We are simply "screwed"!

Cuzin mwakjj kama watu mmechoka kuwa screwed si uchaguzi unakuja mwakani na mwakani wala siyo mbali ni 2 weeks from today....sioni hata watu wakihangaika na kampeni ila naona tuu malalamiko kuwa CCM inawa screw!....Like amonth ago si kuna yule Rev Kishoka alitangaza chama chake hapa na akaweka itikadi zake...Na ni mwana JF ambao majority mnaona mpo screwed na CCM my suggestion is kwa nini msiungane na huyo Kishoka mkaweka mikakati yenu you never know....mafanikio hataji kwa kulalamika online ila kwa kuwajibika pia siyo kila mtu anasoma JF inabidi pia mtumie nyia mbali mbali kuweza kutanganza malalamiko yenu kama vijijini na kwingineko...Unless otherwise mtaendelea kuwa screwed for the rest of your life....
 
Waziri Chikawe asema Kikwete hawezi kuwabana mafisadi

  • Asema Rostam, Dk Hoseah hawakamatiki
  • Asikitika DPP, DK Hoseah kuparuana
WAZIRI wa Katiba na Sheria, Mathias Chikawe amesema Rais Jakaya Kikwete hana uwezo kutumia mamlaka yake kuwapeleka mahakamani watuhumiwa wa ufisadi kwani hilo ni jukumu la vyombo alivyoviteua kuchunguza na kuchambua nani afikishwe huko baada ya kujiridhisha kwa ushahidi.

"Huu ni utawala wa sheria, Rais Kikwete hawezi kutoa amri za kukamata watu wakati kuna vyombo alivyoviteua kuchunguza na kuchukua hatua." Waziri Chakawe alisema hayo jana alipokuwa katika mahojiano maalumu na gazeti hili ofisini kwake jijini Dar es Salaam.

Alisema kitendo cha baadhi ya Watanzania kumshinikiza Rais Kikwete awafikishe mahakamani watuhumiwa wa ufisadi kinaashiria kuwa wanataka aamuru watuhumiwa hao wapelekwe mahakamani bila kutumia vyombo husika jambo ambalo haliwezekani katika mfumo wa kibepari.
Kamanda Mkuu, pamoja na mamlaka makubwa aliyo nayo kikatiba na mandate ya Watanzania asilimia 80%, si lolote si chochote mbele ya MAFISADI - kwa nini ? Jibu - simple, he is one of them ! But wait a minute - hebu sikiliza hii hapa chini !





Wakati Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam imetoa kibali cha maandamano ya kumuunga mkono Rais Jakaya Kikwete na Serikali yake katika mapambano dhidi ya ufisadi, watu kadhaa ambao wamesimama kidete kupinga vitendo vya ufisadi wamepongezwa.
Maandamano hayo yanayoratibiwa na viongozi wa kidini, yatarajiwa kufanyika Jumamosi kuanzia viwanja vya Mnazi Mmoja na kumalizikia pale Kidongo Chekundu ambapo hutuba na tamko la viongozi wa kidini litatolewa rasmi.
Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam, limeyabariki maandamano hayo kwa kutoa kibali katika barua iliyosainiwa na Kaimu Kamanda wa kanda hiyo, ACP Charles Kenyela.
Katika barua yake yenye kumbukumbu namba DSMZ/C.13/4/57 ya Desemba 14 kwenda kwa Kamanda wa Polisi, Ilala, Mkuu wa Upelelezi Dar es Salaam na Mkuu wa Usalama Barabarani, ACP Kenyela ameagiza ulinzi wa kutosha.
"Toeni ulinzi katika maandamano hayo na mkutano huo," sehemu ya barua hiyo inasomeka.
Naye Mratibu wa maandamano hayo, Chifu Husseni Msopa, amesema pamoja na kuishukuru Polisi kuwapa kibali hicho, lakini anawapongeza wale wote waliojitolea katika mapambano dhidi ya ufisadi nchini.
Kwa mujibu wa mratibu huyo, maandamano yao yatakayoanza saa 4:00 asubuhi na yatahutubiwa na watu mbalimbali akiwemo Mchungaji Samson Bulegi, Sheikh Mwaipopo, yeye (Msopa), wanaharakati wa haki za binadamu pamoja na wapambanaji dhidi ya ufisadi na wasomi wa vyuo vikuu nchini.
Mwanakijiji, unasema we are simply screwed - what an understatement ! The truth is we are dead - only the dead stay dumb !
 
