Nduka Original
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,012
- 817
Nina jamaa yangu ana demu wake ana mgharamia kila kitu
1. Nyumba anamlipia dola 800 kwa mwezi,
2. Kamnunulia gari fortuner,
3.Matumizi yote anagharamia chakula, mavazi ya gharama, na amtumizi yote,
Jamaa kashtukia demu anapiga kazi za nje na alimbana mdada akakubali kwani kuna siku hakulala nyumbani na alikiri kweli amelala nje na mtu fulani.
Jamaa alichuna kama siku 5 baada ya hapo akamwita demu akalia sana halafu yeye eti ndio akamwomba demu wake msamaha na anaomba waendelee na mapenzi yako. Demu kamsamehe jamaa na sasa hivi wamekwenda dubai kwa mapumziko.
Kwakweli huyu rafiki yangu mimi nimeshindwa kabisa kumuelewa akili yake.
1. Nyumba anamlipia dola 800 kwa mwezi,
2. Kamnunulia gari fortuner,
3.Matumizi yote anagharamia chakula, mavazi ya gharama, na amtumizi yote,
Jamaa kashtukia demu anapiga kazi za nje na alimbana mdada akakubali kwani kuna siku hakulala nyumbani na alikiri kweli amelala nje na mtu fulani.
Jamaa alichuna kama siku 5 baada ya hapo akamwita demu akalia sana halafu yeye eti ndio akamwomba demu wake msamaha na anaomba waendelee na mapenzi yako. Demu kamsamehe jamaa na sasa hivi wamekwenda dubai kwa mapumziko.
Kwakweli huyu rafiki yangu mimi nimeshindwa kabisa kumuelewa akili yake.