We are the other people

[ [[/COLOR]/QUOTE]

mmmmmmmmmmmh_hata sijaelewa...na pale nilipoelewa ninaishia kushangaa i.e iweje waisrael/wayahudi ndugu zake Yesu wamkatae mpaka sasa lakn kina yakhe kutwa kutoa mapovu mpaka kuuana.

Mkuu IGWE

Halafu kuna hii idea kwamba huyo mungu wa Israel baada ya watu wake (waisrael) kumkataa aliwageukia mataifa, kwanza sina uhakika na authenticity yake, sijui waliitoa wapi hii?

Ila inaibua maswali kadhaa,
huyu mungu wao ina maana hana msimamo?

Yaani watu wamataifa walikua na value tu pale alipotoswa na "Taifa lake Teule"?

Ina maana waisrael wasingemkataa mustakabali wa mataifa ungekuaje?[/QUOTE]

kwaiyo wasingemkataaa na kufuata masharti yake nadhani wangekua wamechinja watu wote middle east,maana Mungu wao aliwakataza wasibakishe mtu yeyote popote pale wanapopita, kwani ni chukizo kwake
 
waislamu ndio hata maandiko ni lazima utumie kiarabu,yani hii inathibitisha kabsa haki milki ni ya waarabu

Mtanzania anaomuomba Mungu wa Israel, mungu wa Ibrahim halafu anataka aibariki Tanzania?

Labla ndio maana Israel ina power flan hivi kwa sababu watu wa mataifa mbalimbali badala ya kuomba kwa miungu yao wamebaki wakimuomba mungu wa Israel!
 
Mtanzania anaomuomba Mungu wa Israel, mungu wa Ibrahim halafu anataka aibariki Tanzania?

Labla ndio maana Israel ina power flan hivi kwa sababu watu wa mataifa mbalimbali badala ya kuomba kwa miungu yao wamebaki wakimuomba mungu wa Israel!

exactly
 
kuwa binadamu tunajua kuna pia kufanya makosa. lakini tuangalie nafasi zao katika jamii! kama hao walikuwa watu wa mungu kweli, basi walikua wanaongozwa na roho mtakatifu,na maamuzi yoyote yalikua yasifanyike bila kumconsult roho mtakatifu.na kama walikua wakimconsult roho mtakatifu haiwezekani wakakosea kwenye kutoa maagizo ya kiroho unless otherwise roho mtakatifu hakua nao kwaiyo walikua wakifanya maamuzi bila kumconsult roho mtakatifu.hii kupingana na kutoa maamuzi tofauti yaonyesha kabisa walikua wakiongozwa na utashi wao na si wa Mungu

suala la Mungu kutugeuka si kweli! ni kama nilivyosema wanaisrael wana Mungu wao na sisi pia tuna Mungu wetu,na Mungu wa Israel hajishughulishi na sisi,akijishughulisha na sisi, lengo litakua kututawala na kuwafanya watu wake waisrael wawe juu ya watu wengine wote.nadhani unafaham vita walivyozipiga na miungu na jamii zingine ili kuweza kutwaa maeneo na kuwatumikisha

maandiko ya biblia yana mafundisho mengi,kwetu inaweza kutumiwa kama reference book kati ya vitabu vingi,ila usife moyo kwani na sisi tuna Mungu wetu ambae nae anatenda miujiza na anasikiliza matatizo yetu.jaribu kuzunguka maeneo mbalimbali ya Tz kuna maeneo ya maombi na watu wanaenda wanatatuliwa matatizo yao bila kupitia kwa Mungu waisrael.
tofauti kati yetu na wao ni kwamba sisi hatujawahi andika vitabu kuhusu Mungu wetu ila yupo hai

Igwe like the last paragraph........
 
Mkuu IGWE

Halafu kuna hii idea kwamba huyo mungu wa Israel baada ya watu wake (waisrael) kumkataa aliwageukia mataifa, kwanza sina uhakika na authenticity yake, sijui waliitoa wapi hii?

Ila inaibua maswali kadhaa,
huyu mungu wao ina maana hana msimamo?

Yaani watu wamataifa walikua na value tu pale alipotoswa na "Taifa lake Teule"?

Ina maana waisrael wasingemkataa mustakabali wa mataifa ungekuaje?

kwaiyo wasingemkataaa na kufuata masharti yake nadhani wangekua wamechinja watu wote middle east,maana Mungu wao aliwakataza wasibakishe mtu yeyote popote pale wanapopita, kwani ni chukizo kwake[/QUOTE]

Swali la msingi hili.....!!!!!!!!!!!!!!!! and...??????????????????????????
 
