Weard

Weard

Daaah... Kuna siku nilikiwa najihisi mdomo mchungu niko na jamaa yangu si nikanunua zile pipi za kijiti kubwa nyekundu. Daah aiseeh jamaa alinisakama ilinibidi niitupe tu.

Ha ha ha sasa siungeing'ata kuitoa ile kijiti mkuu
 
Toka kipindi kile (2016)hadi leo sijawahi tena igusa. Mimi nili ihitaji kama tiba tu ya uchungu wa mdomo.

Maana sina mazoea nazo. Huenda ww umezizoea.

Kula tu mkuu haina madhara[emoji23][emoji23][emoji23]ila usile mbele za watu
 
Mazoea hujenga tabia[emoji23][emoji23][emoji23]

Tatizo zinapendwa sana na wadada hasa slay queen.[emoji3]

Hata kwa hao maslay queen kula ulaji wake manjonjo yakizidi ujue unaitwa
 
Back
Top Bottom