Prodigal Son
JF-Expert Member
- Dec 9, 2009
- 1,067
- 699
Clouds FM mnaojiita redio ya watu, kwanza niwapongeze kwa kujitanua mikoani, kwa sasa mnapatikana hadi vijijini. Hii ni hatua muhimu sana.
Shida moja kubwa ni kwamba tovuti yenu haijawa updated tangu mwaka 2007, yaani akina Masoud Kipanya bado ni watangazaji wa Clouds Fm hadi leo ilhali hatuwasikii tena. Tovuti yenu bado ina matangazo ya kampuni fulani ya simu ilhali kampuni hiyo ilishabadilishwa jina. Hivi mnataka kutuaminisha kwamba hamjayaona haya? Kwamba hamna uwezo wa ku-maintain website? What a shame! Badilikeni bwana!
Najua akina Babra Hassan, PJ, Too Short, Gea Habib, Dina Marios na wengine huwa mnapita hapa JF, naomba muwaambie wakubwa wenu wa-update hiyo tovuti yenu.
wanajitanua kwa kuwaibia na kuwadhulumu wanyónge? wizi mtupi