Unaweza kuchagua kujifanya kutokuelewa jambo lolote kwa kuwa wewe umeamua hivyo
'
Yesu,kwa mujibu wa biblia alikuja kwaajili ya Ulimwengu wote,hiyo haina ubishi na kama kuna anaetaka kukataa hilo shauri yake
'
Ni bora useme huiamini bibla kuliko kusema uongo kuwa biblia inadai Yesu hakuja kwaajili ya ulimwengu
'
Ni ujinga kulazima uongo uwe kweli,nashindwa kuelewa ni kitu gani kinawakera Yesu anapohubiriwa
'
Mnajua kabisa Biblia takatifu inasema alikuja kwa ajili ya ulimwengu,na mpango huu wa Mungu kuiokoa dunina kupitia mwanae alikua nao kabla ya kuwepo taifa la Israel
'
Hivyo msidhani ni jambo la wakati wa Yesu
'
Yesu Kristo ni mwokozi wa ulimwengu,hutaki unaacha!
 
Unaweza kuchagua kujifanya kutokuelewa jambo lolote kwa kuwa wewe umeamua hivyo
'
Yesu,kwa mujibu wa biblia alikuja kwaajili ya Ulimwengu wote,hiyo haina ubishi na kama kuna anaetaka kukataa hilo shauri yake
'
Ni bora useme huiamini bibla kuliko kusema uongo kuwa biblia inadai Yesu hakuja kwaajili ya ulimwengu
'
Ni ujinga kulazima uongo uwe kweli,nashindwa kuelewa ni kitu gani kinawakera Yesu anapohubiriwa
'
Mnajua kabisa Biblia takatifu inasema alikuja kwa ajili ya ulimwengu,na mpango huu wa Mungu kuiokoa dunina kupitia mwanae alikua nao kabla ya kuwepo taifa la Israel
'
Hivyo msidhani ni jambo la wakati wa Yesu
'
Yesu Kristo ni mwokozi wa ulimwengu,hutaki unaacha!

Pole Mkuu, inaonekana wewe ndio unakereka na watu wasiotaka kukaririshwa vitu vinavyokinzana na misingi ya fikara huru.
 
Unaweza kuchagua kujifanya kutokuelewa jambo lolote kwa kuwa wewe umeamua hivyo
'
Yesu,kwa mujibu wa biblia alikuja kwaajili ya Ulimwengu wote,hiyo haina ubishi na kama kuna anaetaka kukataa hilo shauri yake
'
Ni bora useme huiamini bibla kuliko kusema uongo kuwa biblia inadai Yesu hakuja kwaajili ya ulimwengu
'
Ni ujinga kulazima uongo uwe kweli,nashindwa kuelewa ni kitu gani kinawakera Yesu anapohubiriwa
'
Mnajua kabisa Biblia takatifu inasema alikuja kwa ajili ya ulimwengu,na mpango huu wa Mungu kuiokoa dunina kupitia mwanae alikua nao kabla ya kuwepo taifa la Israel
'
Hivyo msidhani ni jambo la wakati wa Yesu
'
Yesu Kristo ni mwokozi wa ulimwengu,hutaki unaacha!

sasa si unatuonyesha kifungu ambacho Yesu anaenda kutuokoa au akisema mwenyewe yeye amekuja kwajili ya walimwengu, maana tumekuonesha tayar vifungu ambavyo yesu anakataa kuwasaidia watu wa mataifa, na jinsi alivyojielekeza kwa wyahud. utuonyeshe sasa nasi tupate kuamin

onyesha nguvu ya hoja zako na sio hoja za nguvu za kulazimisha
 
Unaweza kuchagua kujifanya kutokuelewa jambo lolote kwa kuwa wewe umeamua hivyo
'
Yesu,kwa mujibu wa biblia alikuja kwaajili ya Ulimwengu wote,hiyo haina ubishi na kama kuna anaetaka kukataa hilo shauri yake
'
Ni bora useme huiamini bibla kuliko kusema uongo kuwa biblia inadai Yesu hakuja kwaajili ya ulimwengu
'
Ni ujinga kulazima uongo uwe kweli,nashindwa kuelewa ni kitu gani kinawakera Yesu anapohubiriwa
'
Mnajua kabisa Biblia takatifu inasema alikuja kwa ajili ya ulimwengu,na mpango huu wa Mungu kuiokoa dunina kupitia mwanae alikua nao kabla ya kuwepo taifa la Israel
'
Hivyo msidhani ni jambo la wakati wa Yesu
'
Yesu Kristo ni mwokozi wa ulimwengu,hutaki unaacha!

Hoja za uoga na kutojiamini ambazo zinaongozwa na hofu ya kitu pasi na ujuvi wa mambo,......eti'hutaki unaacha'....?????????????...na hapo ndipo msingi wa hizi dini za kuletwa ulipojengwa i.e hofu na fikra karirishwa.
 
sasa si unatuonyesha kifungu ambacho Yesu anaenda kutuokoa au akisema mwenyewe yeye amekuja kwajili ya walimwengu, maana tumekuonesha tayar vifungu ambavyo yesu anakataa kuwasaidia watu wa mataifa, na jinsi alivyojielekeza kwa wyahud. utuonyeshe sasa nasi tupate kuamin

onyesha nguvu ya hoja zako na sio hoja za nguvu za kulazimisha[/QUOTE]

Point.........
 
