We are the other people

Mungu yupi huyo aliyehamishia mapenzi kwa Mataifa?

Unaamini kipi katika uumbaji? Unajua uhaliasia wa uumbaji na mwanzo wa kuandikwa biblia? And how do you know you are the other people or descendant of Adam? Naona mmestick kwenye Agano la kale. Hebu mje kwenye agano jipya muendeleze hoja zenu za other people.
 
mkuu MUNGU alisema kuwa siku mtakayo kula matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya hakika mtakufa lakini baada ya adamu na hawa kuasi na kwa sababu aliwapenda sana sana sana adamu na hawa ilibidi kiumbe mwingine atolewe kafara badala yao ndo mana unaona kuna mnyama alikufa na alikufa kwa si sababu adamu na hawa walikuwa wanahitaji ngozi tu lakini pia alikufa kwa sababu dhambi ilikuwa imeshatendeka na kifo ilikuwa ni lazima kitokee only that mnyama alikufa badala yao.hivyo MUNGU hakudanganya hata kidogo.maandiko yanasema hapa ndipo adam alishuhudia kifo kwa mara ya kwanza na ilimuuma sana sana moyoni kuona mnyama anakufa na alijutia kosa lake kila alipokuwa akiitazama ile ngozi aliyovikwa iliyotokana na kifo cha mnyama.na utaratibu huu wa kutoa wanyama kafara kwa ajili ya msamaha wa dhambi yako ndipo ulianzia hapa na ulikoma pale ambapo yesu alipokufa badala yetu na ndo mana tunaenda kwake kwa msamaha wa dhambi

mkuu kumbuka maagizo ya mungu alivyosema siku utakayokula (nasisitiza siku)hakika mtakufa,hakuwaambia watakua na maarifa hakuwaambia wataishi uzee unono.ona Adam na Hawa walipokula nini kilitokea(Gen 3;7) wakajua mema na mabaya na kiustarabu wakajivika fig-leaves ila Mungu akaona wavike ngozi za wanyama.
tuangalie unaposema ndio ikawa chanzo cha kutoa kafara ya wanyama (Gen3;21) ukisoma humo hakuna maelezo hapo kuonyesha ile ilikua mbadala wa wao kufa inasema tu walivishwa ngozi ya wanyama,sasa huo mstari umeutoa wapi kwamba ndio sababu ya kutoa makafara kwa Mungu?
sanasana tunaona hofu iliyowashika Miungu (Gen 3;22)
kiukweli ukisoma bila bias yoyote utagundua ni wao ndio wanatuogopa na wametuzuia kula tunda la uzima(Gen3;22-24)
na kama wanatupenda sana sana sana mpaka wakaamua kumtoa mtoto wao mpendwa kama sadaka, kwanini basi wasituruhusu tu tule tunda la uzima kuonyesha wanajali badala yake wanamwaga madamu yasiyo na sababu kwa mamilion kama sio bilion za viumbe tena mpaka na mtoto wao juu pia wakamtoa kafara?
 
mwananthropolojia,
Unaposema Mungu anatuogopa unakua unamaanisha nini?
'
Wewe unadhani kujali ni kuturuhusu kula mti wa ujuzi wa mema na mabaya?
'
Na kama unaona huko ndo kujali,ni kwa mujibu wa nani?
'
Unaouliza maswali ya "kwanini asituruhusu",unakuwa unataka Mungu afanye kama unavyotaka wewe?
'
Unayajua madhara ya ujuzi wa mema na mabaya?
'
Je unaijua nguvu ya damu inapomwagwa kwa madhumuni ya jambo fulani?
 