Mwanakijiji, unasema we are simply screwed - what an understatement ! The truth is we are dead - only the dead stay dumb !

LOL! I agree we not even in that rank of knowing 'screwed-screwing thingy'. If we think everything is alright then we are simply 'dead-people living'
 
Naungana na Mzee Mwanakijiji
Watanzania we are screwed, tumefanzwa sana na tunaendelea kufanzwa huku tumelala uingizi mpaka watakapojitokeza watu wa calibre ya Dr.Slaa, wakatuamsha usingizini kuwa tunafanzwa, tuamke na wote kwa kaulimoja tuamue kufanzwa sasa basi!.

October 2010 inaangukia usiku wa manane, ni vigumu kuamka usingizini, tusubiri mapambazuko ya 2015!.

Mkuu Pasco nimekupata sana na tupo ukurasa mmoja tatizo ni kwamba wabongo ni wajinga kiasi kwamba mpaka wale wanaotuamsha usingizini tunawapiga mawe, tunawabeza na hatuwaamini, matokeo yake ni kwamba na wao wanaamua kutu 'screw' zaidi kwa kuamua kuungana na wanaotu'screw'.

Kwa upande mwingine wale wenye uelewa (ambao wangeweza kutukomboa) wanakatishwa tamaa na hali hii na kuamua kuangalia maisha yao na familia zao. Tufanyeje????
 
I'm sorry to say this but the way things look from where I stand; we are simply screwed individually and as a nation! Or.. we are screwing ourselves.. otherwise, how can we explain the reality that we know too much but we do so little! We expect too much but we push for minimal? We have a lot of plans (short and long), strategies, visions, or whatever have you... but it seems like we have no idea what we really want (or need).

There are just a number of things that have come to me recently (I'll let Enigma inform you before the end of the week) I have come to this somber realization that either we are screwing ourselves, or somebody is screwing us! Either way, we are SCREWED!

No, I don't think one can make a strong statement about all of us fairly. You will need to come down to the specifics cases with facts, where we are screwed!

otherwise you are saying that we are both fools "wananchi" and "Leaders" whom we given mandate with overwhelming votes of arround 10mil. people.

I beg to differ, If you are getting screwed, it's because you are allowing to be screwed.
 
kama watu mmechoka kuwa screwed si uchaguzi unakuja mwakani na mwakani wala siyo mbali ni 2 weeks from today....sioni hata watu wakihangaika na kampeni ila naona tuu malalamiko kuwa CCM inawa screw!

Kama uwanja wa ushindani haujasawazishwa, kwenda kwenye "uchaguzi" ni kupoteza muda. Unategemea uchaguzi huru na haki katika mazingira tuliyonayo ambapo katiba inampa mamlaka Rais Kikwete kuteua wajumbe wa tume ya uchaguzi ambao nao wanalazimika kumtii aliyewateua? Unatarajia nini ambapo mfumo tulio nao ni viongozi watendaji kuteuliwa na ama Rais au Waziri Mkuu na hakuna utaratibu wa bunge au chombo kingine kuwasaili? Unatarajia nini ambapo mfumo hautofautishi kati ya siasa na utaalamu?
 
Mkuu Mkjj, WE ARE SCREWED!!!

CCM wanatawala kila kona na uchaguzi TZ ni formalities tu lakini JK ni presida mpaka 2015 atakapompa anayemtaka.

CUF wameshinda Zanzibar mara tatu lakini rais bado ni wa CCM.