Haya mwananthropolojia,kasome,
Yoh 17:18 !

Kama vile ulivyonituma ulimwenguni, nami pia nimewatuma wao ulimwenguni;

Tujiulize ulimwengu anaosema hapa ni upi?je ni mpaka kwa mataifa?je yesu ashawahi kwenda kwa mataifa?
ukweli ni yesu hajawahi kuja kwa mataifa, alikwenda kwa wayahudi tu na mwenyewe anajitapa amemaliza kazi zote akiwa hai yoh 17;4 na hizo kazi amezimaliza akiwa ametembelea wayahudi tu kuhubiri neno la mungu,kuponya nk

soma yoh 17;6 utaona watu gani alienda kuwapa neno na wamemsikia,mpaka kipindi yesu anakufa watu wa mataifa tulikua hatujawahi kusikia neno la yesu.la sivyo ukiniambia anataka atukuzwe amefikisha neno kwa watu wa mataifa wakati hajawahi kwenda atakua muongo.

na katika huo mstari wa yoh 17;18 anawatuma wanafunzi wake waendelee na kazi alizokua anafanya kwenye ulimwengu aliopitia yeye ambako ni kwa wayahudi
 
IGWE ,
Umedai kuwa nina" fikra karirishwa",fikra karirishwa ni kitu gani?Umejuaje kuwa nimekaririshwa?Umetumia njia gani kujua hayo?
'
Pia umedai nina "hofu ya kitu",ni kitu gani hicho,umekiona wapi?Umetumia nini kukiona hicho "kitu"?
'
Ukaendelea kusema nina hoja za uoga,uoga ni nini?Hoja za uoga zikoje?Umetumia kipimo gani kujua "hoja za uoga"?
 
Last edited by a moderator:
mwananthropolojia ,
Sasa unaonekana namna una matatizo ya kufikiri,au unajua kabisa unadanganya kwa kuwa umeamua kuwa mwongo
'
Yesu alipokuwa anasema ametumwa ulimwenguni,unajua fika kabisa alikua anajua nini maana ya ulimwengu,anajua kuna taifa la Israel ndo maana aliwahi kuwaambia wakati fulani wasiende kwa mataifa kwakuwa wakati wao wa kwenda huko ulikua bado
'
Kwa kuwa unajitoa akili,acha nipe mstari mwingine
'
Marko 16:15,Yesu anawaambia wanafunzi wake,"Enendeni ulimwenguni MWOTE MKAHUBIRI INJILI KWA KILA KIUMBE . . . . .
'
Sasa niambie "ulimwenguni mwote"Ni pale alikopita Yesu au unaleta tu ubishi ili kujaza pages zisizokua na tija
'
Sio kila jambo ni la kubisha!!
 
Last edited by a moderator:
mwananthropolojia ,
Sasa unaonekana namna una matatizo ya kufikiri,au unajua kabisa unadanganya kwa kuwa umeamua kuwa mwongo
'
Yesu alipokuwa anasema ametumwa ulimwenguni,unajua fika kabisa alikua anajua nini maana ya ulimwengu,anajua kuna taifa la Israel ndo maana aliwahi kuwaambia wakati fulani wasiende kwa mataifa kwakuwa wakati wao wa kwenda huko ulikua bado
'
Kwa kuwa unajitoa akili,acha nipe mstari mwingine
'
Marko 16:15,Yesu anawaambia wanafunzi wake,"Enendeni ulimwenguni MWOTE MKAHUBIRI INJILI KWA KILA KIUMBE . . . . .
'
Sasa niambie "ulimwenguni mwote"Ni pale alikopita Yesu au unaleta tu ubishi ili kujaza pages zisizokua na tija
'
Sio kila jambo ni la kubisha!!

hahaha,hiyo mistari ya baada ya ufufuko inawalakini sana wanafunzi wake waliiongezea kujihalalishia kwenda kwa mataifa baada ya kupata wakati mgumu sana kwa wayahudi,

maana kama yesu aliwapa maagizo mbona kwenye mdo11;3 wenzake walimkaripia petro kwann aliwatembelea watu wa mataifa? wakati bwana yesu alishasema nenden kwa mataifa,makaripiano yalikua ya nini badala ya kufanya utekelezaji wa agizo ambalo lilishatolewa na yesu?
kiasi cha kumfanya petro aseme alioteshwa ndoto,kwann asiseme tu bwana yesu alituambia twende kwa mataifa?

