website designes,how link database with website .

ng'wanishi

Member
Jan 23, 2012
34
1
Guy's I have been having trouble on how to link a website with a database.I hope I came to right channel. I have been trying for a couple of days without success,I do hope for best from you guys.
 
Unatumia database gani? na je ushatengeneza database yako na kuiweka kwenye server (LOCAL au ONLINE)?
 
Guy's I have been having trouble on how to link a website with a database.I hope I came to right channel. I have been trying for a couple of days without success,I do hope for best from you guys.
lets startfrom here

  • What have u been trying in those coupe of days? provide us with connection code u've been trying if possible.
  • Database can be built using MySQL, Server, Oracle, or even Ms acess engine . Wich one are uusing? On the side server side scripting it can be either PHP or ASP.NET. So try to be clear/specific

Lakini kwa kutumia google unaweza kuanzia hapa W3school.com . Hiyo ni simple implemettaion Ya PHP/Mysql .Unatumia hiyo code hiyo kwenye kila page inayotafuta/kuita data kwenye database
 
najaribu kutengeneza database kwa kutumia mysql,hivyo ni local;nikiwa naanza kutengeneza kwenye early stages inaniambia niziunganishe database na website kwa kutumia php hapo ndipo nashindwa kuenedelea zaidi.
 
najaribu kutengeneza database kwa kutumia mysql,hivyo ni local;nikiwa naanza kutengeneza kwenye early stages inaniambia niziunganishe database na website kwa kutumia php hapo ndipo nashindwa kuenedelea zaidi.

COnnetcion string ya database na web ni ile ile iwe iwe remote au local. Kwenye Php kuna code zinatakiwa ili PHpijuehiyo databasei iko wapi inaitwaje najina lauser mwenyeright ya kuconnect
PHP:
<?php
$con = mysql_connect("localhost","peter","abc123");
if (!$con)
  {
  die('Could not connect: ' . mysql_error());
  }

// some code. y
?>

Kwa mfano huu hapo juu
  • "localhost" ndio jina la mashine/srver ilipohifadhiwa database . Mfano huu databse nako iko local (localhost:3306)
  • "peter" nijina lauser mwenye acess kwenye serveri naezekana kwako ikawa ni ni root
  • "abc123"ni password ya user mwenye acess na rights kwenye databse/server .

Itakuwa vizuri uandike hiyo error kama inavyotokea au jaribu kuigoogle
 
COnnetcion string ya database na web ni ile ile iwe iwe remote au local. Kwenye Php kuna code zinatakiwa ili PHpijuehiyo databasei iko wapi inaitwaje najina lauser mwenyeright ya kuconnect
PHP:
<?php
$con = mysql_connect("localhost","peter","abc123");
if (!$con)
  {
  die('Could not connect: ' . mysql_error());
  }

// some code. y
?>

Kwa mfano huu hapo juu
  • "localhost" ndio jina la mashine/srver ilipohifadhiwa database . Mfano huu databse nako iko local (localhost:3306)
  • "peter" nijina lauser mwenye acess kwenye serveri naezekana kwako ikawa ni ni root
  • "abc123"ni password ya user mwenye acess na rights kwenye databse/server .

Itakuwa vizuri uandike hiyo error kama inavyotokea au jaribu kuigoogle

Kaka vp kusuhu php? Nimejaribu kudownload kutoka www.php.net lakin nashindwa jinsi ya kuinstal,kuna web ambayo naweza ipata kirahisi maana hii ndo inakwamisha safari yangu.
 
Kaka vp kusuhu php? Nimejaribu kudownload kutoka PHP: Hypertext Preprocessor lakin nashindwa jinsi ya kuinstal,kuna web ambayo naweza ipata kirahisi maana hii ndo inakwamisha safari yangu.

Njia simple ulitakiwa kuistal WAMP au XAMP nasiodatabase kivyake naPHP kivyake

Uzuri wa hizi n package(WAMP au XAMP) zikoz ikiwa na Dataase na webserver. so hutakuwana usmbufu wa configurationsna set up na mambo ya path.

Kusimika PHP tofauti utatakiwa kujua jinsi ya kufanya some configuration na set up. Vilevile version ya php na Mysl sometime muhimu . Utahitajiaka pia kuingiza manualy pathh za Data files na .ini files za Php/Mysql Ini . Vesrion za PHP zote ziko hapa

So chomoa hiyo Mysql install full package ya WAMP au XAMP
 
Njia simple ulitakiwa kuistal WAMP au XAMP nasiodatabase kivyake naPHP kivyake

Uzuri wa hizi n package(WAMP au XAMP) zikoz ikiwa na Dataase na webserver. so hutakuwana usmbufu wa configurationsna set up na mambo ya path.

Kusimika PHP tofauti utatakiwa kujua jinsi ya kufanya some configuration na set up. Vilevile version ya php na Mysl sometime muhimu . Utahitajiaka pia kuingiza manualy pathh za Data files na .ini files za Php/Mysql Ini . Vesrion za PHP zote ziko hapa

So chomoa hiyo Mysql install full package ya WAMP au XAMP

Poa kaka,ngoja nifanye hivo ntakupa majibu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom