We unaonaje?

We unaonaje?

We unaonaje kupost kitu halafu usipate hata reply & comment hata moja?
nadhani hilo ni jambo la kawaida kwenye fasihi andishi. Usipopata reply au komenti mwaka huu, unaweza kupata katika wakati muafaka sana mwaka ujao au vinginevyo, kwasababu fasihi andishi haifi bali huishi daima.

anaeweza kujiskia vyovyote vile huenda hafahamu hili. Nadhani ukiweka andiko lako jukwaani, sio lazima kuwapo na reply au komenti, but kutumia vizuri uhuru na haki ya kutoa maoni ndio jambo la maana zaidi 🐒
 
Back
Top Bottom