feysher
JF-Expert Member
- Sep 6, 2016
- 2,656
- 2,775
Jana nilikua kituo flani hivi cha daladala jamaa wa Ukwaju akapitisha kideli chake kuna na watu wakanunua mmoja kati yao aliyonunua alikua Me akaifungua na kuanza kula ila style aliyokua anaila ile ice cream ilinifanya niwe unconfortable kumwangalia....kwako ikoje hii