We Dada kama umo humu asante sana

We Dada kama umo humu asante sana

Exchange of numbers, Dinner..... Mnnnhhhhhh.

Lucifer stay away oooooh.
 
Uiacha galasa kwakua lilikuwa halina maana, mbona hukusahau pesa uliyokuwa umeifuata????????
 
Wasalimie huko nje ya nchi sijui ni zanzibar au Uganda, wasalimie sana
 
Hongera kwa kumiliki passport...

Wengine kitambulisho pekee tulichonacho ni hii kadi ya kupigia kura na yenyewe imepatikana kwa mbinde...
 
Lakini mpaka aje humu atangaze wajameni. Si angeenda pale alipomkuta anamsubiri na ppt akaendeeleze shukrani

Mkuu
Hizo ndo swaga za watoto wa mjini,wakishamuona mrembo,wenyewe wanasema"One chance One goal".
 
Exchange of numbers, Dinner..... Mnnnhhhhhh.

Lucifer stay away oooooh.

Where is Lucifer?? Mdada ana two rings where does that shitcome from??? Not on me or this earth
 
Hongera kwa kumiliki passport...

Wengine kitambulisho pekee tulichonacho ni hii kadi ya kupigia kura na yenyewe imepatikana kwa mbinde...

Passport nimeipata kutokana na previlage niliyonayo vinginevyo tungekuwa the same
 
Uiacha galasa kwakua lilikuwa halina maana, mbona hukusahau pesa uliyokuwa umeifuata????????

We dada weeee passport ni galasa??? Labda kwako kwangu ni deal inayoniletea pesa
 
Ni muda umepita nilikuja Benki kwenu kutoa Pesa kwa Western union (Hata hivyo sikufanikiwa) ukaniomba kitambulisho ikabidi nikupe Passport yangu. Leo nilitakiwa ku submitt Passport yangu ubalozini kwa ajili ya visa ndio Nahamaki kumbe sina Passport na sijui ilipo. Nimetafuta sana ndani ya nyumba na ndani ya gari na kuuliza watu mbali mbali bila mafanikio.

Nimechanganyikiwa hadi kidogo nipate ajali barabarani. Mara nikakumbuka kuwa mara ya mwisho niliitoa kule Benki.... na kukupa wewe kama kitambulisho. ikabidi nije huku nikiwa nakumbuka akilini kuwa niliichukua kutoka kwako na kurudi nayo. Hivyo nilikuja ili tu kupata uhakika kuwa niliichukua kwako. Wakati nimefika nakutana na suprise ya passport yangu hadi nashindwa kuelezea shukrani zangu.

Nakushukuru kwa kuchukua na kuitunza Hati hiyo na nakueleza kuwa maneno ya shukrani bado nayaumba ili nije nikushukuru. Labda siku moja nitakununulia Dinner pale....

Ubarikiwe sana sana sana.

Kuna harufu za tukio la ki-Ubazazi mbeleni hapa.
 
Hongera kwa kumiliki passport...

Wengine kitambulisho pekee tulichonacho ni hii kadi ya kupigia kura na yenyewe imepatikana kwa mbinde...

hata cha uraia wala ATM huna mkuu?
 
Back
Top Bottom