Tuko screwed sijui kipi kitatuokoa maana nchi inakokwenda ni kubaya mno.
 
Ama kwa hakika kuna nyakati inaudhi,inachukiza na inavunja moyo.Asubuhi nimeona kwenye tovuti ya Global kwamba mtoto wa Waziri ameua mwanafunzi huko Tabora,polisi wanasuasua na kesi kabambikiwa mlinzi lakini habari hizo kwenye mainstream media hazijaonekana.Na hiyo ilikuwa wakati wa sikukuu ya Idd.Hapa ungetegemea wananchi husika wadai haki yao lakini wanalalamika chinichini which is never going to change anything.

Majuzi Waziri Chikawe anaongea kwa kujiamini kabisa kuwa JK hawezi kuwashughulikia mafisadi eti kwa vile utawala wake unazingatia rule of law.At least Prof Shivji hajamkawiza kuonyesha how imbecile Chikawe is.Waziri wa Sheria anatamka hadharani kuwa amesoma kwa kina nyaraka kuhusu Richmond na Dowans lakini hajaona uhusika wa Rostam au wapambe wake.Sijui hiyo ndio rule of law ambapo waziri anajipachika jukumu la mahakama kudai mtuhumiwa hana hatia!

Angalia hawa wazembe Hoseah na Feleshi wanavyodhalilisha nyadhifa zao na wa huyo aliyewateua.How come watu wenye akili timamu wanaweza kuongea upuuzi wa aina hiyo hadharani?Chikawe anawatetea kwa kudai presha ya waandishi wa habari ndio imepelekea hali hiyo!

Mwamko walionao wananchi linapokuja suala la Fiesta ungehamia kwenye kutafuta tiba ya kudumu ya matatizo yetu basi CCM ingekuwa I.C.U muda huu ikielewa bayana kuwa inaondoka 2010.Lakini kwa hali ilivyo sasa,ni rahisi zaidi kugema damu kwenye jiwe kuliko CCM na JK kung'oka hapo mwakani.

Adui namba mbili wa Tanzania kwa sasa ni tabaka la kati (middle class).Wnegi wa hawa ndio unaowaona kwenye picha katika tovuti mbalimbali wakijibidiisha kuishi kama tabaka la juu la mafisadi.Hapa kuna wasomi,kuna wanaokuja JF na kuelewa tunachoongea lakini wakitoka maofisini wanachofikiria ni mwonekano wa kifisadi,yaani maisha yamewakubali.Thing is,taratibu ufisadi unaanza kuwa sehemu ya utamaduni wetu.

Safari ya kumkomboa Mtanzania ni ndefu na ya mashaka.Hata hivyo,wachache wenye kuamini kuwa hata Roma ilichukua kitambo kujengwa basi tusikubali yaishe.Giving up is not an option!
 
Majuzi Waziri Chikawe anaongea kwa kujiamini kabisa kuwa JK hawezi kuwashughulikia mafisadi eti kwa vile utawala wake unazingatia rule of law.At least Prof Shivji hajamkawiza kuonyesha how imbecile Chikawe is.

Angalia hawa wazembe Hoseah na Feleshi wanavyodhalilisha nyadhifa zao na wa huyo aliyewateua.How come watu wenye akili timamu wanaweza kuongea upuuzi wa aina hiyo hadharani?Chikawe anawatetea kwa kudai presha ya waandishi wa habari ndio imepelekea hali hiyo!

Mkuu

Hata mimi mwanzo nilikua nandhani hawa jamaa either wote wana vyeti fake kwa pumba wanazo mwaga. Lakini ni kaja gundua mbumbumbu mwenyewe nilikua mimi.

This people are not concerned with you na uelevu wako; wanajua wazi its hard to fool you. hivyo wana namna nyingine ya ku deal na wewe kama watataka ku deal na wewe.

Lakini hizi pumba zinalengwa kwa sababu ya jamii kubwa inayo warudisha madarakani; si wakujiuliza wale kama wewe hivyo hawa jamaa ni very smart at their game. They know how to please their audiences and supporters just the right words regardless of the pumba embedded with the speeches.

