Website ya Jeshi la Zimamoto Tanzania

Website ya Jeshi la Zimamoto Tanzania

MAKUNENGO

Member
Joined
Oct 25, 2014
Posts
69
Reaction score
6
Habari ya sasa.

Nilituma maombi ya kujiunga na Jeshi la Zimamoto. Mwenye kuifahamu website yao anisaidie ili niweze kuzifwatilia kwa ukaribu taratbu zinazoendelea.

Nawasilisha.
 
Pole! Hata mimi siifahamu na nili-apply hizi poct;
 
Mkuu hao wanatumia website ya wizara ya mambo ya ndani hawana yao kama yao offical hivo wanashare na jeshi la police
 
Ahsante... iyo ya mambo ya ndani ipo na maintenance kwa sasa. Sijui ndo majina yanawekwa!!
 
Mkuu hao wanatumia website ya wizara ya mambo ya ndani hawana yao kama yao offical hivo wanashare na jeshi la police

website ya jeshi la polisi ni tofauti kabisa na website ya wizara ya mambo ya ndani.

Ingia jeshi la police

Kwa kukusaidia mtoa mada:

- Umepitia JKT?

kama jibu ni HAPANA, je...

- una taaluma ambayo JKT haipo?

kama jibu ni HAPANA basi usijishughulishe kutafuta website ya zimamoto!

Ni hayo tu kwa sasa!
 
website ya jeshi la polisi ni tofauti kabisa na website ya wizara ya mambo ya ndani.



Kwa kukusaidia mtoa mada:

- Umepitia JKT?

kama jibu ni HAPANA, je...

- una taaluma ambayo JKT haipo?

kama jibu ni HAPANA basi usijishughulishe kutafuta website ya zimamoto!

Ni hayo tu kwa sasa!

Naomba nifafanulie hapo kwenye bluu
 
Naomba nifafanulie hapo kwenye bluu

Namaanisha taaluma ambayo hata wakienda kufanya usaili huko kwenye kambi za JKT hawatakuta mtu mwenye hiyo taaluma ili walazimike kuajiri mtu ambaye hakupitia JKT!
 
jeshi la zimamoto..
hawa jama hawana website/blog.
pitia pitia ajira zetu watkaua wanaweka
 
Mkuu hao wanatumia website ya wizara ya mambo ya ndani hawana yao kama yao offical hivo wanashare na jeshi la police

MWONGO WEWE, usiongee usilolijua wanatumia website ya wizara ya mambo ya ndani,
 
website ya jeshi la polisi ni tofauti kabisa na website ya wizara ya mambo ya ndani.



Kwa kukusaidia mtoa mada:

- Umepitia JKT?

kama jibu ni HAPANA, je...

- una taaluma ambayo JKT haipo?

kama jibu ni HAPANA basi usijishughulishe kutafuta website ya zimamoto!

Ni hayo tu kwa sasa!

Mbona kama umedandia gari kwa mbele?, kwani walipoamua kutoa hzo nafasi kwa watu wa mtaani ambao walipitia jkt km mujibu wa sheria hawakujua kuwa makambini kuna watu wana taaluma zaidi yao?
Labda ukunielewa naitaji kuifaham ili kama washaanza kuita watu au kuna utaratbu mwingne basi niweze kujua. Iyo ya mambo ya ndani ipo ktka maintenance. Ahsante pia
 
Namaanisha taaluma ambayo hata wakienda kufanya usaili huko kwenye kambi za JKT hawatakuta mtu mwenye hiyo taaluma ili walazimike kuajiri mtu ambaye hakupitia JKT!

Kigezo cha kwanza ilikuwa ni lazima uwe umepitia Jkt na umemaliza form six 2014. Naona unahangaika sana ebu km unaifaham iyo website au una alternative basi naomba unisaidie... hayo mengne bado sijakuelewa tangu uko juu.
Nawasilisha mkuu
 
hao mara nyingi wanachukulia jkt, but sometimes yes
 
hao mara nyingi wanachukulia jkt, but sometimes yes

Jamani ee me siyo kwamba nataka niombe ...hapana. nafasi zilitokaga watu wakaaply naitaji iyo website ili nijue mchakato unaendaje, majina yakitoka si ndo nitajijua kwamba nipo au la?
 
Back
Top Bottom