carcinoma
JF-Expert Member
- Mar 5, 2017
- 5,059
- 13,720
Hali ya sintofahamu yazuka baada ya website ya bodi ya mikopo kuhackiwa na watu wajiitao TANZANIA HACKERS na kuanza kupost mambo yasiyohusiana na taarifa za mikopo..
.maneno yanayosomeka kwenye website hio ni kama 'HAPA KAZI TU'
Na 'WATU WASIOJULIKANA'
.maneno yanayosomeka kwenye website hio ni kama 'HAPA KAZI TU'
Na 'WATU WASIOJULIKANA'