ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,537
- 119,520
Sabuni ya rungu inakutosha.
Cha ajabu nina passport imebakisha mwezi mmoja iishe muda wake na haija wahi kugongwa muhuri hata mmoja.
Passport ikibakisha mwezi mmoja labda kama anataka visa ya kwenda Uganda au Congo..kama ni huko mbelez sidhani..