Vinci Dayot Upamecano
JF-Expert Member
- Nov 11, 2020
- 526
- 1,293
Sie wapemba twaenda kwanza kavukavu, saa nne saa tano twarudi na Mchele, Samaki, Mafuta na viungo tele kisha ntaacha isiyozidi Alfu tano ya dharula.
Buku? unaishi isungangwanda au?Elfu 1
Hapana naishi Mwadobana ndani ndani huku mkuu..Buku? unaishi isungangwanda au?
mkuu hataivo ongeza iyo bajeti boda wasije kukukazia shem wetuHapana naishi Mwadobana ndani ndani huku mkuu..
Upo mwenyewe?, kama una mke una-tombewa hii ipo wazi.Elfu
Ndio vizuri tunashare upendoUpo mwenyewe?, kama una mke una-tombewa hii ipo wazi.
mkuu unatk watu wakale wapihela za kutoatoa daily hakuna,sahivi ni kujaza stock ya jikoni kazi kwisha.
Umenichekesha na kunikumbusha mbali sanaMabachela tunaacha nn mezani wapi
Tupe tbtUmenichekesha na kunikumbusha mbali sana
Ova
kuna familia zina chumba cha store zina kilakitu mpaka stick za meno unakuta humo,yani ni duka kabisa au mini super market.mkuu unatk watu wakale wapi
Over. Ushamaliza Kaka.Niko katika kujenga uchumi ndani kukiwa na benki ya furu na sembe.Siachi hata 100.
kuna familia zina chumba cha store zina kilakitu mpaka stick za meno unakuta humo,yani ni duka kabisa au mini super market.
akuna pesa mwanamke atakaa aione.


nimeipenda hiyo mini super marketWenzako hatujaoa ma house keeper, hatuachi chochote. Tunapigiwa kama kuna emergency tu. Nyie pambaneni na hali yenuTuambie kama ni kwa siku/mwezi?
Weka mambo hadharani.
Ukweli utakuweka huru
Hivi wamama na wao wanaacha ya mezani au tuwaache kwanza?
iyo style ya kutunza kilakitu nimeikuta kwa wafanyabiashara flani hivi.nimeipenda hiyo mini super market