Last edited by a moderator:
mwananthropolojia,
Unaposema Mungu anatuogopa unakua unamaanisha nini?
'
Wewe unadhani kujali ni kuturuhusu kula mti wa ujuzi wa mema na mabaya?
'
Na kama unaona huko ndo kujali,ni kwa mujibu wa nani?
'
Unaouliza maswali ya "kwanini asituruhusu",unakuwa unataka Mungu afanye kama unavyotaka wewe?
'
Unayajua madhara ya ujuzi wa mema na mabaya?
'
Je unaijua nguvu ya damu inapomwagwa kwa madhumuni ya jambo fulani?

naposema wanatuogopa narefer kwenye mstari wa Genesis 3;22 kwani tumekua kama wao tunajua mema na mabaya ila tumekosa kitu kimoja tu,uzima wa milele. na tutaupata huo uzima wa milele tukila tu tunda la uzima. naomba nikukumbushe kulikua kuna miti 2 moja wa ujuzi wa mema na mabaya na mwingine ni mti wa uzima(tree of life)ambao upo katika bustani ya eden unalindwa na upanga mkali wenye moto uliokamatwa na malaika na kuzungukwa na makerubi ili binadamu asiule akapata uzima wa milele akaishi,kasome huo mstari

madhara ya mema na mabaya kwa kweli yapo kwani tunaweza kufanya reasoning,tumekua wabunifu, tumedevelop dunia ingawa pia downeffects zipo

ila sijajua kwa upande wako wewe unaona tungeishi kama swala tu tunaofikiria kula ,kulala,kuzaana kwako inatosha ,ni vizuri zaidi?
kwa kweli nguvu ya damu ungenielimisha zaidi niisikie kutoka kwako, kwa maana mi nawaonea huruma viumbe tunaowachinja katika jina la Mungu.
kwa maana tumeona haitoshi tumefikia hatua ya kutoa kafara ya binadamu na watu mnaona sawa kabsa. je kuna tofauti yoyote na makabila yaliyokua yanatoa kafara za binadamu?
 
Unaamini kipi katika uumbaji? Unajua uhaliasia wa uumbaji na mwanzo wa kuandikwa biblia? And how do you know you are the other people or descendant of Adam? Naona mmestick kwenye Agano la kale. Hebu mje kwenye agano jipya muendeleze hoja zenu za other people.

nadhani tustick kwenye maandiko ,maana tukiingiza scientific views about creation ni very different,tukianza hata existance ya Mungu itakua questioned

katika kitabu cha mwanzo kuna creation 2, wale walioambiwa mzaane mkaongezeke mkaijaze dunia na mkatawale viumbe wote na kuna mwingine ambaye aliumbwa akawekwa kwenye bustani ya eden (Babu Adam) ailimelime nadhan kalikua kaproject fulani kalikua kanafanyika, akapewa masharti ya namna ya kuishi,kuvaa na vitu asivyotakiwa kula na ndio kinachomsumbua mpaka leo mara hivi haram mara vile halal

sisi wengine ambao tuliumbwa huko tukaijaze dunia tukawa hatuna sababu ya kufuata visheria vya hapa na pale na ndio mana tulikua na vitaratibu vyetu vya kuishi hatuna waswas wa kuoa wanawake tunaowataka,wawe 10 au 20 twende kazi,tunakula tunachotak kitimoto,mamba,nyoka yote mboga kwetu na ilimradi sio sumu basi si haram.

tunaposema we are the other people ni jambo lililo dhahiri kabsa kwani hatufanan kwenye kula,kunywa,kusali,kuoa nk(culture)na wala hatuna dhambi ya asili ya kula tunda we are perfect since day one na ndio mana tunapata tabu kufuatafuata sheria kwa sababu hatukuumbwa kufollow hizo sheria ,sisi tuna makubaliano yetu na Miungu wetu

NB.Nanukuu maneno ya Bwana Yesu kwenye agano jipya tunaona Bwana Yesu alivyomkatalia yule mdada kumponya kisa hakua myahudi akamwambia 'si vema kuwapa chakula cha watoto mbwa' (Marko 7;24),hebu fikiria kwa sabab ww sio myahudi unaitwa mbwa.halaf soma tena (mathew 7;6) hilo neno mbwa linatajwa akiturefer watu wa mataifa, halaf malizia na maagizo aliyowapa mitume 12 (mathew 10;5)

hapo utajua kwamba yesu hakuja kwajili yetu bali kwa waisrael hata hadithi nzima haituhusu kabisa kwa sababu
WE ARE THE OTHER PEOPLE
 