Ndio najiuliza na hawa wapiganaji au niseme sisi sote tunaojifanya atupendi tabia za chama tunafanya kitu gani kuwaelemisha watanznaia kwani ndio wenye maamuzi ya mwisho kupitia kura zao.

Kama jibu lako litakua kwa tunafanya very little tunarudi kwenye post ya mwanzo ya muweka mada hii we are screwed either way.

Its not up to CCM to change; matter of fact they have no intentions of doing so; the questions remains what are we doing as whole sidhani kama wapinzani wanaelewa hiyo kujitia kila mtu anapigana kivyake itatusaidia. If anything hivi so called vyama mbadala kwa CCM kwa upande wangu vimejaa viongozi wenye uchu huo huo waliokua nao viongozi wa CCM.

Kwanini nasema hivi atutegemei kuua simba kilahisi iwapo kila mtu anchukua zamu ya kwenda kupigana nae mmoja mmoja; ila iwapo tutajipanga kwenda pamoja tuna chance kubwa ya kumshinda. Sasa unaona hapa kweli kunamuelekeo au hawa wapinzani kila mtu anataka sifa zake tu mwenyewe kwa mtaji huo yes we are screwed.
 
Mkuu Pasco nimekupata sana na tupo ukurasa mmoja tatizo ni kwamba wabongo ni wajinga kiasi kwamba mpaka wale wanaotuamsha usingizini tunawapiga mawe, tunawabeza na hatuwaamini, matokeo yake ni kwamba na wao wanaamua kutu 'screw' zaidi kwa kuamua kuungana na wanaotu'screw'.

Kwa upande mwingine wale wenye uelewa (ambao wangeweza kutukomboa) wanakatishwa tamaa na hali hii na kuamua kuangalia maisha yao na familia zao. Tufanyeje????
.
Mkuu Mawazo Matatu, Tunahitaji uhamsho toka kwa watu wenye uwezo wa kuwa charismatic leaders ili itikadi ya mabadiliko iwaingie kama imani ya dini. Hii hali kuachana na harakati na kuangalia familia, ilishanikuta binafsi siku za nyuma, kwa kweli unakuwa frustrated familia inaangamia, na watu watakucheka.

Kama inside you, you are not oportunist, hata ukiachana na harakati na kuangalia maisha yako na familia yako, utaishi vizuri huku dhamira yako inakusuta.

Hata hivyo, Kitila Mkumbo alisema mahali, 'hatupaswi kukata tamaa', sasa tuko kwenye market economy ya uchumi wa soko, ili ufanikiwe kwa lolote, lazima uwe na nguvu ya kiuchumi ya kuwezesha uhamasishaji wa mabadiliko ya kweli. Hivyo kama huna nguvu ya kiuchumi, ni vizuri kujijenga kwanza ndipo kuingia na kustrike.

Nilisoma andiko fulani la Mzee Mwanakijiji kwenye his 'new year's resolutions' nikashauri ile 'cheche ya fikra' ingewekwa kwenye broadcast media, Watanzania wakatangaziwa ni nini kinachoendelea, wengi wangeamka.

Katika mapambano haya, ile formular ya 'if you can't beat them, join them' inaweza kuleta mafanikio kwenye CCM predominant ndio maana akina Mwanakijiji wanapojitambulisha kama wana CCM, halinipi taabu, sometime issue ni ukombozi na sio vyama, vyama is only the means.

Kwa vile mimi binafsi ni mwanaharakati at heart, ila sina nguvu za kiuchumi, nimetake a break for few years kujijenga ili kuepuka kuwa 'rugged trousered philanthropist', nikikamilika, nitaibuka, and will hit them very hard outside the box kwa lengo la uhamasishaji tuu wananchi walete changes na sio political office. 2010 is too near, too little, too late. 2015 will be the time.
 
Until we feel the pain we will continue to be screwed and new screwers are coming next year..
 
