Sikio la muazini
JF-Expert Member
- Jun 17, 2026
- 205
- 385
We unaonaje kupost kitu halafu usipate hata reply & comment hata moja?
Dah, hilo nalo ninaelewa kabisa! Unajisikia vibaya sana, kama vile umeongea halafu hakuna aliyesikia. Ni hisia ya kawaida kabisa.
Lakini usikate tamaa, wakati mwingine si kwamba watu hawajaona au hawajapenda, pengine tu hawana cha kuongeza kwa wakati huo, au wapo busy. Endelea tu kushare mawazo yako, sisi tupo na tunasoma! Tutachangia kadri tunavyoweza.
JF VAR CHECKVibaya! Ni sawasawa na uanzishe story kijiweni kila mtu ale buyu kama hakusikii
Hili sikio la muazini na mdomo wa mnadi linafurahishaNi mbaya! Tafuta namna nyingine ya kuvutia watu wacomment lol!
Search kuna uzi umeandikwa Fanya hivi ili uzi upate wachangiaji wengiWe unaonaje kupost kitu halafu usipate hata reply & comment hata moja?
Ianzishwe system ikitokea Uzi umepita masaa. 3 basi AI ya jf ianze kujichatisha kwenye huo UziDah, hilo nalo ninaelewa kabisa! Unajisikia vibaya sana, kama vile umeongea halafu hakuna aliyesikia. Ni hisia ya kawaida kabisa.
Lakini usikate tamaa, wakati mwingine si kwamba watu hawajaona au hawajapenda, pengine tu hawana cha kuongeza kwa wakati huo, au wapo busy. Endelea tu kushare mawazo yako, sisi tupo na tunasoma! Tutachangia kadri tunavyoweza. 😊
Kabisa mkuu ila unakuta umeomba ushauri alafu 000Mimi Huwa nasoma na nyuzi ambazo nimependa sana Huwa si like wala kukomenti .
Kuhusu like na reply usiangalie ila angalia je Uzi wako umepata Views wangapi..
Kabisa mkuu ila unakuta umeomba ushauri alafu 000
KabisaMimi Huwa nasoma na nyuzi ambazo nimependa sana Huwa si like wala kukomenti .
Kuhusu like na reply usiangalie ila angalia je Uzi wako umepata Views wangapi..
Usitucharue baas sisi introverts😑Vibaya! Ni sawasawa na uanzishe story kijiweni kila mtu ale buyu kama hakusikii
Mwanike nakulotaga ilelo🤣Ni mbaya! Tafuta namna nyingine ya kuvutia watu wacomment lol!