Mkuu wakati mungu anawaumba adamu na hawa aliwaumba wakiwa wamekamilika sana kiakili na kimwili na hakuna mwanadamu yeyote katika dunia ya leo aliye na uwezo ambao adamu na hawa walikuwa nao wakati wanaumbwa zunguka dunia hutapata kwa hiyo baada ya kula matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya hakuna kitu kilicho ongezeka kwao zaidi ya uovu yaani ile nia ya kufanya maovu ikaingia kwenye mioyo yao.na baada ya kula matunda hayo ilibidi hatua zichukuliwe ikiwa ni pamoja na kuwazuia kuendelea kula matunda ya mti wa uzima ili wasije wakaishi milele .hapa niweke wazi kuwa matunda haya ya mti wa uzima ndio yaliyo kuwa chakula cha adam na hawa bustanini kabla lakini walikuja kuzuiliwa kuyala baada ya kuasi.hapa si kwamba MUNGU aliogopa bali alitaka kumuepusha na taabu ya milele .hivi mkuu unaona watu wanavyotaabika leo ingekuwa wanaishi milele ingekuwaje?mkuu ukitafuta ukweli kwa nia ya kujua utaelewa ila ukiutafuta kwa nia ya kuukosoa utapata kitu
 
Mkuu wakati mungu anawaumba adamu na hawa aliwaumba wakiwa wamekamilika sana kiakili na kimwili na hakuna mwanadamu yeyote katika dunia ya leo aliye na uwezo ambao adamu na hawa walikuwa nao wakati wanaumbwa zunguka dunia hutapata kwa hiyo baada ya kula matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya hakuna kitu kilicho ongezeka kwao zaidi ya uovu yaani ile nia ya kufanya maovu ikaingia kwenye mioyo yao.na baada ya kula matunda hayo ilibidi hatua zichukuliwe ikiwa ni pamoja na kuwazuia kuendelea kula matunda ya mti wa uzima ili wasije wakaishi milele .hapa niweke wazi kuwa matunda haya ya mti wa uzima ndio yaliyo kuwa chakula cha adam na hawa bustanini kabla lakini walikuja kuzuiliwa kuyala baada ya kuasi.hapa si kwamba MUNGU aliogopa bali alitaka kumuepusha na taabu ya milele .hivi mkuu unaona watu wanavyotaabika leo ingekuwa wanaishi milele ingekuwaje?mkuu ukitafuta ukweli kwa nia ya kujua utaelewa ila ukiutafuta kwa nia ya kuukosoa utapata kitu

katika definition yako ujuzi wa kujua mabaya na mema ni nini?
kwangu mimi ni utashi wa kufanya maamuzi bila kuongozwa na hisia kama kuona njaa(senses),kutaman(emotions) nkyani kua master wa kuamua ufanye nini saiz na usifanye nini saiz! huku ukiweka kipimo cha ubora wa hiki ni kizuri na hiki ni kibaya.na ukishaweza kupima uzuri na ubaya nadhani hata madhaifu ya mazuri utayaona na kujaribu kuyaboresha,that is free thinking and being able to reason
unasema walikua bora kwa kutojua mema na mabaya kivipi wakati hawakua na uwezo wa kubainisha hiki ni jema na hiki ni kibaya?
coz nadhan walikua wanaongozwa na emotions,na senses tu labda unidadavulie kidogo
 
nadhani tustick kwenye maandiko ,maana tukiingiza scientific views about creation ni very different,tukianza hata existance ya Mungu itakua questioned

katika kitabu cha mwanzo kuna creation 2, wale walioambiwa mzaane mkaongezeke mkaijaze dunia na mkatawale viumbe wote na kuna mwingine ambaye aliumbwa akawekwa kwenye bustani ya eden (Babu Adam) ailimelime nadhan kalikua kaproject fulani kalikua kanafanyika, akapewa masharti ya namna ya kuishi,kuvaa na vitu asivyotakiwa kula na ndio kinachomsumbua mpaka leo mara hivi haram mara vile halal

sisi wengine ambao tuliumbwa huko tukaijaze dunia tukawa hatuna sababu ya kufuata visheria vya hapa na pale na ndio mana tulikua na vitaratibu vyetu vya kuishi hatuna waswas wa kuoa wanawake tunaowataka,wawe 10 au 20 twende kazi,tunakula tunachotak kitimoto,mamba,nyoka yote mboga kwetu na ilimradi sio sumu basi si haram.