na unajua kwamba yesu alikuja kwajili ya wayahudi kama mfalme wao angalia mathayo 2;6 na sio kwa walimwengu
 
mwananthropolojia ,
Kwanza naomba ushahidi wa kauli yako kuwa wanafunzi waliongeza maneno unayodai wameyaongeza
'
Pil,unakumbuka ulichoniuliza au unaleta madai mengine yasiyokuwepo?Ulitaka nikupe ushahidi wa kimaandiko kuhusu Yesu kutumwa ulimwenguni nimekupa,unaaza kuleta madai ya kutokuamini baadhi ya maandiko
'
Una matatizo gani?Au tunajadili nini hapa?
'
Nilikuambia ni bora ukasema huiamini Biblia takatifu kuliko kuamini zile sehemu unazodhani zinaunga mkono madai yako
'
Huu ni utoto
'
Hivi unajua kuwa ukitilia mashaka uhalali wa ushahidi wowote huruhusiwi kuutumia ushahidi huo?
'
Unaweza vipi kunithibitishia vipi uhalali mistari unayodai inasema Yesu hakuja kwaajili ya dunia?Je hiyo siyo ya uongo?
'
Hivi unajua uzito wa madai yako?Ulipotilia mashaka uhalali wa Biblia,umeweka matatani vyote vinavyozungumziwa humo including the existence of Jesus!
'
Kwa maana hiyo hata hili tunalojadili hapa ni kupoteza muda
'
Ni bora uikatae Biblia yote na sio kukubali vipande vipande,huo ni ujinga!
 
Last edited by a moderator:
Eiyer ushahidi wa kwamba wanafunzi wake waliongezea maneno ni contradiction iliyotokea kwenye utekelezaji wa neno au agizo la bwana yesu la kusema nenden kwa mataifa yote mkiwabatiza ,kwani utekelezaji wake ulikuja kuanza kutendwa na Petro sio kwa sababu alikua anafuata maagizo ya yesu,bali alikua anafuata maono aliyoyaona kwenye ndoto

nakuona unavyojaribu kukwepa kujib hoja zangu,unangangania huo mstari ulioutoa wakati mimi nimeufafanua na nimekuongezea mistari mingine,wewe unataka kunirudisha nyuma kwamba hoja umeshaitoa,nimekupa mstari unaoonyesha yesu amekuja kwajili ya wayahudi unajifanya hujauona unangangania palepale kwamba ulishatoa na umemaliza sidhani kama unaweza kufanya dialectic discourse
kwann usiutolee ufafanuzi mstari wangu kuupinga badala ya kukimbilia kushikilia nguzo za kwenye kona?

halaf staili yako ya kujitetea unataka kumfanya yesu aonekane muongo, kwani hakuwahi kuwahubiria watu wa mataifa,kwaiyo hawez kujisifu ametimiliza lengo la neno lake yoh 17;4-6 . watu tunamheshimu ingawa tunajua hakuja kwajili yetu bali kwa nyumba ya wanakondoo wa israel ila kwa kumfanya muongo mnamtia aibu,yeye katimiza lililomleta ambalo ni kuwahubiria wayahudi neno la mungu na kajipongeza full stop

hili la mataifa hajawahi kulitimiza ilibidi kama kujisifu ajisifu paulo na sio yesu, kwani yesu hakuja kwajili ya watu wa mataifa na hakuwahi kuwahubiria hata mara moja ,kwaiyo hawez kusema amemaliza kazi aliyotumwa, mambo yapo wazi mbona wajifanya kipofu? au ndio yale yale ya mtaangalia lakini hamtaona,kwani mkija kuona mtafunguka akili na kuponya nafsi zenu
 
mwananthropolojia ,unashangaza sana
'
Unahusishaje mambo mawili yasiyohusiana?
'
Nimekueleza kwa uwazi kuhusu tatizo lako la kubagua maandiko,huelewi
'
If you believe that there is a "contradiction" in the bible,you put whole bible in jeopard
'
Maneno ya Yesu kutokuhubiri injili kwa mataifa,halafu mwishoni kuwaagiza waende ulimwenguni ni kujikinza kwa mujibu wako,sasa unawezaje kuniambia kuwa hakuna kujikinza kwingine kwenye biblia?
'
Utakua na kazi kubwa sana kututhibitishia ni maandiko yapi ni sahihi na yapi sio sahihi na itabidi utuambie umetumia kipimo gani kuyabagua maandiko hayo
'
Halafu ni wapi nimesema Yesu amehubiri injili kwa mataifa?Acha kusema uongo
'
Nakushauri Either uikatae biblia yote au uikubali yote
'
Kama utaendelea na mtindo huu mjadala huu utakua mgumu sana
'
Utakua mgumu kwa kuwa ninapokupa ushahidi unasema ni fabrication,sasa tutafika kweli?
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom