishaomba na nataka kufwatilia mchakato wa kuitwa watu au kama walishaita basi nijue ".
Mkuu nilishatuma maombi ..ila nilijibu hvyo kwasababu watu walijua ndio nataka nitume maombi, na ndio sababu waliotangulia kujibu hapo juu walikuwa wananiuliza kama vigezo vyangu vinatosha au vinazidi wale waliokuwa kambini jkt.. kanakwamba nafasi zikitoka nitume na niweze kuitwa kwa ajili ya interview.

Bila shaka nimejalibu kudadavua kidogo.. kwa mlejesho fwatilia majibu yangu hapo juu ..nimetumia kauli kwa wakati uliopita..
Mwisho wa yote Habari za Asubuhi, na kama umenizidi umri( nina miaka 21) basi shikamoo...!!!
 
Bila shaka umesoma English medium na pia enzi za utoto wako uliishi Amsterdam siyo kama sisi tuliyokulia mazense kwa tumboo kiswahili kwako imekuwa shida kidogo. Hivi ukisema "Siyo kwamba ndio nataka nianze kuomba" ni sawa na kusema ? " nilishaomba na nataka kufwatilia mchakato wa kuitwa watu au kama walishaita basi nijue ".
Mkuu nilishatuma maombi ..ila nilijibu hvyo kwasababu watu walijua ndio nataka nitume maombi, na ndio sababu waliotangulia kujibu hapo juu walikuwa wananiuliza kama vigezo vyangu vinatosha au vinazidi wale waliokuwa kambini jkt.. kanakwamba nafasi zikitoka nitume na niweze kuitwa kwa ajili ya interview.

Bila shaka nimejalibu kudadavua kidogo.. kwa mlejesho fwatilia majibu yangu hapo juu ..nimetumia kauli kwa wakati uliopita..
Mwisho wa yote Habari za Asubuhi, na kama umenizidi umri( nina miaka 21) basi shikamoo...!!!

nimekuelewa sasa, nimekuzidi pia uzoefu wa kazi na nimepitia changamoto nying hadi kufanikiwa ,DONT LOSE HOPE, MUNGU ATASIKIA KILIO CHAKO HATA KAMA SIO HUKU FIRE BZ KABLA HUJAZALIWA ALISHAKUANDALIA KAZI UTAJAYOFANYA
 
nimekuelewa sasa, nimekuzidi pia uzoefu wa kazi na nimepitia changamoto nying hadi kufanikiwa ,DONT LOSE HOPE, MUNGU ATASIKIA KILIO CHAKO HATA KAMA SIO HUKU FIRE BZ KABLA HUJAZALIWA ALISHAKUANDALIA KAZI UTAJAYOFANYA

Umenena vyema.. ahsante sana mkuu be blessed!!
 
Jamani ee me siyo kwamba nataka niombe ...hapana. nafasi zilitokaga watu wakaaply naitaji iyo website ili nijue mchakato unaendaje, majina yakitoka si ndo nitajijua kwamba nipo au la?

Mi nadhani tunapaswa kuwa na subira, soon tutajua mbivu na mbichi. Kikubwa ni kupeana taarifa kwa updates zozote ambazo zitapatikana
 
faya kwa uraiani ndo nitolee usaili wao unafanyjka / unaendelea vikos mbalimbali vya jkt kwa sasa
 
Bila shaka umesoma English medium na pia enzi za utoto wako uliishi Amsterdam siyo kama sisi tuliyokulia mazense kwa tumboo kiswahili kwako imekuwa shida kidogo. Hivi ukisema "Siyo kwamba ndio nataka nianze kuomba" ni sawa na kusema ? "
nilishaomba na nataka kufwatilia mchakato wa kuitwa watu au kama walishaita basi nijue ".
Mkuu nilishatuma maombi ..ila nilijibu hvyo kwasababu watu walijua ndio nataka nitume maombi, na ndio sababu waliotangulia kujibu hapo juu walikuwa wananiuliza kama vigezo vyangu vinatosha au vinazidi wale waliokuwa kambini jkt.. kanakwamba nafasi zikitoka nitume na niweze kuitwa kwa ajili ya interview.

Bila shaka nimejalibu kudadavua kidogo.. kwa mlejesho fwatilia majibu yangu hapo juu ..nimetumia kauli kwa wakati uliopita..
Mwisho wa yote Habari za Asubuhi, na kama umenizidi umri( nina miaka 21) basi shikamoo...!!!

Mazense ndio wapi mkuu....!!!??
 
Mazense ndio wapi mkuu....!!!??

Ni kijiji kimoja, kilichopo mkoa wa mtwara katika wilaya ya masasi, kata ya lisekese.. ukifika masasi unaelekea njia inayokupeleka nachingwea kupitia vijiji vya mkarango na nangose,... Unanyoosha na barabara iyo ambayo utapitia Migongo kabla ya kufika Uko. Ukiamua kupitia njia ya kwenda Lindi kupitia Ngende utafka bila tatizo pia. Huwez kupotea kwan ukiuliza kwa mwenyekiti ambae anaitwa lukas kasembe Tumbo pale masasi mjini basi utasindikizwa mpk uko mazense. Ahsante na karibu tena
 
Jaman najua ugum wa kupata kazi ofcoz vijana wa jkt na wale wa mtaan nao wana nafas zao ila kabla ya hayo lazima uanze kujua mamba kama yafuatayo hydrant, fire tender, classes of fire, fire triangle, hose, hazardous materials nafikiri adi apo ushanisoma mi ni nan for more info ni pm takusaidia kiroho Safi kabsa na uwe tayal kwenda depo shimon kiwira barid ya hatariii
 
Jaman najua ugum wa kupata kazi ofcoz vijana wa jkt na wale wa mtaan nao wana nafas zao ila kabla ya hayo lazima uanze kujua mamba kama yafuatayo hydrant, fire tender, classes of fire, fire triangle, hose, hazardous materials nafikiri adi apo ushanisoma mi ni nan for more info ni pm takusaidia kiroho Safi kabsa na uwe tayal kwenda depo shimon kiwira barid ya hatariii

Kwani yashatoka mkuu...!!??
 
Una hakika na unachozungumza? Kuwa makini na ulimi wako

Nina uhakika kwa kupitia vigezo hivi 1. Idadi ya nafasi zilizotengwa uraiani zilikuwa 1003 katika makundi mawili ya vyeo yani sajini na konstebo .Idadi ya nafasi zilizoletwa jkt ni ile ile sawa na ya uraiani 2 tarehe tulizoambiwa kuwa tunatakiwa kuwa tumeripoti tanga kwa ajili ya kozi ni mwanzoni kwa mwezi Wa Tisa . N. B ukiondoa tpdf ball bogi lake ndo huwa na Idadi kubwa chombo kama zimamoto hakiwezi chukua Idadi kubwa ya watu kivile labda kama uraiani wanakuja vhukua watu mia tatu na kitu hapo sawa ila ukweli ndio huo
 
Una hakika na unachozungumza? Kuwa makini na ulimi wako

Nina uhakika kwa kupitia vigezo hivi 1. Idadi ya nafasi zilizotengwa uraiani zilikuwa 1003 katika makundi mawili ya vyeo yani sajini na konstebo .Idadi ya nafasi zilizoletwa jkt ni ile ile sawa na ya uraiani 2 tarehe tulizoambiwa kuwa tunatakiwa kuwa tumeripoti tanga kwa ajili ya kozi ni mwanzoni kwa mwezi Wa Tisa . N. B ukiondoa tpdf bogi lake ndo huwa na Idadi kubwa chombo kama zimamoto hakiwezi chukua Idadi kubwa ya watu kivile labda kama uraiani wanakuja vhukua watu mia tatu na kitu hapo sawa ila ukweli ndio huo
 
KW hyo hzo hydrant na fire class ndio majibu ya interview????
 
Jaman najua ugum wa kupata kazi ofcoz vijana wa jkt na wale wa mtaan nao wana nafas zao ila kabla ya hayo lazima uanze kujua mamba kama yafuatayo hydrant, fire tender, classes of fire, fire triangle, hose, hazardous materials nafikiri adi apo ushanisoma mi ni nan for more info ni pm takusaidia kiroho Safi kabsa na uwe tayal kwenda depo shimon kiwira barid ya hatariii

Haaaaa nimefurahi mno.. km ni kweli basi afadhali nimekupata. Nakuja uko soon
 
Nina uhakika kwa kupitia vigezo hivi 1. Idadi ya nafasi zilizotengwa uraiani zilikuwa 1003 katika makundi mawili ya vyeo yani sajini na konstebo .Idadi ya nafasi zilizoletwa jkt ni ile ile sawa na ya uraiani 2 tarehe tulizoambiwa kuwa tunatakiwa kuwa tumeripoti tanga kwa ajili ya kozi ni mwanzoni kwa mwezi Wa Tisa . N. B ukiondoa tpdf ball bogi lake ndo huwa na Idadi kubwa chombo kama zimamoto hakiwezi chukua Idadi kubwa ya watu kivile labda kama uraiani wanakuja vhukua watu mia tatu na kitu hapo sawa ila ukweli ndio huo

Dah mungu ajalie nilisahau ka attach cv hapo full majanga
 
Kwenda depo kwn Zuma moto in jeshi????

Yeah zimamoto ilianzishwa rasmi kama jeshi kwa sharia ya fire and rescue force act no 14 ya mwaka 2007 so sa hv fire ipo chini ya wizara ya mambo ya ndan pamoja na airport zote and soon hata bandari nao wataretwa huku na wote Hawa wanakuwa chini ya comishina jenerali wa zimamoto so changamoto ni nying lakin soon kila kitu kitakuwa sawa
 
Back
Top Bottom