tunaposema we are the other people ni jambo lililo dhahiri kabsa kwani hatufanan kwenye kula,kunywa,kusali,kuoa nk(culture)na wala hatuna dhambi ya asili ya kula tunda we are perfect since day one na ndio mana tunapata tabu kufuatafuata sheria kwa sababu hatukuumbwa kufollow hizo sheria ,sisi tuna makubaliano yetu na Miungu wetu

NB.Nanukuu maneno ya Bwana Yesu kwenye agano jipya tunaona Bwana Yesu alivyomkatalia yule mdada kumponya kisa hakua myahudi akamwambia 'si vema kuwapa chakula cha watoto mbwa' (Marko 7;24),hebu fikiria kwa sabab ww sio myahudi unaitwa mbwa.halaf soma tena (mathew 7;6) hilo neno mbwa linatajwa akiturefer watu wa mataifa, halaf malizia na maagizo aliyowapa mitume 12 (mathew 10;5)

hapo utajua kwamba yesu hakuja kwajili yetu bali kwa waisrael hata hadithi nzima haituhusu kabisa kwa sababu
WE ARE THE OTHER PEOPLE

Kuna post yangu iko page ya pili. Naomba mAelezo kwanza ndio tuendelee. Naweza kukiri kuwa we are the other people lakini si to infinity, according to new testament
 
nadhani tustick kwenye maandiko ,maana tukiingiza scientific views about creation ni very different,tukianza hata existance ya Mungu itakua questioned

katika kitabu cha mwanzo kuna creation 2, wale walioambiwa mzaane mkaongezeke mkaijaze dunia na mkatawale viumbe wote na kuna mwingine ambaye aliumbwa akawekwa kwenye bustani ya eden (Babu Adam) ailimelime nadhan kalikua kaproject fulani kalikua kanafanyika, akapewa masharti ya namna ya kuishi,kuvaa na vitu asivyotakiwa kula na ndio kinachomsumbua mpaka leo mara hivi haram mara vile halal

sisi wengine ambao tuliumbwa huko tukaijaze dunia tukawa hatuna sababu ya kufuata visheria vya hapa na pale na ndio mana tulikua na vitaratibu vyetu vya kuishi hatuna waswas wa kuoa wanawake tunaowataka,wawe 10 au 20 twende kazi,tunakula tunachotak kitimoto,mamba,nyoka yote mboga kwetu na ilimradi sio sumu basi si haram.

tunaposema we are the other people ni jambo lililo dhahiri kabsa kwani hatufanan kwenye kula,kunywa,kusali,kuoa nk(culture)na wala hatuna dhambi ya asili ya kula tunda we are perfect since day one na ndio mana tunapata tabu kufuatafuata sheria kwa sababu hatukuumbwa kufollow hizo sheria ,sisi tuna makubaliano yetu na Miungu wetu

NB.Nanukuu maneno ya Bwana Yesu kwenye agano jipya tunaona Bwana Yesu alivyomkatalia yule mdada kumponya kisa hakua myahudi akamwambia 'si vema kuwapa chakula cha watoto mbwa' (Marko 7;24),hebu fikiria kwa sabab ww sio myahudi unaitwa mbwa.halaf soma tena (mathew 7;6) hilo neno mbwa linatajwa akiturefer watu wa mataifa, halaf malizia na maagizo aliyowapa mitume 12 (mathew 10;5)

hapo utajua kwamba yesu hakuja kwajili yetu bali kwa waisrael hata hadithi nzima haituhusu kabisa kwa sababu
WE ARE THE OTHER PEOPLE

Nimependa sana hii mkuu,nipo pamoja na weeeyesu hakuja kwa ajili yetu,na biblia naeleza tamaduni za maisha ya waizrael na sio cc,yesu anaposema watu wa mataifa anamaanisha koo zile kumi na moja kutoa koo alikotoka ya joseph alieuzwa utumwan.
 