We are screwing ourselves, as if we play our part it can be done, but unfortunately we are still dozing and dozing
 
Kuna nchi ukipandisha bei ya mkate tuu....wanaingia barabarani........... Lakini sisi tutabaki kulalama tuuuuuuu huku tukiununua huo mkate kwa bei ya juu.

Kuna nchi ukipandisha bei ya mafuta..........wanaingia barabarani........... Lakini sisi tutabaki kulalama tuuuuuuu huku tukiyanunua hayo mafuta kwa bei ya juu.

The same to NAULI, VYAKULA, ..........etc

Kifupi ni kuwa ni sisi wenyewe ndiyo tunaruhusu hali hiyo ya kuwa SCREWED iendelee.

Watu wanajifanya wanaandamana kuunga mkono kazi ya JK wakati hakuna lolote.......!!! NI KUJIPENDEKEZA KUSIKO NA TIJA WALA FAIDI HATA KWA HUYO JK....Waliorudisha hela za EPA wapo.......... na wanawajuwa.........lakini hawajafanywa chochoteee angalau hata kuwataja tukawajuwa......... Eti kesi ya mafisadi zipo mahakamani...!!!!! Hizo zinangoja uchaguzi upite halafu ziachwe kiaina.......... wengine wanajifanya kurumbana wao kwa wao.......lakini ni CHANGA LA MACHO TUU.........

Ni ujinga mkubwa sanaaaaaa kumuunga mkono mtu AKUSKRUUU........

Huyo JK ANA UWEZO MKUBWA SANA WA KUTUANSKRUU..........lakini kwa kuwalea wanaotuskruu hataweza.

Alianza na kutembelea wizara.........leo hii kimyaaaa na maagizo yote aliyoyatoa hamna kitu..........

Alifuata semina elekezi kule ngurudoto......... lakini imekuwa ziiiiiiiiiiiii................

Alitoa maagizo ya majereta ya kule Songea ....lakini alipoondoka tuu hali ikarudia kule kule.......... haya ni machache tuuu yapo mengi sana

Ni ukweli usiopingika kuwa anaweza akawa ana mazuri yake eg.. sura yake etc lakini UZURI WAKE KWA LOLOTE USIWE TIKETI YA KUTUSKRUU........
 
Until we feel the pain we will continue to be screwed and new screwers are coming next year..

Na bado, TZ itakua screwed and screwed mpaka itapofikia hata wanaokuja kuscrew wanajitangaza.
Mfano screwer anasema nakuja, na nikija nataka kijiji fulani ambako kuna mafuta wote mhame na mje kunipokea na wake zenu na mabinti zenu na msipofanya hivyo u r all mine. Babarians fulani waliwafanyia hivyo China lakini bado ilichukua muda mrefu sana China kujua wako screwed. 'Screwed' lakini undani wake ni kua umejiscrew mwenyewe kwa kua umeruhusu kua screwed.
Bila uongozi imara, TZ we are (CCM family members included) open to be screwed by any Juma or Dickson or Wang, and for a very long time to come.
 
I'm sorry to say this but the way things look from where I stand; we are simply screwed individually and as a nation! Or.. we are screwing ourselves.. otherwise, how can we explain the reality that we know too much but we do so little! We expect too much but we push for minimal? We have a lot of plans (short and long), strategies, visions, or whatever have you... but it seems like we have no idea what we really want (or need).

There are just a number of things that have come to me recently (I'll let Enigma inform you before the end of the week) I have come to this somber realization that either we are screwing ourselves, or somebody is screwing us! Either way, we are SCREWED!

We're not SCREWED, its our system which is SCREWED and its SCREWING us at a background.

Without changing this crap system, it will continue screwing us forever...
 
Watanzania tumekuwa na mawazo mgando,ambayo yamesababisha wengi not to see a bright future ahead of them by doing the things that over decades have proven to fail them......after trying it so hard (CCM ) its time to try something different..and this begins with you!
 
Back
Top Bottom