Website ya Jeshi la Zimamoto Tanzania

Website ya Jeshi la Zimamoto Tanzania

Yeah zimamoto ilianzishwa rasmi kama jeshi kwa sharia ya fire and rescue force act no 14 ya mwaka 2007 so sa hv fire ipo chini ya wizara ya mambo ya ndan pamoja na airport zote and soon hata bandari nao wataretwa huku na wote Hawa wanakuwa chini ya comishina jenerali wa zimamoto so changamoto ni nying lakin soon kila kitu kitakuwa sawa

Sasa fanya hivi mkuu km iyo website unayo naomba unipatie.. au km una tarifa na utaratibu wa nini naomba utujulishe humu
 
Sasa fanya hivi mkuu km iyo website unayo naomba unipatie.. au km una tarifa na utaratibu wa nini naomba utujulishe humu

Kama ulituma maombi soon watatoa majina ya watakaoitwa kwenye interview ila mambo na uzoefu wa interview za huko nicheki I will try to help you ila asikudanganye mtu bado majina hayajatoka
 
Kwenda depo kwn Zuma moto in jeshi????

Zuma moto siyo jeshi..!! Ila Zima moto ndio jeshi... na ndo maana kuna rank na systems inayotumiwa ni ya kijeshi pia. Bila shaka nimejaribu kukujibu ahsante
 
Zuma moto siyo jeshi..!! Ila Zima moto ndio jeshi... na ndo maana kuna rank na systems inayotumiwa ni ya kijeshi pia. Bila shaka nimejaribu kukujibu ahsante

Haah haah haah hizi smart phones nazo hizo daaah any way, ukiandika zima inakuja zuma, cjui inadhani sie wote ni game players
 
Haah haah haah hizi smart phones nazo hizo daaah any way, ukiandika zima inakuja zuma, cjui inadhani sie wote ni game players

Haaaaa kumbe ndo alichokuwa anakimaanisha icho..!! Hee me sikujua hata hvyo nimejaribu kueleza. Vipi unamaelezo ya ziada kwamba zuma moto nalo ni jeshi?
 
Haaaaa kumbe ndo alichokuwa anakimaanisha icho..!! Hee me sikujua hata hvyo nimejaribu kueleza. Vipi unamaelezo ya ziada kwamba zuma moto nalo ni jeshi?

Labda kwa kumsaidia tu ni kwamba, vyombo vyote vya ulinzi vinaitwa forces yaani kwa kiswahili ni jeshi. Ndio maana kuna jeshi la wananchi, jeshi la polisi, jeshi la magereza, jeshi la zimamoto, jeshi la kujenga taifa.... So asiwe confused kwa kuamini kuwa jeshi maana yake ni wale waliopo jwtz tu.. Wote ni askari ktk majeshi tofauti
 
Kama ulituma maombi soon watatoa majina ya watakaoitwa kwenye interview ila mambo na uzoefu wa interview za huko nicheki I will try to help you ila asikudanganye mtu bado majina hayajatoka[/QUOTE
ss tulionaliza shule enzi za mwalimu hatuna nafac
 
Kama ulituma maombi soon watatoa majina ya watakaoitwa kwenye interview ila mambo na uzoefu wa interview za huko nicheki I will try to help you ila asikudanganye mtu bado majina hayajatoka[/QUOTE
ss tulionaliza shule enzi za mwalimu hatuna nafac

Tunashukuru mkuu, ila nina kaswali ka nyongeza kidogo mkuu. Umesema mliomaliza shule enzi za teacher msahau kabsa. Sasa je unaposema tukutafute utupe uzoefu wa interview zao unamaanisha nn wakati ww hujawahi fanya hzo interviews?
 
Jamani ee me siyo kwamba nataka niombe ...hapana. nafasi zilitokaga watu wakaaply naitaji iyo website ili nijue mchakato unaendaje, majina yakitoka si ndo nitajijua kwamba nipo au la?
We kweli kilaza halafu mbishi ujasili mwingi using na faida, kama mimi ni mwajilili nakufichia website yangu. Watu wa najaribu kukuelekeza we u alete ujuaji kama ni website hata ku muuliza shekhe Google huwezi??
Kila la kheri
 
We kweli kilaza halafu mbishi ujasili mwingi using na faida, kama mimi ni mwajilili nakufichia website yangu. Watu wa najaribu kukuelekeza we u alete ujuaji kama ni website hata ku muuliza shekhe Google huwezi??
Kila la kheri

Duuu kama kweli me ni kilaza namshukuru mungu pia... ubarikiwe
 
zimamoto alwayz nawaambia zoezi lishaisha ila sema hamtaki elewa tunasubiri majibu tu huko uraiani pamekua pagumu kupata kazi kwa elimu kama yangu ya vyeti viwili . Njooni kwanza jkt mjitolee ndio mpate ajira zisizo na usumbufu . hivi unajua jkt hatutafuti kaz ila twatafutwa na watoa kazi? endeleeni kulala subirini wiki ijayo ntawapa majibu
 
zimamoto alwayz nawaambia zoezi lishaisha ila sema hamtaki elewa tunasubiri majibu tu huko uraiani pamekua pagumu kupata kazi kwa elimu kama yangu ya vyeti viwili . Njooni kwanza jkt mjitolee ndio mpate ajira zisizo na usumbufu . hivi unajua jkt hatutafuti kaz ila twatafutwa na watoa kazi? endeleeni kulala subirini wiki ijayo ntawapa majibu

Duuuu nasubiria fire hiyo bhana naona mkuu unanitisha kidogo
 
zimamoto alwayz nawaambia zoezi lishaisha ila sema hamtaki elewa tunasubiri majibu tu huko uraiani pamekua pagumu kupata kazi kwa elimu kama yangu ya vyeti viwili . Njooni kwanza jkt mjitolee ndio mpate ajira zisizo na usumbufu . hivi unajua jkt hatutafuti kaz ila twatafutwa na watoa kazi? endeleeni kulala subirini wiki ijayo ntawapa majibu

Tazama mkuu, usidhan servicemen wapo jkt pekee huko vikosini. Kuna watu wapo mtaani wengi tu ambao wamepitia hapo, wengi mno. Hata zimamoto wanalitambua hilo ndo maana walitoa tangazo kwa wote. Otherwise wangepitia tu jkt wakafanya yao. By the way, kuwa serviceman haimaanishi tayari umeshaajiriwa
 
Tazama mkuu, usidhan servicemen wapo jkt pekee huko vikosini. Kuna watu wapo mtaani wengi tu ambao wamepitia hapo, wengi mno. Hata zimamoto wanalitambua hilo ndo maana walitoa tangazo kwa wote. Otherwise wangepitia tu jkt wakafanya yao. By the way, kuwa serviceman haimaanishi tayari umeshaajiriwa

naona mnapishana kitu kidogo sana, IPO HIVI;
zimamoto walitangaza nafasi uraiani na huko jeshini, na kote hadi sasa majina ya waliopita usaili bado hayaja tangazwa,

kwa wale wenye sifa zote walizo orodhesha kwenye post, ndio watarajie kujisoma baada ya majina kutoka japo sio wote wataojisoma... ila UZALENDO kwanza!!!
 
wote waliofanyiwa usaili makambini kama ni f6 au chuo WAMEPITA, ila hata na hawa wa f4 WENGI WAMEPITA BZ Jkt wanadengua wengi walisema wanangoja jw, sasa ntafurah sana wakikosa na huko jw,Jw ANAWEZA AWE ANA MSHAHARA MKUBWA NA RATION, ila ZIMAMOTO AKAKUPIGA GAPE kwenye source zingne za kuingiza hela, tena akakuacha mbali kabisa hata kama ww ni afisa wa jw na yeye ndio anaanza kazi.
 
wote waliofanyiwa usaili makambini kama ni f6 au chuo WAMEPITA, ila hata na hawa wa f4 WENGI WAMEPITA BZ Jkt wanadengua wengi walisema wanangoja jw, sasa ntafurah sana wakikosa na huko jw,Jw ANAWEZA AWE ANA MSHAHARA MKUBWA NA RATION, ila ZIMAMOTO AKAKUPIGA GAPE kwenye source zingne za kuingiza hela, tena akakuacha mbali kabisa hata kama ww ni afisa wa jw na yeye ndio anaanza kazi.

kwa kutumia uzoefu wangu, bila shaka wewe ni STAFF wa zimamoto! aidha afisa au askari.
 
naona mnapishana kitu kidogo sana, IPO HIVI;
zimamoto walitangaza nafasi uraiani na huko jeshini, na kote hadi sasa majina ya waliopita usaili bado hayaja tangazwa,

kwa wale wenye sifa zote walizo orodhesha kwenye post, ndio watarajie kujisoma baada ya majina kutoka japo sio wote wataojisoma... ila UZALENDO kwanza!!!

Mkuu unaposema waliopita usaili unamaanisha nn
 
Back
Top Bottom