Mwanathropolojia ,unataka kusema kuwa kuna binadamu wengine Mungu aliwaumba tofauti na Adam na Eva?
 
Last edited by a moderator:
Unaamini kipi katika uumbaji? Unajua uhaliasia wa uumbaji na mwanzo wa kuandikwa biblia? And how do you know you are the other people or descendant of Adam? Naona mmestick kwenye Agano la kale. Hebu mje kwenye agano jipya muendeleze hoja zenu za other people.

Siamini chochote katika uumbaji wala uhalisia wake na nachojua kuhusu biblia ni kitabu cha simulizi za hadithi na historia ya watu wa Israel/ wazayuni.

Am the other people because I was not created in a mythical garden, I was not born out of sin rather out of love, I don't believe in heaven and hell, I don't need salvation and am NOT a descendant of Adam, never will I be.

Umeuliza maswali lakini hujajibu swali niliokuuliza Mkuu,
labla swali jingine, kwani Agano jipya lina story gani tofauti na hiyo kuhusiana na uumbaji?
 
Kuna post yangu iko page ya pili. Naomba mAelezo kwanza ndio tuendelee. Naweza kukiri kuwa we are the other people lakini si to infinity, according to new testament

Nilikuuliza swali kutokana na hiyo post yako, hukujibu ukauliza swali jingine, nimekujibu na me naomba unijibu swali langu Mkuu.
 
Sidhani kama kutakua na tatizo mtu yoyote akidai kuwa haiamini biblia kwakuwa hakuna anaelazimishwa kuamini
'
Lakini kuipotosha ni jambo lisilokubalika,kama mtu huelewi ni bora ukasema ukaeleweshwa
'
Biblia iko wazi kuwa ameumbwa binadamu Adam na Hawa tu
'
Ni wapi imesema wameumbwa wengine?
'
Upotoshaji wa hali ya juu!
 
Siamini chochote katika uumbaji wala uhalisia wake na nachojua kuhusu biblia ni kitabu cha simulizi za hadithi na historia ya watu wa Israel/ wazayuni.

Am the other people because I was not created in a mythical garden, I was not born out of sin rather out of love, I don't believe in heaven and hell, I don't need salvation and am NOT a descendant of Adam, never will I be.

Umeuliza maswali lakini hujajibu swali niliokuuliza Mkuu,
labla swali jingine, kwani Agano jipya lina story gani tofauti na hiyo kuhusiana na uumbaji?

ahahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaa.
 
Sidhani kama kutakua na tatizo mtu yoyote akidai kuwa haiamini biblia kwakuwa hakuna anaelazimishwa kuamini
'
Lakini kuipotosha ni jambo lisilokubalika,kama mtu huelewi ni bora ukasema ukaeleweshwa
'
Biblia iko wazi kuwa ameumbwa binadamu Adam na Hawa tu
'
Ni wapi imesema wameumbwa wengine?
'
Upotoshaji wa hali ya juu!

Pole sana, mbona unataka kulazimisha uelewa wako ndio uwe uelewa wa wengine?

Inawezekana kabisa waliumbwa Adam na Hawa 'tu' na wengine ni matokeo ya Evolution, ni sawa pia.

Lakini swali jepesi tu, Cain anapomwomba mungu ampunguzie adhabu ili akikutana na 'watu wengine' wasimuue kutokana na kosa lake, hawa watu wengine ni watu gani? Waliumbwa na nani? Lini? Wapi?
 
Mourinho ,sijui kama umenielewa
'
Unaweza ukasema kuwa binadamu alianza kuwa jiwe kisha akawa mbwa halafu binadamu
'
Sitakua na tatizo na kauli yako
'
Lakini unaposema kuwa kwa mujibu wa biblia binadamu alianzia kuwa jiwe kisha mbwa halafu akawa binadamu
'
Hapo nitakua na tatizo na kauli yako
'
Nitakua na tatizo na kauli yako kwa kuwa kwa mujibu wa biblia ni uongo,binadamu hakupitia hatua hizo
'
Ni wapi biblia inasema waliumbwa zaidi ya wawili?
'
Ni wapi nawalazimisha watu waelewe kama ninavyoelewa mimi?
'
Unapouliza Cain aliomba asikutane na watu wengine kuwa ni watu gani,kwani baada ya Caini,Adam na Hawa hawakuzaa tena?
'
Je hao hawawezi kuwa "wengine"?
 
Last edited by a moderator:
Mourinho ,sijui kama umenielewa
'
Unaweza ukasema kuwa binadamu alianza kuwa jiwe kisha akawa mbwa halafu binadamu
'
Sitakua na tatizo na kauli yako
'
Lakini unaposema kuwa kwa mujibu wa biblia Mungu binadamu alianzia kuwa jiwe kish mbwa ,
'
Hapo nitakua na tatizo na kauli yako
'
Nitakua na tatizo na kauli yako kwa kuwa kwa mujibu wa biblia ni uongo
'
Ni wapi biblia inasema waliumbwa zaidi ya wawili?
'
Ni wapi nawalazimisha watu waelewe kama ninavyoelewa mimi?
'
Unapouliza Cain aliomba asikutane na watu wengine kuwa ni watu gani,kwani baada ya Caini,Adam na Hawa hawakuzaa tena?
'
Je hao hawawezi kuwa "wengine"?

Wapi nimesema "kwa mujibu wa biblia mungu binadamu alianzia kuwa jiwe kish mbwa"?

Mungu binadamu ndio nini?

Sijaandika kwamba Cain aliomba asikutane na watu wengine, nadhani unajaribu kutwist maneno ili ujibu kile unachokiamini.

Nilichouliza hiki hapa;
And Cain said unto the [Lord], My punishment is greater than I can bear. Behold, thou hast driven me out this day from the face of the earth; and from thy face shall I be hid; and I shall be a fugitive and a vagabond in the earth; and it shall come to pass, that every one that findeth me shall slay me. And the [Lord] said unto him, Therefore whosoever slayeth Cain, vengeance shall be taken on him sevenfold. And the [Lord] set a mark upon Cain, lest any finding him should kill him. And Cain went out from the presence of the [Lord], and dwelt in the land of Nod, on the east of Eden. (Genesis 4:13-16 KJVA)

Nadhani wewe ndio huelewi hiyo biblia unayoitetea, Cain aliondoka from the presence of the Lord, akaenda kuishi Nod na akaoa huko. Unajua maana ya kuondoka kwenye "uwepo" wa bwana?

Kwa hiyo unataka kusema Cain alimuoa dada yake ambaye wakati yeye anakimbilia Nod, was not even conceived?

Adam na Hawa walijua kosa la Cain (la kumuua nduguye), sasa hiyo alama aliwekwa kwa ajili ya nani ambaye alikua hajui kosa lake?
 
Last edited by a moderator:
Mourinho ,nilikosea kisha nika-edit
'
Rudi usome kisha uulize tena!

Ulikosea baada ya mimi kukuuliza? Ulitakiwa uyaone makosa yako kabla mimi kukuonyesha.

Nikuulize nini tena wakati nilichokuuliza hujajibu unaishia kuedit post yako.
 
Last edited by a moderator:
Mourinho ,sija-edit baada ya wewe kunikosoa bali niliona makosa yangu kabla ya wewe kusema
'
Pia sijatwist maneno yako wewe ndo uliyesema Cain alimwambia Mungu akikutana na watu wengine,tazama paragraph yako ya mwisho kwenye post yako
'
Lakini sehem hiyo imejirudia kwenye quote yako ya biblia kwenye posta yako uliyosema nimetwist maneno yako
'
Nashangaa kuona unasahau ulichoandika mwenyewe!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom